Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

si mashine ndio imeditect au sijaelewa vizuri hapo juu...?
Alianza kwanza kuhojiwa ndo akapelekwa kwenye Machine....!

Viwanja vingi vya Ndege, unapoanza Safari yako, kunakua na Scanner ambapo Mizigo yako yote inapita hapo, sometimes mpaka Viatu, then wewe kama wewe unapita kwenye Detector Machine....!

Huyu ametoka Latin America salama salimini, kashuka Ethiopia na inabidi Abadirishe Ndege aende Uganda, Ukiwa Transit, kwa vile unakua umeshakaguliwa ulikotoka Ukaguzi unakua wa kawaida hasa kwa Mabegi ya mgongoni ambayo unatembea nayo, utapanga foleni kupitisha tena kwenye Scanner... Sasa hapa kwenye Q ya kusubiri Upitishe Begi lako kwa Scanner....! Ndo officers huwa wanawacheki abiria na Movements zake, wanaangalia Walivyovaa, Vitu vya thamani kama Gold Silver Shingoni huwavutia kukuhoji, ni hapa ndo unakuta Mtu anatoka jasho na wakati kuna AC hafu Abiria wengine wakiwa sawa....!

So wakikuhisi wanakufata hapo kwenye Q, watakusalimia, watakuuliza kama upo sawa, ama ni Mgonjwa, utasema upo sawa, Watauliza unatoka wapi unaenda wapi, utajibu, watauliza Una mizigo mingine ama ndo lile begi dogo...!

Then wataomba uwafate kwa mahojiano zaidi, ni huko ndo mwisho wa siku watakuingiza kwa X ray kucheki ndani ya Mwili wako...! Ukiwa na Mzigo umemeza umeisha...!

Ila watu wanameza kila siku na wanatoboa kila siku... Ila kitete ndo huwakamatisha wengi.
 
NILIJUA TUMBONI KUNAINGIAAA UNGA WA NGANO NA MAHINDI TU KUMBE NA WA NANIII UNABEBEKAAA
JAMANI TUMBO LINAVUMILIA MENGI SANA

PONGEZII KUBWAAAA KWA WENYE MATUMBOOO WOOTE
 
UMESAHAU KUCHOMANAA KUMO SANA MKUU NILIWAHJ KUWA SEHEMU FLAN JAMAA WANAKUJA ULIZA NAOMBA LIST YA ABIRIA WA NDEGE HIII INATOKEA SEHEMU MWANZO UNAHISI ANAANGALIA SHANGAZI YAKE KAMA ANARUDI AAGIZE TAX WEEEEEE......UKIJIBU NDIO ANAENDA CHOMOLEWA KIROHOSAFII KUTOKA PALE UNASIKIA...AKAMATWA. KG. ....HATAREE SANA.....
OGOPA WAUZA UNGA WA TZ WANAOISHI 🇪🇹 HAWAFAI

Alianza kwanza kuhojiwa ndo akapelekwa kwenye Machine....!

Viwanja vingi vya Ndege, unapoanza Safari yako, kunakua na Scanner ambapo Mizigo yako yote inapita hapo, sometimes mpaka Viatu, then wewe kama wewe unapita kwenye Detector Machine....!

Huyu ametoka Latin America salama salimini, kashuka Ethiopia na inabidi Abadirishe Ndege aende Uganda, Ukiwa Transit, kwa vile unakua umeshakaguliwa ulikotoka Ukaguzi unakua wa kawaida hasa kwa Mabegi ya mgongoni ambayo unatembea nayo, utapanga foleni kupitisha tena kwenye Scanner... Sasa hapa kwenye Q ya kusubiri Upitishe Begi lako kwa Scanner....! Ndo officers huwa wanawacheki abiria na Movements zake, wanaangalia Walivyovaa, Vitu vya thamani kama Gold Silver Shingoni huwavutia kukuhoji, ni hapa ndo unakuta Mtu anatoka jasho na wakati kuna AC hafu Abiria wengine wakiwa sawa....!

So wakikuhisi wanakufata hapo kwenye Q, watakusalimia, watakuuliza kama upo sawa, ama ni Mgonjwa, utasema upo sawa, Watauliza unatoka wapi unaenda wapi, utajibu, watauliza Una mizigo mingine ama ndo lile begi dogo...!

Then wataomba uwafate kwa mahojiano zaidi, ni huko ndo mwisho wa siku watakuingiza kwa X ray kucheki ndani ya Mwili wako...! Ukiwa na Mzigo umemeza umeisha...!

Ila watu wanameza kila siku na wanatoboa kila siku... Ila kitete ndo huwakamatisha wengi.
UUU
 
Alianza kwanza kuhojiwa ndo akapelekwa kwenye Machine....!

Viwanja vingi vya Ndege, unapoanza Safari yako, kunakua na Scanner ambapo Mizigo yako yote inapita hapo, sometimes mpaka Viatu, then wewe kama wewe unapita kwenye Detector Machine....!

Huyu ametoka Latin America salama salimini, kashuka Ethiopia na inabidi Abadirishe Ndege aende Uganda, Ukiwa Transit, kwa vile unakua umeshakaguliwa ulikotoka Ukaguzi unakua wa kawaida hasa kwa Mabegi ya mgongoni ambayo unatembea nayo, utapanga foleni kupitisha tena kwenye Scanner... Sasa hapa kwenye Q ya kusubiri Upitishe Begi lako kwa Scanner....! Ndo officers huwa wanawacheki abiria na Movements zake, wanaangalia Walivyovaa, Vitu vya thamani kama Gold Silver Shingoni huwavutia kukuhoji, ni hapa ndo unakuta Mtu anatoka jasho na wakati kuna AC hafu Abiria wengine wakiwa sawa....!

So wakikuhisi wanakufata hapo kwenye Q, watakusalimia, watakuuliza kama upo sawa, ama ni Mgonjwa, utasema upo sawa, Watauliza unatoka wapi unaenda wapi, utajibu, watauliza Una mizigo mingine ama ndo lile begi dogo...!

Then wataomba uwafate kwa mahojiano zaidi, ni huko ndo mwisho wa siku watakuingiza kwa X ray kucheki ndani ya Mwili wako...! Ukiwa na Mzigo umemeza umeisha...!

Ila watu wanameza kila siku na wanatoboa kila siku... Ila kitete ndo huwakamatisha wengi.
Ni kweli huo ndio uhalisia
 
ila ujasiri kama huo sisi hatuna kazi yetu kuiLaumu serikali tuu... tena mtandaoni kwa ID fake... ila kwenda kuwaface uso kwa uso ujasiri hatuna
Ni kweli lakini je upo tayari kufa,je upo tayari kutolewa marinda na je upo tayari kutekwa na kuteswa na wasiojulikana,huo ujasiri huwa anakuwa nao mtu ambaye hana cha kupoteza yule anayetembea na kauli kichwani ya liwalo na liwe
 
Ni kweli lakini je upo tayari kufa,je upo tayari kutolewa marinda na je upo tayari kutekwa na kuteswa na wasiojulikana,huo ujasiri huwa anakuwa nao mtu ambaye hana cha kupoteza yule anayetembea na kauli kichwani ya liwalo na liwe
sio mchezo manake imebidi nicheke kwasauti 🤣🤣🤣 malinda yangu nayapenda kwakweli... ngoja tu huo ujasiri unitoke... nibaki na uoga wangu​
 
Back
Top Bottom