Mtanzania mwingine apigwa risasi Afrika Kusini

Mtanzania mwingine apigwa risasi Afrika Kusini

Swadakta kabisa. Umenikumbusha enzi za call za mchongo. Kweli wale jamaa waliokuwa wanapigisha sim asilimia 98% ni choka mbaya na wengi wao ni mateja wa kutupa.
Wengi pia walifariki zile pesa zilikuwa ni kama laana kwao, zilikuwa ni nyingi pia, ndo wapopo ndo waliibukia hapo
 
Wengi pia walifariki zile pesa zilikuwa ni kama laana kwao, zilikuwa ni nyingi pia, ndo wapopo ndo waliibukia hapo
Dah mpaka nimejikuta nacheka kama mazuri vile 😂😂😂
 
Kazi za kulima mashambani na kuvua samaki

Je zinalipa unaweza Kupata mil 3 au 2.5 kwa mwezi uku ukiwa umeshalipia Bills zako zote Kama rent n.k?
 
Mtoa mada na wachangiaji wengi mnawalaumu vijana kujilipua kwanda SA na kufanya shughuli za kihalifu, lakini mmeshindwa kusema kiini cha tatizo, na kwa nini asilimia kubwa waliopo huko ni vijana wa kitanzania wanaotokea maeneo ya uswahilini Dar?

Tatizo limeanzia hapa nyumbani , maisha yamekuwa magumu kupitiliza, vijana wengi wamekata tamaa, wapo tayari kwa lolote litakalojitokeza mbele ya macho yao...

Solution
________

Serikali itengeneze mazingira rafiki ya kujiajiri na kwa wawekezaji ili michongo iongezeke hapa nyumbani.
(boda boda sio ajira)
 
Kama ilivyo kwa watanzania au hata kwenye familia mnaweza kuzaliwa baba mmoja mama tofauti. So ukakuta watoto wale wa mama tofauti baadhi wanapatana na baadhi wanachukiana.

Sio kila mtanzania, mkenya, mganda, msauzi nk ana roho mbaya au nzuri. Kote utakuta kuna watu wabaya na watu wazuri. So ninaofanya nao mimi kazi hawana tatizo kwa sababu wana kazi tayari ya kuwaingizia kipato cha uhakika. So anichukie mimi kwa lipi!
Kuna kipindi wa sauth walikuwa wanaua wageni, wanachukua fursa zao za ajira.
 
Mtoa mada na wachangiaji wengi mnawalaumu vijana kujilipua kwanda SA na kufanya shughuli za kihalifu, lakini mmeshindwa kusema kiini cha tatizo, na kwa nini asilimia kubwa waliopo huko ni vijana wa kitanzania wanaotokea maeneo ya uswahilini Dar?

Tatizo limeanzia hapa nyumbani , maisha yamekuwa magumu kupitiliza, vijana wengi wamekata tamaa, wapo tayari kwa lolote litakalojitokeza mbele ya macho yao...

Solution
________

Serikali itengeneze mazingira rafiki ya kujiajiri na kwa wawekezaji ili michongo iongezeke hapa nyumbani.
(boda boda sio ajira)
Mkuu acha kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi. Kama umeingia hapa kwa lengo la kuja kuleta siasa katika uzi basi ni bora uende zako katika jukwaa la siasa ukawashauri wanaofuatilia siasa kule.

Hili ndio tatizo kubwa la baadhi ya watanzania wenzetu, unakuta wanaingiza siasa au mambo ya kipuuzi kila sehemu.

Unailaumu serikali kwa ujinga, uvivu na uzembe wa watanzania wenyewe. Unataka serikali ikusaidiaje wakati wewe mvivu haupendi kufanya kazi.

South Afrika hapa au hata huko Ulaya kumejaa raia kutoka katika nchi masikini na zenye mifumo mibovu kuliko hata Tanzania, lkn kwa vile raia wa nchi hizo ni wachapakazi na wanaojielewa unakuta wanaishi maisha mazuri au ya wastan zaidi ya yale wanayoishi vijana wa kitanzania.

Congo, Burundi, Somalia na kwengineko ni nchi za kivita na zenye mifumo mibovu ya kimaisha. Lkn ukiangalia maisha yao wanapokuwa nje ni tofauti na maisha wanayoishi watanzania wanaotoka katika nchi ya amani na yenye mifumo nafuu kidogo ya maisha ukilinganisha na nchi hizo.

Tatizo lenu kubwa watanzania ni uvivu, hilo swala la kutokuwa na kazi kutokana serikalini mnalitumia kama kichaka cha kuficha udhaifu wenu.

Haya tuseme serikali ya Tanzania haitengenezi mazingira mazuri ya kazi, je huku ambapo kuna kazi mbona wanashindwa kuzifanya matokeo yake zinafanywa na raia kutoka nchi zingine masikini?

