Mtanzania mwingine apigwa risasi Afrika Kusini

Mtanzania mwingine apigwa risasi Afrika Kusini

inawezekana pia maana naona kuna wakati mpaka "hit man's" wanatumwa bongo kuja kumaliza watu waliodhulumu huko.

Shida vijana wengi wakibongo uelewa mdogo sana na ukosefu wa good primary education, unatoka kwenu bongo nakwenda kuwa mwizi wa mifukoni SA, na michongo mingine ya kifalafala ambayo hata hapa bongo inawezekana tu.

Vijana wengi wanataka kuishi SA kama sifa tu lakini hakuna wanachogain.
South African hitman hawezi kuja kufanya tukio kwenye ardhi ya Tanzania .
Hitmen ni organised crime ambayo lazima kuwe na base., Mtu mmoja au wawili hawawezi toka south kuja kuuwa mtu bongo , hizo story ulidanganywa
 
Leseni au ufundi wa nguo,

Kweli ujuzi wowote ni muhimu iwe useremala, fundi rangi, fundi bomba, fundi cherehani, fundi ujenzi n.k kozi hizi zinapatikana VETA au hata kwa kujifunza kutoka kwa kufanya kazi hizo halafu ndiyo unaanza safari za South Afrika, Namibia n.k ukifika huko unaanza kutumia ujuzi huo .

Serikali ifungue vyuo vingi vya VETA isisitize kozi za ufundi na ziwe za karo nafuu.
 
Yaani kweli,mie nilibahatika soma na kufanya kazi SA, watz wengi walioko huko, ni vijana wasiotaka kufanya kazi za ujira halali, Bali zile deals' tu kama wanavyouta huko bongo, Sasa kule Huwa shortcuts nyingi, za kudhibiti 'panya road' mara nyingi ni Shaba, manake watu wanaruhusiwa ku'own' bastola/bunduki, mradi uwe na umri above 18 na akili' timamu.....kule hakuna utani aiseee..
Wanaozamia huko wengi wametoka Dar usitegemee uchakalikaji wa njia za halali hapo
 
South African hitman hawezi kuja kufanya tukio kwenye ardhi ya Tanzania .
Hitmen ni organised crime ambayo lazima kuwe na base., Mtu mmoja au wawili hawawezi toka south kuja kuuwa mtu bongo , hizo story ulidanganywa

najua ninachokiongea, tuishie hapa.
 
South African hitman hawezi kuja kufanya tukio kwenye ardhi ya Tanzania .
Hitmen ni organised crime ambayo lazima kuwe na base., Mtu mmoja au wawili hawawezi toka south kuja kuuwa mtu bongo , hizo story ulidanganywa
😂😂😂 Labda anazungumzia wabongo walioshindwa maisha South wanaporudi nyumban au kurudishwa wakifika huko wale waliopo huku SA wanawapa mchongo wa kumtafuta mtu fulani aliewadhulumu kimya kimya, wanawatumia hela ya kummaliza mtu huyo. Wakishamaliza kazi wanatafuta upenyo wa kukimbia.

Nimewaza tu ingawa sina uhakika na alichokisema jamaa.
 
Kweli ujuzi wowote ni muhimu iwe useremala, fundi rangi, fundi bomba, fundi cherehani, fundi ujenzi n.k kozi hizi zinapatikana VETA au hata kwa kujifunza kutoka kwa kufanya kazi hizo halafu ndiyo unaanza safari za South Afrika, Namibia n.k ukifika huko unaanza kutumia ujuzi huo .

Serikali ifungue vyuo vingi vya VETA isisitize kozi za ufundi na ziwe za karo nafuu.
Nilikuwa na binam yangu fundi cherehani kule Namibia, aisee alipiga sana hela. Ila bahati mbaya akaja kufariki na ajali ya gari huko huko Namibia miaka 5 iliyopita.
 
