ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Ngoja watakwenda kuchukua maiti ndio siku nyingine wataacha kupeleka wenzao kwenye hatariHapo zinapigwa salamu Maria 2000 na baba yetu 10,000 hapatoshi wakati huko mwenzao kavuliwa ubingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja watakwenda kuchukua maiti ndio siku nyingine wataacha kupeleka wenzao kwenye hatariHapo zinapigwa salamu Maria 2000 na baba yetu 10,000 hapatoshi wakati huko mwenzao kavuliwa ubingwa
Mda HUU unachomwa ubani hukoNgoja watakwenda kuchukua maiti ndio siku nyingine wataacha kupeleka wenzao kwenye hatari
Yule aliyekuwa akilala juu ya mawe kama sorokoto yuko wapi! Pamoja na kujidai kukusanya sadaka ili asamehewe lakini wapi, dami ya Yesu ilishinda.Unaandika ukiwa chumbani , mwenzako kawekwa mtu kati
Mbona habari nzima haijataja waislam.Waislam wana shida sana.
Wapi katika hiyo habari pametaja waislamu?Hao ni watekaji wanataka pesa.Sina ila kuna mambo yanakera sana alafu wao kutwa kulalamika wanaonewa.
Wapi katika hiyo taarifa pametajwa ametekwa kudini?Kwanza hao watekaji wamemjuaje,kama sio mipango ya ndani,ya alionao?Halafu baadaye mna lia lia oooooh dini yetu ni ya amani....Rubbish
Watekaje watakuwa ni watu wa karibu yake.Tupeni Namba za gaidi tujichange. Hatuwezi kupoteza damu yetu
Hii ukiangalia vizuri,huyu katekwa na watu wa karibu yake.nigeria taifa la kifala sana waje wafundishwe huku kwetu masuala ya usalama na intelejensia.
YAmekalia utapel tu na uzinzi kulinda watu na kutekeza vikund vya ugaidi yanashindwa
Huyu katekwa na mtu wa karibu yake.Ukichunguza vizuri,mtu wa nje atajuaje huyu ni mgeni na yuko kwa jambo gani,na kuna uwezo wa kiasi gani wa kumkomboa.Wapi waislamu ndo wamemteka ?
Huyu katekwa na wenzake wa karibu.Kikulacho kinguoni mwako.Yeye hajui kuwa kuna sehemu ni hatari?
Au wamepanga mpango 🤣 maana wabongo tunajuana akil zetu na tamaa zetuHii ukiangalia vizuri,huyu katekwa na watu wa karibu yake.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huyu katekwa na wenzake wa karibu.Kikulacho kiko nguoni mwako.Unaandika ukiwa chumbani , mwenzako kawekwa mtu kati
Huyu katekwa na wenzake wa karibu.Akijua kusoma aya za Qur'an wanamuacha
Huyu katekwa na wenzake wa karibu.Ndio mpaka ajue sasa kama hajui imekula kwake, anatakiwa kuwa na akili na kukimbia hatari
Huyu katekwa na watu wa karibu yake.Mungu atamsaidia.Hii haina msaada ameingia cha kike, siku nyingine asiwasikilize wanao mtuma maana sasa wamebaki kuomba tu wakati mwenzao kakamatwa
Huyu katekwa na wenzake wa karibu.Mtu wa nje,atajuaje huyu ni nani,na tukimteka tudai pesa.MUNGU ATAMSAIDIA.We don't negotiate with terrorists,serikali isilipe hiyo pesa maana ni kuwapa ushindi. Bora tutumie billion 10 kumuokoa Kwa njia nyengine kuliko kuwalipa hao watekaji pesa,watazoea.
Yesu na RC wapi na wapi?Upanga haujawahi na hautawahi kushinda damu ya Yesu.
Weka maneno ya akiba usiandike kama mjinga , uvamizi wa kanisa Geita baada ya tukio kutokea watu wajinga kama wewe walijitokeza na kuanza kuleta shutuma pasipo na ushahidi ila baada ya ukweli kujulikana wakapoteana .Waislam wana shida sana.