Mtanzania mwingine apigwa risasi Afrika Kusini

Mtanzania mwingine apigwa risasi Afrika Kusini

Bongo fursa nyingi sana ukilinganisha na nchi zote za maziwa makuu yanayotuzunguka, tatizo linaanzia kwetu vijana kwa kuamini kua utajiri au mafanikio upatikana kwenye mambo yasiyo na tija kama vile kubeti Uchawa na wengine wamepumbazwa akili na mitume feki, kundi lingine la vijana ambao pia ni nguvu kazi imehamia kwa MISHANGAZI wakiamini kulelewa na MISHANGAZI uleta utajiri
Hili ni janga la taifa. Watanzania wengi ni wavivu sana ndomaana fursa zilizopo nchini na nje ya nchi hatuzichangamkii.

Kuna clip fulan niliifuatilia miezi miwili iliyopita huko Dodoma nikaona mkuu wa polisi fulan amewakusanya wazazi wa wilaya fulan anawaeleza namna ya kuwadhibiti watoto wao ili wasiendelee au kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu.

Kamanda huyo kuna sehemu amesema kwamba amekuwa akiwaona vijana kutoka Burundi na Rwanda wakifanya kazi kwenye mashamba na viwanda kibao vilivyopo Dodoma, huku wazawa wakiishia kushinda vijiweni wakipiga zogo na kuomba watu mia tano mia tano za kula.
Anakwambia hata wale wazawa waliokuwa wameajiriwa wengi wao wakishapata mishahara hutoweka kazini na kuonekana baada ya week mbili au tatu baada ya mshahara wao kuisha 🤣🤣🤣
 
Ni msiba mkubwa ulioje kwenda safari ndefu nchi za watu bila ya kuwa na LENGO na MIKAKATI ya kufikia lengo.
Vijana wengi wa kitanzania wameuwa ndoto zao kwa kuendekeza, viuno, pombe, bangi na mihadarati mingine.

Nchi hii ina raia wa nchi zote za Afrika. Lkn watanzania ndio wanaoongoza kwa uteja.
Ukifuatilia swala la mateja wa kigeni wanaoishi nchi hii basi 80% ni watanzania.
 
Cha kujiuliza ni hicho na wakati anasema hivo yupo kwa shangazi yake amekaa kwenye kochi anatype, kufika SA hata kwa mchongo inataka uwe na pesa nzuri tu plus accepted VISA....HIVI HIVI HUWEZI. Mwisho ujue unafikia wapi na kufanya nini.
 
Hili ni janga la taifa. Watanzania wengi ni wavivu sana ndomaana fursa zilizopo nchini na nje ya nchi hatuzichangamkii.

Kuna clip fulan niliifuatilia miezi miwili iliyopita huko Dodoma nikaona mkuu wa polisi fulan amewakusanya wazazi wa wilaya fulan anawaeleza namna ya kuwadhibiti watoto wao ili wasiendelee au kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu.

Kamanda huyo kuna sehemu amesema kwamba amekuwa akiwaona vijana kutoka Burundi na Rwanda wakifanya kazi kwenye mashamba na viwanda kibao vilivyopo Dodoma, huku wazawa wakiishia kushinda vijiweni wakipiga zogo na kuomba watu mia tano mia tano za kula.
Anakwambia hata wale wazawa waliokuwa wameajiriwa wengi wao wakishapata mishahara hutoweka kazini na kuonekana baada ya week mbili au tatu baada ya mshahara wao kuisha 🤣🤣🤣
Yaani nikwa Durban, nilikuwa nasikitika sana kuona vijana wa bongo, wengi hawataki kufanya shughuli zozote halali,kama walivyo jamaa toka Zim,Malawi au Mozambique...wengi wanaotaka shortcut deals tu kama vile bongo..na wengi jioni wanakwenda lala chini ya ' flyovers bridge za mabarabara...... kaazi kweli kweli.....
 
Yah nimekuelewa mkuu. Na kuhusu uhalifu kwa kweli hakuna nchi ya Afrika inayoshinda Kaburu. Hii ni kwa sababu nchi hii imekusanya watu mbali mbali kutoka pembe yote ya dunia haswa Afrika.

