Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Wenyewe wataalam wanaichoma
Mpk kipimo chao kitoe 1/2/1 😄
Jiwe ligandeee...
Na mara nyingi hiyo ya pel-- huku
Wanachanganya na powder ya lactose.....
Ile ya kutoka kwa madevu wanachanganya na Ashton
Na hizo dawa zote zinapatikana kwenye mapharmacy

Ova
Hivi dawa haiwezi safirishwa kama compound tofauti tofauti ikaja ijaungwa kweneye nch usika kama kitu kimoja
 
Daah alichofanya akamatwe ni Nchi aliyotoka ndio maana Polisi wa ET wakaanza kumchunguza mizigo ila inasikitisha sana kwa kweli kwa umri huo bado kutaka kuendelea kuua vijana ili apate fedha aisee hapo ni kama kakamatwa Rwanda ataenda jela..
Exit ndo huwachoma ili wakafie mbali maana wakibaki hapa watawasumbua.
Ila bora
 
A Tanzania national arrested at Bole Airport with 1.34 KG of cocaine on 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a suspicious Passenger SADICK ABRAHAMAN ALLY , Tanzanian, 60 yearS Old, Born and Grew up in Tanga ,Passport number TAE 266469.

The passenger was travelling from Sao Paulo ( GRU ) transiting at Bole International airport to Entebbe International Airport on Flight ET 5O7 and then on flight ET 334 to EBB and took the suspicious passenger to X ray where indicated Positive and on interrogation he admitted to have swallowed about Kg of Cocaine . The passenger is beeing held by Ethiopia police for discharge of the Pellets and further Investigation and Legal action.

Punda amekataa kustaafu kazi yake, mwenye mzazi wake aende rumande za Addis Ababa kumpelekea sabuni na maji.

Mzee ana moyo sana yaani kabugia takribani kilo moja na nusu ya ugali tumboni
 
Alianza kwanza kuhojiwa ndo akapelekwa kwenye Machine....!

Viwanja vingi vya Ndege, unapoanza Safari yako, kunakua na Scanner ambapo Mizigo yako yote inapita hapo, sometimes mpaka Viatu, then wewe kama wewe unapita kwenye Detector Machine....!

Huyu ametoka Latin America salama salimini, kashuka Ethiopia na inabidi Abadirishe Ndege aende Uganda, Ukiwa Transit, kwa vile unakua umeshakaguliwa ulikotoka Ukaguzi unakua wa kawaida hasa kwa Mabegi ya mgongoni ambayo unatembea nayo, utapanga foleni kupitisha tena kwenye Scanner... Sasa hapa kwenye Q ya kusubiri Upitishe Begi lako kwa Scanner....! Ndo officers huwa wanawacheki abiria na Movements zake, wanaangalia Walivyovaa, Vitu vya thamani kama Gold Silver Shingoni huwavutia kukuhoji, ni hapa ndo unakuta Mtu anatoka jasho na wakati kuna AC hafu Abiria wengine wakiwa sawa....!

So wakikuhisi wanakufata hapo kwenye Q, watakusalimia, watakuuliza kama upo sawa, ama ni Mgonjwa, utasema upo sawa, Watauliza unatoka wapi unaenda wapi, utajibu, watauliza Una mizigo mingine ama ndo lile begi dogo...!

Then wataomba uwafate kwa mahojiano zaidi, ni huko ndo mwisho wa siku watakuingiza kwa X ray kucheki ndani ya Mwili wako...! Ukiwa na Mzigo umemeza umeisha...!

Ila watu wanameza kila siku na wanatoboa kila siku... Ila kitete ndo huwakamatisha wengi.
Zinamezwa kw anjia ya mdomo au zinaingizwa kwa njia ya haja kubwa?
 
ulicho kisema ndio uharisia... kama ikihitajika tudai uhuru kwa mara nyingine itatuchukua miaka 1000 kuupata😭😭😭​
Ndo ivo Kwa sababu vitu vya kipumbavu ndo huwa vinapewa kipaumbele na ufatiliaji wa kutosha mfano kama mambo ya connection za waliochafua hali ya hewa badala ya kuvipa kiupambele vitu vya msingi mfano kama siasa maana hii ndo huwa inaamua mwelekeo uweje wa mambo mbalimbali nchini
 
Inaonesha Ethiopia hapapitiki kirahisi na mzigo
A Tanzania national arrested at Bole Airport with 1.34 KG of cocaine on 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a suspicious Passenger SADICK ABRAHAMAN ALLY , Tanzanian, 60 yearS Old, Born and Grew up in Tanga ,Passport number TAE 266469.

The passenger was travelling from Sao Paulo ( GRU ) transiting at Bole International airport to Entebbe International Airport on Flight ET 5O7 and then on flight ET 334 to EBB and took the suspicious passenger to X ray where indicated Positive and on interrogation he admitted to have swallowed about Kg of Cocaine . The passenger is beeing held by Ethiopia police for discharge of the Pellets and further Investigation and Legal action.

Punda amekataa kustaafu kazi yake, mwenye mzazi wake aende rumande za Addis Ababa kumpelekea sabuni na maji.


View: https://twitter.com/Nipashetz/status/1782703412548694510?t=x3ZrwD6pbJFdH0AVCwMY0Q&s=19

View: https://www.instagram.com/p/C6Du97QNRLT/?igsh=cnczYWw1MTZyczFw
 
Back
Top Bottom