Yaani kweli,mie nilibahatika soma na kufanya kazi SA, watz wengi walioko huko, ni vijana wasiotaka kufanya kazi za ujira halali, Bali zile deals' tu kama wanavyouta huko bongo, Sasa kule Huwa shortcuts nyingi, za kudhibiti 'panya road' mara nyingi ni Shaba, manake watu wanaruhusiwa ku'own' bastola/bunduki, mradi uwe na umri above 18 na akili' timamu.....kule hakuna utani aiseee..
Vijana wetu wengi wanateketea kwa kushindwa na kukataa kufanya kazi za mikono. Wengi wanataka kuishi kwa kupiga ndole, kuuza bangi, bwimbwi nk.
Sasa hayo ni maisha hatari sana kwa nchi hii maana watu huwa hawana muda wa kukimbiza mwizi, bali ukiiba mtu anaingiza mkono kiunoni kimya kimya anatoa mguu wa kuku na kukumaliza kimya kimya afu anachukua sim yake na kuendelea na safari yake huku akiwaachia polisi waje wafanye kazi yao ya kupeleka mzoga monchwali.
 
😂😂😂 Labda anazungumzia wabongo walioshindwa maisha South wanaporudi nyumban au kurudishwa wakifika huko wale waliopo huku wanawapa mchongo wa kumtafuta mtu fulani kimya kimya, wanawatumia hela ya kummaliza mtu huyo na kupata upenyo wa kukimbia.

Nimewaza tu ingawa sina uhakika na alichokisema jamaa.
Hitmens ni very organised crime a very expensive one .
Wabongo ukisikia wamedhulumiana south wala haziwagi pesa nyingi. Kwa population ya south ,na nature yake hitmens ni street bandits, with illigal guns , hawa ni wengi kule hasa gauteng province , kwa hiyi ni rahisi kupata.
Ninachopingana na jamaa ni hitmens kuja kufanya shuguli hizo Hapa bongo , haiwezekani,
Nimekaa sana huko , crime ya kule ni next level sisi hatujafika hata robo ya crime ya south. , na sasa hivi kuna cctv camera naamini crime itapungua.
 
Kwahiyo Ukiwa Mganga Original south unapiga hela?

Ngoja nimpange Mwanangu kapewa Mikoba juzi akafanye kazi
Ukiwa mganga original South utakuwa bilionea. Hii sio story bali ni ukweli, na hakuna mtu alieishi au anaeishi South anaweza kubisha.

Baba angu mdogo alikuwa mganga wa mchongo alipiga hela mbaya miaka ya 90, ila dakika za mwisho aligundulika kuwa ni wa mchongo akaanza kusakwa ili auwawe akaingia mitini na kurudi bongo kuendelea na maisha.

Tatizo hakufanya la maana zaidi ya kujifanya bingwa wa viuno na stareh zingine zisizokuwa na maana.

Waganda wengi na baadhi ya wazimbabwe ni matajiri wa kutupa kupitia fani hiyo ya uganga wa mchongo.
 
Ilikuwa zamani hiyo, siku hizi swaga za uganga unapotea south
Bado zinaendelea mkuu, tena 95% ni wa mchongo. Ukitembelea maskani za mafundi selemara utaona jinsi waganda wanakuja kutengeneza vibubu vikubwa vya kuhifadhia hela za uganga. Kibubu kinakuwa kikubwa mfano wa dumu la lita 40 za maji.

Sasa style inayotumia kujaza kibubu hicho ni ndefu kidogo kuielezea. Ila huwa kinajaa fasta watu wanapakua na kukirudisha tena ili kijae.

Waganda wameji organize kwa ajili ya kazi hiyo baada ya kuona inalipa. So akitokea mtu kutoka nchi nyingine akawa anafanikiwa zaidi katika maeneo yao, basi lazima watakufanyia mpango uuwawe.

Watu ambao nao wanajitahidi kwa style hiyo ya maisha ni wazimbabwe ambao nao ni wengi.
 
Hitmens ni very organised crime a very expensive one .
Wabongo ukisikia wamedhulumiana south wala haziwagi pesa nyingi. Kwa population ya south ,na nature yake hitmens ni street bandits, with illigal guns , hawa ni wengi kule hasa gauteng province , kwa hiyi ni rahisi kupata.
Ninachopingana na jamaa ni hitmens kuja kufanya shuguli hizo Hapa bongo , haiwezekani,
Nimekaa sana huko , crime ya kule ni next level sisi hatujafika hata robo ya crime ya south. , na sasa hivi kuna cctv camera naamini crime itapungua.
Yah nimekuelewa mkuu. Na kuhusu uhalifu kwa kweli hakuna nchi ya Afrika inayoshinda Kaburu. Hii ni kwa sababu nchi hii imekusanya watu mbali mbali kutoka pembe yote ya dunia haswa Afrika.