Na katika hao watu waliokimbia nchi zao kuja hapa. Kuna wanajeshi mfano waliokimbia mapigano Congo, kuna wanajeshi waliokimbia udhaifu wa maisha katika nchi zao mfano kule Zimbabwe enzi za Mugabe, Msumbiji nk, kuna waasi pia waliokimbia nchi zao na kuja kujisalimisha Kaburu, kuna majambazi waliotoroshwa au kutoroka katika nchi zao na kuja kujificha huku nk. Sasa kwa aina hiyo ya makundi niliyoyataja hapo juu yanapoanzisha uhalifu nchi fulan ni vigumu sana kuyatokomeza au kuyamaliza, maana ni makundi yenye ujuzi wa hali ya juu kwa kile wakifanyacho. Na ndio maana hata Marekani pamoja na kwamba ni nchi ya kwanza au ya pili kwa ulinzi wa ndani lakini walikuwahi kukumbana na makundi ya aina hii huko Los Angeles, CA. Hii ni kwa sababu kuna makundi mengi yanayofanana na hayo niliyotaja hapo juu yalikuwa yakivuka mpaka kwa njia za panya na halali kutokea Mexico, Guatemala na nchi zingine za America ya kusini kuingia Marekani.

Imagine kundi la wanajeshi wastaafu tu waamue kuji organise na kufanya uhalifu ni polisi gani wa kawaida wataweza kuwadhibiti kiwepesi.

Itahitajika nguvu ya ziada kutoka nje ya jeshi la polisi ku deal na kundi hilo ili kulitokomeza au kulipunguza makali.
Kweli ila tushukuru mungu bongo amani ipo, si kwamba ujambazi haupo la , ila si kwa kiwango ama umbali wa crime syndcates za wenzetu, hitmens opertion ni zoezi kama lile la kumpoteza lisu pale dom , kwa maelezo ya lisu unaona kulikuwa na chain ndefu sana ya watu, utakuwa umedhulumiwa kiasi gani hadi uweze kufinance zoezi kama lile?
South africa hitman anakupoteza kwa deni la laki tu , sio rands!!! , madafu
 
ngoja nikurahisishie kazi.

wapo wabongo kwenye biashara ya Unga SA wako level kubwa na kuaminika sana, hawa huwa wakizingua hukimbilia bongo, madon wakule wakipewa taarifa jamaa yuko huku kajichimbia hutuma vijana kuja kufanya kazi hapa hapa au hutumia vijana walioko huku ambao walishaishi SA na kufanya dili za kuua... (nalijua kwa uhakika hili, na wapo watu wanaishi kwa kujificha sana bongo na wengine walishafuatwa hapo)..

SA wapiga bunduki hukumu ikishapita mtaani ni wengi ni suala la offer na kokote wanakwenda kufanya kazi...niishie hapa.
Mkuu unaelezea kiuoga uoga , nimekaa hilbrow na berea gauteng south takriban miaka 7 , 8 najiua crime ya huko,,
maeneo niliyokytajia miaka ya 2000 ilikuwa ni kuokota maiti katibu kila siku sababu ya bunduki ,
hitmen kuja kuuwa bongo ni story tu , haiwezekani , Kama ilitokea ni miaka hiyo na mara chache sana , south africa kwanza wauza madawa wa kibongo hawana pesa ndefu ni kama madalali ,wenye hizo deals ni wapopo (nigerians) ukisikia mbongo kauwawa huko chances ni kuwa kazingua kwa mpopo, mpopo akitoa 500 rand kwa hitman mzimbabwe huna chako duniani.
 
Ukiwa mganga original South utakuwa bilionea. Hii sio story bali ni ukweli, na hakuna mtu alieishi au anaeishi South anaweza kubisha.

Baba angu mdogo alikuwa mganga wa mchongo alipiga hela mbaya miaka ya 90, ila dakika za mwisho aligundulika kuwa ni wa mchongo akaanza kusakwa ili auwawe akaingia mitini na kurudi bongo kuendelea na maisha.

Tatizo hakufanya la maana zaidi ya kujifanya bingwa wa viuno na stareh zingine zisizokuwa na maana.

Waganda wengi na baadhi ya wazimbabwe ni matajiri wa kutupa kupitia fani hiyo ya uganga wa mchongo.
Kilichomtokea baba yako mdogo ndio typical story ya wabongo wakiwa south africa!!
Tukubali tu bado tuna ushamba wa maisha !! Ndo sababu south africa tunapotezwa sana .
Enzi za waganga kupiga pesa south ziliambatana ma enzi za "wazee wa chaka" hawa walikuwa ni wezi wa international calls kutoka Tellekom, jamaa walikuwa wana pesa za hatari , wengi waliingia kwenye starehe na vyupi pesa ikapotea na tellekom wakaziba mianya ya uhalifu ule , wengi niliowajua ni marehemu kwa sasa..
 
Vijana wengi wa kitanzania wameuwa ndoto zao kwa kuendekeza, viuno, pombe, bangi na mihadarati mingine.

