Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu,M
Muhindi, kwasababu Pesa yake ni ya jasho sio ya Utapeli na Ufisadi
Watu weusi wengi ni jamii ya HOVYO kuliko jamii zote Duniani
Wanajua tu kuzaliana, kuiba na kufanya ujinga ujinga tu
Achana na story za kwenye kahawa.Kuna mhindi alikua fundi kushona kariakoo,akaenda marekani akawa na kiwanda Cha nguo,akawa na pesa nyingi,siku akaipa serikali ya Nyerere mamilioni ya Dola,akisema yeye hazihitaji,huyu na daudi balali, Andrew chenge,mkapa nani anaipenda Tanzania!?
Ndio, hatuna jema hata sisi kwa sisiMkuu,
Hatunaa jema lolote sisi AFRICAN CONTRIES
Kuna ukweli mwingi ndani aiseeNdio, hatuna jema hata sisi kwa sisi
- Hatupendani
- Hatutakiani
- Hatukubaliani
- Hatujiamini
- Hatuna Umoja
- Tunauana bila sababu iwe ni kwa kurogana au kwa risasi
- Hatutumii akili zetu kuvumbua au kugundua mambo ya msingi zaidi ya jinsi ya kumkomoa mwanamke kwenye ngono badala ya kugundua teknolojia za kututoa
- Tunazaliana hovyo hasa vijijini
Kumbe mnaanzaga kuwabagua wenyewe?Tunapenda kujinadi na kujisifu kwa kutumia watu wenye asili ya Asia, eti Mtanzania!
Ukisikia Obama kawa Rais huko Marekani unakata hadi mauno kushangilia. Nikiwaambiwa hakuna race inaongoza kwa ubaguzi hapa duniani kupita mtu mweusi mnanibishia.Kafe India leo uone kama utaitwa Muhindi.
Kwa mimi nisieenda shule naamini Mtanzania ni mweusi hao ngozi za kugeuzwa wamekuwa Watanzania kwa kujikuta wamezaliwa hapa na Utanzania wao wanapewa na kitu so called katiba iliyotungwa na wanasiasa nje ya hapo huwezi sema ni Watanzania pure.
Usikute madawa ya huyo mzee kabugia sana anapoumwa leo kiburi cha uzima kinadoubt Utanzania wake. HOPELESS.Kwa nini una-doubt utanzania wake? Huyu ni mtanzania kuliko watu wengi wanaojifanya ni watanzania. Pengine kizazi cha juzi juzi hakiwezi kujua umuhimu wake. Enzi hizo, Dar, ukitafuta dawa yoyote ukiikosa unaaambiwa nedna kwa Mansoor Daya.
Wewe unajivunia Utanzania? Kwa yanayoendelea hapa nchini yanafanya ujivunie Utanzania? Kusanya vijana watano tu hapo mtaani kwenu uliza wangapi wanajivunia Utanzania usikie majibu yao.Mhindi ni mtu wa fursa yeye anaishi kokote hata kama moyo wake haupo hapo ili mradi afanikishe lake lakini kaa ukijua huyo siyo mwenzako,ukimuona mhindi ni mzalendo wa kweli ujue huyo ni chotara wa mzazi mmoja mwafrika na hana historia ya familia yake ya uhindini hata hivyo uwa wanabaguliwa sana na wahindi original.
Hakuna mhindi pure na tajiri anayejivunia Utanzania.
Apumzike kwa amani
Kweli kabisa,umasikini shida sanaKwenye hii mada masikini utawajua tu,
Nasema pambaneni na hali zenu, hata mkimvua utanzania, bado umasikini wenu upo palepale ndio kwanza unaongezeka kwa kupoteza muda humu.
Nyie watanzania halisi mnajivuniaMhindi ni mtu wa fursa yeye anaishi kokote hata kama moyo wake haupo hapo ili mradi afanikishe lake lakini kaa ukijua huyo siyo mwenzako,ukimuona mhindi ni mzalendo wa kweli ujue huyo ni chotara wa mzazi mmoja mwafrika na hana historia ya familia yake ya uhindini hata hivyo uwa wanabaguliwa sana na wahindi original.
Hakuna mhindi pure na tajiri anayejivunia Utanzania.
Labda tumuulize Prof Issa Shivji mtetezi wa Bandari.Huyo ni Mtanzania?
Tutasema na yeye si mtanzania.Labda tumuulize Prof Issa Shivji mtetezi wa Bandari.
ni mtanzania mwenye asili ya uhindi,kuna ubaya gani?Huyo ni Mtanzania?