Mtanzania Melchior Dominic Mahinini anayesomea ukasisi nchini Nigeria atekwa na waasi

Mtanzania Melchior Dominic Mahinini anayesomea ukasisi nchini Nigeria atekwa na waasi

nigeria taifa la kifala sana waje wafundishwe huku kwetu masuala ya usalama na intelejensia.
YAmekalia utapel tu na uzinzi kulinda watu na kutekeza vikund vya ugaidi yanashindwa
Hapa Bongo mmushukuru mmarekani tu kuwaibia na kuwalinda lasivyo Bongo usalama ni mdogo,ukitaka kuamini ni pale utaposhuhudia majambazi yakivamia sehemu Polisi huja baada ya tukio[emoji16][emoji1666]
 
We don't negotiate with terrorists,serikali isilipe hiyo pesa maana ni kuwapa ushindi. Bora tutumie billion 10 kumuokoa Kwa njia nyengine kuliko kuwalipa hao watekaji pesa,watazoea.
Kwa kodi ya nani,kwani wakatoliki sadaka zetu hupeleka wapi si wamtoe?
 
Weka maneno ya akiba usiandike kama mjinga , uvamizi wa kanisa Geita baada ya tukio kutokea watu wajinga kama wewe walijitokeza na kuanza kuleta shutuma pasipo na ushahidi ila baada ya ukweli kujulikana wakapoteana .

Hata kama wakiwa waislamu watakuwa ni watu wasio na akili kwa kufanya tukio kama hilo wala halihusiani na dini na wala haifai kujumuisha waislamu kwa ujumla wao.
Sasa naanza kuamini hizi dini ni mchongo,hivi hawa si wanatuambia wakifa wanaenda mbinguni? Pia si wanasema tumshirikishe Mungu kwa kila jambo mbona wasimshirikishe ili atende miujiza ikibidi watekaji wageuke majivu?[emoji2357]
 
Wapi wametajwa kuwa ni Waislam? Nigeria ni nchi ina magenge mengi ya kihalifu na kigaidi na hayajinasibishi kabisa na Uislam. Na huwa yanateka watu na kulazimisha yatumiwe pesa yawaachie huru. Yanaua watu wasio na hatia pia mpaka kanisani.

Kuna magenge ya kigaidi kama Indigenous People of Biafra (IPOB) na Eastern Security Network (ESN) ambayo yanapambania kujitenga na Nigeria na yanaua watu wasio na hatia. Bado kuna magenge mengi.

Na hata kama ingelikuwa ni Boko Haram, ambao wanajinasibisha na Uislam, Uislam uko mbali nao hao khawaaarij ambao huwaua watu wasio na hatia na wengi wanaouliwa na hawa mbwa wa motoni ni Waislam.
Pia Nigeria ukiristo umeshamili[emoji120]
 
Back
Top Bottom