Nchi hii ina raia wa nchi zote za Afrika. Lkn watanzania ndio wanaoongoza kwa uteja.
Ukifuatilia swala la mateja wa kigeni wanaoishi nchi hii basi 80% ni watanzania.
Uvivu bongo umesababiswa na kufata sera za ujamaa,
Watu wanaona hata wasipofanya kazi watakula tu , ukijitima unapewa majina kama mtu wa dili , mchawi n.k ukienda mikoa ya pwani, kwenye mikorosho miembe na minazi hali ni mbaya zaidi, vijana hataki kabisa kufanya kazi, yet wanataka maisha mazuri , shida inaanzia hapo.
Kijana anayejituma bongo anaonekana nuksi kwenye kundi la vijana wenzake.
 
Bado TZ inanishawishi niipende kimaisha ingawa sijui lini nitakuwa Tajiri kama Kiduku Lilo A.K.A Lugano, Msomi mwenye PhD kama akina Dkt. Msukuma, gari la kishua kama akina Extrovert & Prondo na umaarufu kama Piere Liquid kwa sababu za usalama zaidi ingawa kifo kipo popote tu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wasukuma wakatazwe kuchangia madame ona huyu sasa
 
Yaani nikwa Durban, nilikuwa nasikitika sana kuona vijana wa bongo, wengi hawataki kufanya shughuli zozote halali,kama walivyo jamaa toka Zim,Malawi au Mozambique...wengi wanaotaka shortcut deals tu kama vile bongo..na wengi jioni wanakwenda lala chini ya ' flyovers bridge za mabarabara...... kaazi kweli kweli.....
Ni aibu sana, imagine hata wamalawi wanatushinda namna ya kuendesha maisha nchi hii.

Ukienda kwenye deal la mashamba ya wazungu utawakuta wamalawi, ukienda kwenye garden boy ni wamalawi na wana make money kinoma, deal la kuuza laini za sim ambazo zina data au bando limehodhiwa na wamalawi huku wabongo wakiishia kuvizia wanaoweka sim vibaya ndan ya begi wapige ndole.

Sasa hivi wamalawi wamejaa sana katika kazi ya delivery kwa kutumia gari au piki piki. Hiyo kazi ina pesa ndefu maana kwa mwezi mtu wa piki piki peke yake hakosi R12,000 hadi 15,000 ambayo thaman yake ni karibia milioni 2 za bongo. Mbongo anataka auze bangi au unga mwisho wa siku ajikute anabwia mwenyewe na kuwa teja la kutupa.
 
Kweli ila tushukuru mungu bongo amani ipo, si kwamba ujambazi haupo la , ila si kwa kiwango ama umbali wa crime syndcates za wenzetu, hitmens opertion ni zoezi kama lile la kumpoteza lisu pale dom , kwa maelezo ya lisu unaona kulikuwa na chain ndefu sana ya watu, utakuwa umedhulumiwa kiasi gani hadi uweze kufinance zoezi kama lile?
South africa hitman anakupoteza kwa deni la laki tu , sio rands!!! , madafu
Yah ni kumshukuru Mungu kwa kutuweka na crimes kubwa kubwa kama hizi za nchi zingine.
 
Kilichomtokea baba yako mdogo ndio typical story ya wabongo wakiwa south africa!!
Tukubali tu bado tuna ushamba wa maisha !! Ndo sababu south africa tunapotezwa sana .
Enzi za waganga kupiga pesa south ziliambatana ma enzi za "wazee wa chaka" hawa walikuwa ni wezi wa international calls kutoka Tellekom, jamaa walikuwa wana pesa za hatari , wengi waliingia kwenye starehe na vyupi pesa ikapotea na tellekom wakaziba mianya ya uhalifu ule , wengi niliowajua ni marehemu kwa sasa..
Swadakta kabisa. Umenikumbusha enzi za call za mchongo. Kweli wale jamaa waliokuwa wanapigisha sim asilimia 98% ni choka mbaya na wengi wao ni mateja wa kutupa.
 
Uvivu bongo umesababiswa na kufata sera za ujamaa,
Watu wanaona hata wasipofanya kazi watakula tu , ukijitima unapewa majina kama mtu wa dili , mchawi n.k ukienda mikoa ya pwani, kwenye mikorosho miembe na minazi hali ni mbaya zaidi, vijana hataki kabisa kufanya kazi, yet wanataka maisha mazuri , shida inaanzia hapo.
Kijana anayejituma bongo anaonekana nuksi kwenye kundi la vijana wenzake.
Kweli mkuu, pamoja na kwamba vijana wengi wanalalamikia serikali kuwa kazi hakuna. Lakini ukweli ni kwamba hata hizo kazi zingekuwepo wasingefanya.

Huko pwani unakuta vijana wanashinda kwenye drafti, bao nk huku wakisubiri nazi zikomae wakaokote au kutungua wauze maisha yaende. Swala la kujituma ili kutengeneza maisha yao haliwahusu.
 
Back
Top Bottom