ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kamcheki paroko uone mnatatuaje jamboAfu huyu jamaa namfahamu vzur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamcheki paroko uone mnatatuaje jamboAfu huyu jamaa namfahamu vzur
Kabsa pesa wanazotuibia ni nyingi waingie mfukoni tumakanisa yana mahela ya bure watoe tu hela ndogo sana hio
Hapa Bongo mmushukuru mmarekani tu kuwaibia na kuwalinda lasivyo Bongo usalama ni mdogo,ukitaka kuamini ni pale utaposhuhudia majambazi yakivamia sehemu Polisi huja baada ya tukio[emoji16][emoji1666]nigeria taifa la kifala sana waje wafundishwe huku kwetu masuala ya usalama na intelejensia.
YAmekalia utapel tu na uzinzi kulinda watu na kutekeza vikund vya ugaidi yanashindwa
Kwa kodi ya nani,kwani wakatoliki sadaka zetu hupeleka wapi si wamtoe?We don't negotiate with terrorists,serikali isilipe hiyo pesa maana ni kuwapa ushindi. Bora tutumie billion 10 kumuokoa Kwa njia nyengine kuliko kuwalipa hao watekaji pesa,watazoea.
Wajarbu wakutane na mkono wa Put-in[emoji16][emoji1666]Nigeria wanahangaika kutishia kuishambulia NIGER badala ya kushughulika na magaidi kibao nchini mwake!!
Waambie waache chuki dhid ya wenzaoWapi katika hiyo habari pametaja waislamu?Hao ni watekaji wanataka pesa.
Nani mwenye chuki?Huyu atakuwa katekwa na watu wa karibu yake.Mtu wa mbali,hawezi kujua habari zako.Waambie waache chuki dhid ya wenzao
Sasa naanza kuamini hizi dini ni mchongo,hivi hawa si wanatuambia wakifa wanaenda mbinguni? Pia si wanasema tumshirikishe Mungu kwa kila jambo mbona wasimshirikishe ili atende miujiza ikibidi watekaji wageuke majivu?[emoji2357]Weka maneno ya akiba usiandike kama mjinga , uvamizi wa kanisa Geita baada ya tukio kutokea watu wajinga kama wewe walijitokeza na kuanza kuleta shutuma pasipo na ushahidi ila baada ya ukweli kujulikana wakapoteana .
Hata kama wakiwa waislamu watakuwa ni watu wasio na akili kwa kufanya tukio kama hilo wala halihusiani na dini na wala haifai kujumuisha waislamu kwa ujumla wao.
Pia Nigeria ukiristo umeshamili[emoji120]Wapi wametajwa kuwa ni Waislam? Nigeria ni nchi ina magenge mengi ya kihalifu na kigaidi na hayajinasibishi kabisa na Uislam. Na huwa yanateka watu na kulazimisha yatumiwe pesa yawaachie huru. Yanaua watu wasio na hatia pia mpaka kanisani.
Kuna magenge ya kigaidi kama Indigenous People of Biafra (IPOB) na Eastern Security Network (ESN) ambayo yanapambania kujitenga na Nigeria na yanaua watu wasio na hatia. Bado kuna magenge mengi.
Na hata kama ingelikuwa ni Boko Haram, ambao wanajinasibisha na Uislam, Uislam uko mbali nao hao khawaaarij ambao huwaua watu wasio na hatia na wengi wanaouliwa na hawa mbwa wa motoni ni Waislam.
Ni kwel mwislam hatek mtu na kutaka pesa hyo neverMoslem terrorists rarely hold you at ransom! ... here we're just facing the money mongering kidnapper-blackmailers!
Anapga pesa kiulaini[emoji16][emoji2357]Hao RC matapeli ila Mwamposa kawazidi