Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Ushaingia kwenye maadui zako waislaam pengine wala sio mbongo huyo,ni urahisi wa pass ya kusafilia tu...kuna wandi na wa Congo kibao kwa sasa wanaenda Canada kwa mikwaju ya kibongo nyinyi kalieni udini tu.
Hivi huo udini mmeuona wapi nyie?,mimi nimekazia tu jina la muhusika ila nyie naona mnalazimisha udini
 
YAAN BORA ANGEBAKI NA MAFAO ATUMIE NA VICHENCHEDE VYETÙ ONA SASAA
 

Attachments

  • Screenshot_20240423-102823_Facebook.jpg
    Screenshot_20240423-102823_Facebook.jpg
    487.1 KB · Views: 2
Shikuba mbona yuko nje muda kidogo, kijana wake Tikotiko naye yuko kitaa muda pia.. salama yake ni kwenda kuhukumiwa USA,​
mkewe hakufungwaga...nadhani ndie alietumika kama chambo kumnasa... !

nadhani muda sio mrefu yule jamaa wa migo migo nae watamuachia au pengine wamesha muachia🤣🤣🤣

vidagaa ndio huwa wanafungwa ila mi papa haifungwagi
Huyo wa Migo Migo ndiye nani? Maana codes zetu zimeshindwa kufungua
 
Hajatushida maarifa bali katushinda ujasiri,kufanya jambo lolote la ajabu ajabu inataka ujasiri
ila ujasiri kama huo sisi hatuna kazi yetu kuiLaumu serikali tuu... tena mtandaoni kwa ID fake... ila kwenda kuwaface uso kwa uso ujasiri hatuna
 
A TANZANIAN NATIONAL ARRESTED AT BOLE AIRPORT WITH 1.34KG OF COCAINE On 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a suspicious Passenger SADICK ABRAHAMAN ALLY , Tanzanian, 60 yearS Old, Born and Grew up in Tanga ,Passport number TAE 266469.

The passenger was travelling from Sao Paulo ( GRU ) transiting at Bole International airport to Entebbe International Airport on Flight ET 5O7 and then on flight ET 334 to EBB and took the suspicious passenger to X ray where indicated Positive and on interrogation he admitted to have swallowed about Kg of Cocaine . The passenger is beeing held by Ethiopia police for discharge of the Pellets and further Investigation and Legal action .

Punda amekataa kustaafu kazi yake, mwenye mzazi wake aende rumande za Addis Ababa kumpelekea sabuni na maji

View attachment 2971479View attachment 2971480
du!!
 
Back
Top Bottom