Na katika hao watu waliokimbia nchi zao kuja hapa. Kuna wanajeshi mfano waliokimbia mapigano Congo, kuna wanajeshi waliokimbia udhaifu wa maisha katika nchi zao mfano kule Zimbabwe enzi za Mugabe, Msumbiji nk, kuna waasi pia waliokimbia nchi zao na kuja kujisalimisha Kaburu, kuna majambazi waliotoroshwa au kutoroka katika nchi zao na kuja kujificha huku nk. Sasa kwa aina hiyo ya makundi niliyoyataja hapo juu yanapoanzisha uhalifu nchi fulan ni vigumu sana kuyatokomeza au kuyamaliza, maana ni makundi yenye ujuzi wa hali ya juu kwa kile wakifanyacho. Na ndio maana hata Marekani pamoja na kwamba ni nchi ya kwanza au ya pili kwa ulinzi wa ndani lakini walikuwahi kukumbana na makundi ya aina hii huko Los Angeles, CA. Hii ni kwa sababu kuna makundi mengi yanayofanana na hayo niliyotaja hapo juu yalikuwa yakivuka mpaka kwa njia za panya na halali kutokea Mexico, Guatemala na nchi zingine za America ya kusini kuingia Marekani.

Imagine kundi la wanajeshi wastaafu tu waamue kuji organise na kufanya uhalifu ni polisi gani wa kawaida wataweza kuwadhibiti kiwepesi.

Itahitajika nguvu ya ziada kutoka nje ya jeshi la polisi ku deal na kundi hilo ili kulitokomeza au kulipunguza makali.
 
Hitmens ni very organised crime a very expensive one .
Wabongo ukisikia wamedhulumiana south wala haziwagi pesa nyingi. Kwa population ya south ,na nature yake hitmens ni street bandits, with illigal guns , hawa ni wengi kule hasa gauteng province , kwa hiyi ni rahisi kupata.
Ninachopingana na jamaa ni hitmens kuja kufanya shuguli hizo Hapa bongo , haiwezekani,
Nimekaa sana huko , crime ya kule ni next level sisi hatujafika hata robo ya crime ya south. , na sasa hivi kuna cctv camera naamini crime itapungua.

ngoja nikurahisishie kazi.

wapo wabongo kwenye biashara ya Unga SA wako level kubwa na kuaminika sana, hawa huwa wakizingua hukimbilia bongo, madon wakule wakipewa taarifa jamaa yuko huku kajichimbia hutuma vijana kuja kufanya kazi hapa hapa au hutumia vijana walioko huku ambao walishaishi SA na kufanya dili za kuua... (nalijua kwa uhakika hili, na wapo watu wanaishi kwa kujificha sana bongo na wengine walishafuatwa hapo)..

SA wapiga bunduki hukumu ikishapita mtaani ni wengi ni suala la offer na kokote wanakwenda kufanya kazi...niishie hapa.
 
Bongo fursa nyingi sana ukilinganisha na nchi zote za maziwa makuu yanayotuzunguka, tatizo linaanzia kwetu vijana kwa kuamini kua utajiri au mafanikio upatikana kwenye mambo yasiyo na tija kama vile kubeti Uchawa na wengine wamepumbazwa akili na mitume feki, kundi lingine la vijana ambao pia ni nguvu kazi imehamia kwa MISHANGAZI wakiamini kulelewa na MISHANGAZI uleta utajiri
 
ngoja nikurahisishie kazi.

wapo wabongo kwenye biashara ya Unga SA wako level kubwa na kuaminika sana, hawa huwa wakizingua hukimbilia bongo, madon wakule wakipewa taarifa jamaa yuko huku kajichimbia hutuma vijana kuja kufanya kazi hapa hapa au hutumia vijana walioko huku ambao walishaishi SA na kufanya dili za kuua... (nalijua kwa uhakika hili, na wapo watu wanaishi kwa kujificha sana bongo na wengine walishafuatwa hapo)..

SA wapiga bunduki hukumu ikishapita mtaani ni wengi ni suala la offer na kokote wanakwenda kufanya kazi...niishie hapa.
Ulichoandika hapa nafikiri na mimi ndo nilichomwambia jamaa kwenye post namba #130
 
Ni msiba mkubwa ulioje kwenda safari ndefu nchi za watu bila ya kuwa na LENGO na MIKAKATI ya kufikia lengo.
 
Back
Top Bottom