ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kuzungumza ni rahisi sana, kwa askari midomoNini huyo kawekwa mtu kati, Lissu alimiminiwa risasi zaidi ya 30 na anadunda huku mmiminaji ameflati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzungumza ni rahisi sana, kwa askari midomoNini huyo kawekwa mtu kati, Lissu alimiminiwa risasi zaidi ya 30 na anadunda huku mmiminaji ameflati.
Haya maneno una andika ukiwa chumbani kwako ni rahisi sana,, alietekwa anajua hali ilivyoKuishi kwa mkristo ni Kristo na kufa ni faida hakuna kipya chini ya jua wewe utaishi milele??
Ngoja mletewe maiti ndio mtaelewa hatari ya lile eneoHuyu katekwa na watu wa karibu yake.Mungu atamsaidia.
Endelea na ushujaa wa JF ila jamaa yule saa hii ana isoma nambaYule aliyekuwa akilala juu ya mawe kama sorokoto yuko wapi! Pamoja na kujidai kukusanya sadaka ili asamehewe lakini wapi, dami ya Yesu ilishinda.
AMINAUpanga haujawahi na hautawahi kushinda damu ya Yesu.
Mbona nimesikia wanadai ransom? Sidhani kama ni ishu ya kidiniWaislam wana shida sana.
Unaweza kuniambia Uislam unahusika vipi na hili tukio?Uislam na Ugaidi hauwezi kutenganishwa ni kama mwili mmoja
Nimetaja waisilamu hapo?Wapi waislamu ndo wamemteka ?
Dini ya amani ni ipi? Jiamini tu acha mafumbo.!!Nimetaja waisilamu hapo?
Hata mtoto wa darasa la kwanza anajua waliomteka.Usitetee ujinga.Huyo katekwa na wenzake wa karibu.Ukichunguza tu,kwa mwenye akili,ataona huu ni mpango wa ndani.Mtu wa nje,atamjuaje huyu ni mgeni,!na anatoka wapi,na anahusika na nini,na huko aliko wana uwezo wa kulipa pesa ndefu?
Wee ndo unoambie dini ya amaniDini ya amani ni ipi? Jiamini tu acha mafumbo.!!
Ni sawa na wanao itwa petro yohana musa haji nasra muddy hayo yote sio majina ya kitanganyika wala kiungujaHilo jina la Kirundi mbona?
Sasa dini imeingiaje hapo?Wee ndo unoambie dini ya amani
Ni kikundi cha kiislamu mkuu, ransom wanataka sababu ni kanuni ya kidini na pia lazima wale na wanunue silaha nkMbona nimesikia wanadai ransom? Sidhani kama ni ishu ya kidini
We upo dunia yako pengine,hakuna asiyejua Nigeria waislam wanayofanya bana we. Hakuna kumung'unya maneno ipo shida.Weka maneno ya akiba usiandike kama mjinga , uvamizi wa kanisa Geita baada ya tukio kutokea watu wajinga kama wewe walijitokeza na kuanza kuleta shutuma pasipo na ushahidi ila baada ya ukweli kujulikana wakapoteana .
Hata kama wakiwa waislamu watakuwa ni watu wasio na akili kwa kufanya tukio kama hilo wala halihusiani na dini na wala haifai kujumuisha waislamu kwa ujumla wao.
They don't need food? Who finances them?🤷🏿♂️Moslem terrorists rarely hold you at ransom! ... here we're just facing the money mongering kidnapper-blackmailers!
Yapi yataje? Unayafahamu kwanza? Unajua yanavyo operate? Unajua kuwa yapo tofauti? Roporopomakanisa yana mahela ya bure watoe tu hela ndogo sana hio