MUBENDE
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 1,111
- 1,879
Duh! sasa imekuwa penkupumzushwa kabisaa sasa.Alikuwa kwenye kutafuta pension,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! sasa imekuwa penkupumzushwa kabisaa sasa.Alikuwa kwenye kutafuta pension,
Yaani nikishaona madawa ya kulevya ,ugaidi basi yatakuwa majina ya dini fulani why!A TANZANIAN NATIONAL ARRESTED AT BOLE AIRPORT WITH 1.34KG OF COCAINE On 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a suspicious Passenger SADICK ABRAHAMAN ALLY , Tanzanian, 60 yearS Old, Born and Grew up in Tanga ,Passport number TAE 266469.
The passenger was travelling from Sao Paulo ( GRU ) transiting at Bole International airport to Entebbe International Airport on Flight ET 5O7 and then on flight ET 334 to EBB and took the suspicious passenger to X ray where indicated Positive and on interrogation he admitted to have swallowed about Kg of Cocaine . The passenger is beeing held by Ethiopia police for discharge of the Pellets and further Investigation and Legal action .
Punda amekataa kustaafu kazi yake, mwenye mzazi wake aende rumande za Addis Ababa kumpelekea sabuni na maji
View attachment 2971479View attachment 2971480
Huyo wa Migo Migo ndiye nani? Maana codes zetu zimeshindwa kufungua
Unaturudisha machunguu nduguuJoseph Kaniki yuko wapi?? Alifungwa jela za huko Ethiopia na sidhani kama alishawahi kutoka
Ameshadeclare. Na atalipa fine.Anatokaje?
Mpaka kujipikia humo mnajipikiaChakula mnauziwa hamna kupewa bure, unatoka saopaul unatua bole, lazima wakudake mapema sana
kama hana fine...?Ameshadeclare. Na atalipa fine.
Hawezi shindwa, acha kuuliza maswali basi ilimradi tu.kama hana fine...?
Msipende ku judge kitu kutokana na Imani ya mtu.Muislamu na dawa za kulevya haviachani
Waxhaga pmj na kupenda fedha Ila dili la madawa ya kulevya humkuti nalo
Cocaine ni almasi nyeupe na bei sasa hivi imepanda kwa sababu ya ugumu wa routes.Hivi cocaine ina thamani kubwa kiasi hichi?
Kg Moja uilipie siti ya ndege, ule, ulale hotelini n.k.
Kg Moja sh.ngapi kwani?
Dah namjuwa vizuri huyo mzeekuna mwamba mmoja kati ya mwaka 2016 au 2020 alikamatwaga kwa kipindi hicho ndie alikuwa Godfather wa mihadarati bongo... ile nyumba yake ya magomeni aliijenga kwa tofari za kuchoma kutoka mkoani
🤣🤣🤣 kwao huko Morogoro imagine mtu anajenga gorofa kwa tofari za kuchoma kutoka Morogoro 🤣🤣🤣🤣
ila ni kagorofa tu ka gorofa 1...!
kwenye ile nyumba ndipo mimi nilipo kulia alipo inunua pale kwa jeuri ya fedha wapangaji wote wakiwemo wazazi wangu jamaa aliwalipa kodi ya miezi 6 waondoke wasimbughuzi...!
alikuwa anaitwa MTAMA MCHUNGU kama sijakosea...!
Wamexico,wabrazil na walatin wengine wakristo kindakindakiMsipende ku judge kitu kutokana na Imani ya mtu.
Godfather wa Mihadarati duniani kote na ambaye hajawahi kutokea, Pablo Emmilio Escobar Gavilla alikua Roman Catholic mzuri tu,na alikua anasali sala zote ikiwemo 'Baba yetu uliye mbinguni' but at a same time alikua muuwaji na Godfather wa madawa.
Tuendelee kupiga vita hizi biashara pasipo kuingiza hisia za kidini ndani yake.
Tena coca yenyewe inayokuja bongo syo pureCocaine ni almasi nyeupe na bei sasa hivi imepanda kwa sababu ya ugumu wa routes.
Amin huyo asirud kabisa ni mzee wa hovyo, bahati yake hajakamatwa China.Mkuu somaa rte mzigooo ulikuwa wetuu huooo Allah katuokoaaaaaaaa unajuaaa walaa unga wengi mashoga hivi sasaaa yaan alikuwa anakujaa kuua vizazi vyetu aendee tu Allah ampe wepesi aendalkooo
Humujui Gardiner kwa undani,hebu niambie kaacha nyumba wapi na mali nyingine wapi???Pamoja na changamoto zote za harakati za kimaisha lakini siku zote jifunze kuweka mizani Sawa kati ya msukumo wa matakwa ya nafsi na matumizi ya akili yako...........
Kumbuka kuwa pamoja na matamu unayaona kwenye dunia lakini mwisho wa siku yote ni batili............dunia mapito........bwana mdogo Gardner amelala usingizi wa umauti.....kaacha majumba na mali zingine za thamani......na huu ndio mwisho wa kila chenye Uhai......