Kila inapotokea fursa za kazi watanzania huwaoni, utakao waona ni raia wa kutoka nchi nyingine tu za Afrika?
Je unataka serikali ya Tanzania ije huku iwaombee kazi ambazo hawataki kuzifanya?

Hapo hapo Tanzania kuna kazi kibao ambazo zinafanywa na wageni kutoka Burundi, Uganda, Rwanda, Kenya nk baada ya wenyeji au wazawa kushindwa kuzifanya.

Juzi uhamiaji walitangaza kuanza kutoa vibali vya uraia wa muda kwa wageni wote watakaotaka kuja kufanya kazi za uvuvi na ulimaji Tanzania baada ya kugundua kuwa wazawa wenyewe ni wavivu hawataki kufanya kazi hizo.

Yani ni afadhali mtu akimbilie Dar akawe omba omba katika mataa ya barabarani (trafiki light) kuliko kubaki kijijini alime na kuuza mazao yake sokoni.
 
Kuna kipindi wa sauth walikuwa wanaua wageni, wanachukua fursa zao za ajira.
Ndio maana nikasema kila nchi, kabila au jamii haukose watu wabaya na wazuri.

Oparation kimbunga iliyofanyika Tanzania kipindi kile iliacha wageni wengi vilema na wengine waliuwawa au kufukuzwa kama mbwa. Je unataka kusema na wewe ulikuwa mmoja wa waliofanya unyama ule dhidi ya wageni?
 
Kazi za kulima mashambani na kuvua samaki

Je zinalipa unaweza Kupata mil 3 au 2.5 kwa mwezi uku ukiwa umeshalipia Bills zako zote Kama rent n.k?
Sina uhakika mkuu kwani hizo kazi sijawahi kuzifuatilia.
 
Huku walifukuzaga wageni waliokuja kwa magendo au kufanya kazi bila vibari, na sio kupigwa pigwa kuonewa hovyo Kama huko walikuwa wanaua na kufukuza, kupora Mali za wazawa hata kama wapo kialali.
 
Kwahiyo ndugu zangu wabongo na watanzania kwa ujumla, ni muda wa kujitafakari zaidi pindi tunapokuwa hapa au kabla ya kuja hapa kwamba tumekuja kufanya nini na tutarudi nyumbani na nini. Swala la viuno, tungi na mihadarati mingine haina tija kwa dunia ya leo. Tutaisha nchi hii.
Ila Ile kitu wanaita xenophobia ikianza haijalishi kama unafanya mema au mabaya, kama ni mgeni ukidakwa ni kipigo tu!
 
Mkuu acha kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi. Kama umeingia hapa kwa lengo la kuja kuleta siasa katika uzi basi ni bora uende zako katika jukwaa la siasa ukawashauri wanaofuatilia siasa kule.

Hili ndio tatizo kubwa la baadhi ya watanzania wenzetu, unakuta wanaingiza siasa au mambo ya kipuuzi kila sehemu.

Unailaumu serikali kwa ujinga, uvivu na uzembe wa watanzania wenyewe. Unataka serikali ikusaidiaje wakati wewe mvivu haupendi kufanya kazi.

South Afrika hapa au hata huko Ulaya kumejaa raia kutoka katika nchi masikini na zenye mifumo mibovu kuliko hata Tanzania, lkn kwa vile raia wa nchi hizo ni wachapakazi na wanaojielewa unakuta wanaishi maisha mazuri au ya wastan zaidi ya yale wanayoishi vijana wa kitanzania.

Congo, Burundi, Somalia na kwengineko ni nchi za kivita na zenye mifumo mibovu ya kimaisha. Lkn ukiangalia maisha yao wanapokuwa nje ni tofauti na maisha wanayoishi watanzania wanaotoka katika nchi ya amani na yenye mifumo nafuu kidogo ya maisha ukilinganisha na nchi hizo.

Tatizo lenu kubwa watanzania ni uvivu, hilo swala la kutokuwa na kazi kutokana serikalini mnalitumia kama kichaka cha kuficha udhaifu wenu.

Haya tuseme serikali ya Tanzania haitengenezi mazingira mazuri ya kazi, je huku ambapo kuna kazi mbona wanashindwa kuzifanya matokeo yake zinafanywa na raia kutoka nchi zingine masikini?

Kila inapotokea fursa za kazi watanzania huwaoni, utakao waona ni raia wa kutoka nchi nyingine tu za Afrika?
Je unataka serikali ya Tanzania ije huku iwaombee kazi ambazo hawataki kuzifanya?

