TANZIA Mtanzania Mansoor Daya Afariki Dunia, alianzisha kiwanda cha kwanza cha Madawa Afrika Mashariki 1962

Apumzike kwa amani kwa Mola wetu ni marejeo. Haijalishi awe raia wa nchi gani. Anastahili heshima kwa makubwa aliyoyafanya hapa nchini.
 
Mkuu,
Hatunaa jema lolote sisi AFRICAN CONTRIES
Ndio, hatuna jema hata sisi kwa sisi

  • Hatupendani
  • Hatutakiani
  • Hatukubaliani
  • Hatujiamini
  • Hatuna Umoja
  • Tunauana bila sababu iwe ni kwa kurogana au kwa risasi
  • Hatutumii akili zetu kuvumbua au kugundua mambo ya msingi zaidi ya jinsi ya kumkomoa mwanamke kwenye ngono badala ya kugundua teknolojia za kututoa
  • Tunazaliana hovyo hasa vijijini
 
Kuna ukweli mwingi ndani aisee
 
Ukisikia Obama kawa Rais huko Marekani unakata hadi mauno kushangilia. Nikiwaambiwa hakuna race inaongoza kwa ubaguzi hapa duniani kupita mtu mweusi mnanibishia.

Mtu mweusi angekuwa na uchumi mzuri hakuna rangi race nyingine wangeacha kuona.
 
Kwa nini una-doubt utanzania wake? Huyu ni mtanzania kuliko watu wengi wanaojifanya ni watanzania. Pengine kizazi cha juzi juzi hakiwezi kujua umuhimu wake. Enzi hizo, Dar, ukitafuta dawa yoyote ukiikosa unaaambiwa nedna kwa Mansoor Daya.
Usikute madawa ya huyo mzee kabugia sana anapoumwa leo kiburi cha uzima kinadoubt Utanzania wake. HOPELESS.
 
Wewe unajivunia Utanzania? Kwa yanayoendelea hapa nchini yanafanya ujivunie Utanzania? Kusanya vijana watano tu hapo mtaani kwenu uliza wangapi wanajivunia Utanzania usikie majibu yao.
 
Kwenye hii mada masikini utawajua tu,
Nasema pambaneni na hali zenu, hata mkimvua utanzania, bado umasikini wenu upo palepale ndio kwanza unaongezeka kwa kupoteza muda humu.
Kweli kabisa,umasikini shida sana

Wao wanajuona hodari wakifungua bar na mambo ya
Kukata kata mauno tu,ndy idea wanazoweza

Ova
 
Nyie watanzania halisi mnajivunia
Kufungua mabar na biashara za kukata mauno tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…