X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
namsifu ametushinda maarifa vijanaMzee ameapply Ile kitu inaitwa get rich or die trying
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
namsifu ametushinda maarifa vijanaMzee ameapply Ile kitu inaitwa get rich or die trying
Pamoja na changamoto zote za harakati za kimaisha lakini siku zote jifunze kuweka mizani Sawa kati ya msukumo wa matakwa ya nafsi na matumizi ya akili yako...........tunaisaidiaje sasa... kama jamii yetu inawakataa watu mpaka wanalelewa na mtaa, huko mitaa wana pambana na ukatili wa kimazingira, Baridi, mbu na jua vina uralua vibaya miili yao...!
mwisho wa siku mtu anajikuta ameingia mikononi mwa nunda kwenye black market 😭😭😭 kwakweli dunia ni tamu kwa walio kuta kila kitu kipo mezani... ila ni chungu sana kwa walio anza na 0...!
huna kitu, huna wa kukusaidia kitu pekee kilicho kupokea ni mtaa na watoto wenzako wa mtaani... utafanya nini...?
noted... but how... ni kama vile mzee mengi alisema I WILL, I CAN, I MUST.... ila ila sahau kutuambia HOW...?Pamoja na changamoto zote za harakati za kimaisha lakini siku zote jifunze kuweka mizani Sawa kati ya msukumo wa matakwa ya nafsi na matumizi ya akili yako...........
Kumbuka kuwa pamoja na matamu unayaona kwenye dunia lakini mwisho wa siku yote ni batili............dunia mapito........bwana mdogo Gardner amelala usingizi wa umauti.....kaacha majumba na mali zingine za thamani......na huu ndio mwisho wa kila chenye Uhai......
Wewe ndio umaleta udini wapi nimezungumzia habari za dini zaidi ya kutaja tu jinaSo what?
We jamaa hufai kuwa kiongozi. Yaani ukikuta watu 10 utataka kujua wana dini gani.......vitu vingine unakausha tu.
Hajatushida maarifa bali katushinda ujasiri,kufanya jambo lolote la ajabu ajabu inataka ujasirinamsifu ametushinda maarifa vijana
Tumefikia wapi mbona sikuelewiNdiyo mlipofika?Njaa haina fundi wa swaumu.
Kama ambavyo unafuata manual book ya mtengenezaji wa chombo chako cha moto au kifaa chako ki electronic ili kidumu na uwe salama....ndivyo ambavyo unapaswa kufuata muongozo wa muumba wako kwenye dunia hii kulingana na imani yako.....na utabaki salamanoted... but how... ni kama vile mzee mengi alisema I WILL, I CAN, I MUST.... ila ila sahau kutuambia HOW...?
Kabisa anaonekana mkubwa kwa umri huo.Na huo umri kwa muonekano amefoji,huyo ni zaidi ya 60.Mzee amebebeshwa sembe ukute na kijana wake kabisa wakumzaa
Inawezekana kabisa... maana mi naongea habari za 2004-2005 nikiwa a-level.. kuna mwamba mmoja alikuwa anajiweza (kwao safi sana) na ndio ilikuwa starehe yake.Kucha elf 10
Ethiopia kugumu mpwa,jela za huko si mchezojoberg inapitika kirahisi tu hata akikamatwa kule mnamalizana lwa upendo sio hukooo..na n raisi ndugu kukuletea maji na chips za KFC ama kitimoto ya yule mtanzania mouth anaepikia wa tz joberg swafiiiii..hukoii maviiimkojooo yanamhusu
Itakuwa tu..Kwamba ni tamu sana
Gardener kaacha majumba wapi wakati alikuwa kapanga kijitonyama na ndipo ulipokuwa msiba wake ?Pamoja na changamoto zote za harakati za kimaisha lakini siku zote jifunze kuweka mizani Sawa kati ya msukumo wa matakwa ya nafsi na matumizi ya akili yako...........
Kumbuka kuwa pamoja na matamu unayaona kwenye dunia lakini mwisho wa siku yote ni batili............dunia mapito........bwana mdogo Gardner amelala usingizi wa umauti.....kaacha majumba na mali zingine za thamani......na huu ndio mwisho wa kila chenye Uhai......
Nje ndani boss. Haswa kesi za Trafficking. Na kitendo cha mtuhumiwa kudeclare kweli ana mzigo. Case closed. Baada ya week utamuona bongo. Huyo analipa faini tu. Bongo kwenu huko ndio hamsha.Unaijuwa 🇪🇹 lakini
Ova
Hujui kuna miungu na Mungu? hirizi pia ni Mungu/miungu ya Watu wenye mila na tamaduni zao na yuko radhi umuue kuliko kukosa hirizi.Msimpe Mungu majukumu yasiyo yake!! Amnusuru kivipi?
Mkuu somaa rte mzigooo ulikuwa wetuu huooo Allah katuokoaaaaaaaa unajuaaa walaa unga wengi mashoga hivi sasaaa yaan alikuwa anakujaa kuua vizazi vyetu aendee tu Allah ampe wepesi aendalkoooKama alikua anapeleka asamehewa kwa faini au apewe adhabu nyepes
Na kama alikua analeta basi anyongwe kabisa.
Kina Chid Benz, TID na Joslin wanaisha.