Hapo hapo Tanzania kuna kazi kibao ambazo zinafanywa na wageni kutoka Burundi, Uganda, Rwanda, Kenya nk baada ya wenyeji au wazawa kushindwa kuzifanya.

Juzi uhamiaji walitangaza kuanza kutoa vibali vya uraia wa muda kwa wageni wote watakaotaka kuja kufanya kazi za uvuvi na ulimaji Tanzania baada ya kugundua kuwa wazawa wenyewe ni wavivu hawataki kufanya kazi hizo.

Yani ni afadhali mtu akimbilie Dar akawe omba omba katika mataa ya barabarani (trafiki light) kuliko kubaki kijijini alime na kuuza mazao yake sokoni.
Mbona km ume-panic na unatoa povu!
..wapi nimeilaumu serikali?
Kwani kushauri ndio kulaumu ?
Nakuuliza wewe baharia feki ambaye hata huko South Africa hujawahi ishi ... mtiririko wa post zako unaonyesha umesimuliwa then umekimbilia kuanzisha nyuzi...

.. Watu wanaoishi SA hawanaga muda wa kuandika nyuzi ndeefu(ya uongo) km hii na kuisimamia (hata km unauza duka la mhindi)
 
Mbona km ume-panic na unatoa povu!
..wapi nimeilaumu serikali?
Kwani kushauri ndio kulaumu ?
Nakuuliza wewe baharia feki ambaye hata huko South Africa hujawahi ishi ... mtiririko wa post zako unaonyesha umesimuliwa then umekimbilia kuanzisha nyuzi...

.. Watu wanaoishi SA hawanaga muda wa kuandika nyuzi ndeefu(ya uongo) km hii na kuisimamia (hata km unauza duka la mhindi)
🤣🤣🤣 mimi nimesimuliwa habari ya South... kwa bahati nzuri hatushindani bali tunaeleweshana, so haina haja ya kukung'ang'aniza ujue au uamini kama nipo South au wapi.

Wewe endelea kuilaumu serikali kwa uvivu wako mwenyewe.
 
Huku walifukuzaga wageni waliokuja kwa magendo au kufanya kazi bila vibari, na sio kupigwa pigwa kuonewa hovyo Kama huko walikuwa wanaua na kufukuza, kupora Mali za wazawa hata kama wapo kialali.
Japo lengo lilikuwa hilo la kufukuza wageni wasiokuwa na vibali, lkn zoezi lile liliwaathiri hata wale waliokuwa na vibali pia kwa kuvamiwa, kujeruhiwa nk.

Siwatetei wale wanaopiga wageni hapa South, ila nnachojaribu kueleza ni kwamba sio wote wanaopiga au kuchukia wageni kama mtu mungine anavyofikiri mkuu.
 
Ila Ile kitu wanaita xenophobia ikianza haijalishi kama unafanya mema au mabaya, kama ni mgeni ukidakwa ni kipigo tu!
Ni kweli ukidakwa na waanzilishi wa fujo hizo utachezea kichapo cha mbwa mwizi. Lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya ndugu zetu kuendekeza uvivu kwa kushindwa kufanya kazi katika nchi ya watu.

Maana kama mtu anasingizia kutokufanya kazi kwa sababu ya xenophobia, sasa amekuja huku kufanya nini? Kwanini asingebaki nyumban ambapo hakuna hiyo xenophobia?
 
watanzania wenzangu jamaa hapo juu ameieleezea vizuri maisha ya wabongo wakiwa huku, kinachoharibu sana jina la watanzania ni hao ndugu zetu na vijana wetu wa hapo dar, kwasababu wao wana access kubwa na ya kuja huku basi wakifika huku wanaona wapo nyumbani

tatizo lao kwavile dar ilichangamka mapema kuliko mikoa mengine basi vijana wa huo mjin wana assume kila kitu wanakijua, na hii ndí inakuwa anguko lao maana the moment ukijiona unajua kila kitu ndio point ambayo uwezo wako wakufikiri unapokuwa mdogo

Wasomali huku ni kama wachaga, biashara wao wana take advantage kwa wazawa, maana mzawa hapa kalemazwa kila kitu supermarket au mbali na kazi anayofanya anaamini hawezi hata kuanzia biashara ndogo maeneo anayotokea.

Ndugu zangu watu wa kaskanizi wao ni moja kati ya jamii ambazo inapambana sana katika ujasiriamali. sema tu kwavile wametoka katika familia zenye uwezo uwezo kidogo hawataki wakatembee wae explore fursa mbalimbali..

vijana wezangu mlioko bongo jitahidini mtoke nje wa bongo mkatembee mataifa mengine huko, nkajifunze na kuona mengi baadae tuje kubadili hali ya nchi kwa ujumba


Ndugu yenu hapa natafute working permit ya SA
 
Back
Top Bottom