TANZIA Mtanzania Mansoor Daya Afariki Dunia, alianzisha kiwanda cha kwanza cha Madawa Afrika Mashariki 1962

Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
 
Halafu anakuja mtu anasema eti viwanda binafsi vilikuwa vinakatazwa halafu leo hii vinaruhusiwa ukiwauliza kuna viwanda vingapi sijui watakujibu nini?

RIP Mdau Mwananchi Mjenga Nchi.......
 
Jirekebishe!
 
Namkumbuka sana, bidhaa nyingi sana za dawa zilikuwa zimeandikwa Mansour Daya.

Ila mbona taarifa ya kifo ni kama ya siku tatu nyuma wewe umeileta leo.
 
Nyerere alikuwa anataifisha mali za weusi wenzake tu kwa kisingizio cha ujamaa
Sema huyo Mhindi sijui alisalimika vipi lakini Nyerere hao wahindi ndiyo aliwakomesha kweli kwa uchache tu pale Buguruni kwa Bakhressa kiwanda kilikuwa cha Mhindi.

Halafu kiwanda cha mabati kilikuwa cha Mhindi na Maghorofa yote yale ya kizamani kuanzia Kariakoo, Upanga na Kisutu kote alitaifisha zilikuwa za Wahindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…