Mtanzania ndio binadamu pekee bila kumbembeleza hawezi kufanya kazi ipasavyo

Mtanzania ndio binadamu pekee bila kumbembeleza hawezi kufanya kazi ipasavyo

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ndugu zangu mimi ni mtanzania, ila watanzania tunahitaji mabadiliko makubwa sana hasa kwenye sekta ya ajira.

Watanzania tunaringa, wavivu japo siyo wote ila asilimia kubwa tupo hivyo, nenda kwenye mabank, hosptalini, nida, manispaa, tra kwenye viwanda nakadhalika, aiseeh utachoka.

Alafu umkute ana elimu yake utamwambia nini? Yaani unamueleza shida yako anakutizama kana kwamba unamkera, wakati yupo pale kutimiza majumu yake pia kujipatia kipato.

Niliwahi kwenya ofisi moja ya serikali yule dada sitokuja kumsahau alikataa katukatu kunihudumia, ananitizama juu mpaka chini kaka jiongeze hilo tatizo nalimaliza chap hapa, huku akichezea smartphone yake.

Ndugu zangu mtanisamehe sana kama kuna yeyote nimemkwaza, tubadilike.
 
Ni kweli mkuu watu wanajisahau Sana, wakishakaa sehemu ina viyoyozi , dispenser ya Maji na ka laptop kake basi anajiona amemaliza , kwakwel inasikitisha Sana hii ego sijui inatokea wap?

Watu hawatimizi majukumu yao mpaka watanguliziwe pesa au kama hvyo kubembelezwa
 
Kulikuwa na huyo afisa mmoja, yeye mda wa ofisini anautumia kuendesha biashara zake alizoziacha nyumbani. Hafanyi kazi za ofisini anafanya za kwake za nyumbani kutwa kupiga simu na kuorganize biashara za nyumbani.
 
Ndugu zangu mimi ni mtanzania, ila watanzania tunahitaji mabadiliko makubwa sana hasa kwenye sekta ya ajira.

Watanzania tunaringa, wavivu japo siyo wote ila asilimia kubwa tupo hivyo, nenda kwenye mabank, hosptalini, nida, manispaa, tra kwenye viwanda nakadhalika, aiseeh utachoka.

Alafu umkute ana elimu yake utamwambia nini? Yaani unamueleza shida yako anakutizama kana kwamba unamkera, wakati yupo pale kutimiza majumu yake pia kujipatia kipato.

Niliwahi kwenya ofisi moja ya serikali yule dada sitokuja kumsahau alikataa katukatu kunihudumia, ananitizama juu mpaka chini kaka jiongeze hilo tatizo nalimaliza chap hapa, huku akichezea smartphone yake.

Ndugu zangu mtanisamehe sana kama kuna yeyote nimemkwaza, tubadilike.
Ni kweli mkuu watanzania wanawaza ngono kubeti na kucheza Dubwi the future generations will be softier because they believe in easy ways to get money kama forex wazee wa pesa za ku download.
 
Tupo hivyo wengi,inahitaji kuelimishwa sana,
Ukipata nafasi, ya kufanya, kazi, na wa Kenya, Nigeria, SA, Zimbabweans, utajifunza kuchapa kazi,
Pata nafasi ufanye kazi na mzungu au mchina,utajifunza kueshimu kazi
Inatakiwa kabla mfanyakazi hajaripoti kazini apitie jkt kwanza afundishwe ukakamavu na kuwa faster watanzania ni wavivu na wapo slow sana kazi yao ni umbea na majungu ukikaa vibaya wana kuroga.
 
Ni kweli mkuu watu wanajisahau Sana, wakishakaa sehemu ina viyoyozi , dispenser ya Maji na ka laptop kake basi anajiona amemaliza , kwakwel inasikitisha Sana hii ego sijui inatokea wap?

Watu hawatimizi majukumu yao mpaka watanguliziwe pesa au kama hvyo kubembelezwa
Hao ndio wakistaafu wanapata tabu unaweza ukamkuta asubuh kwake anakata majani huku kachomekea na viatu kapiga kiwi kama anaenda kazini.
 
Inatakiwa kabla mfanyakazi hajaripoti kazini apitie jkt kwanza afundishwe ukakamavu na kuwa faster watanzania ni wavivu na wapo slow sana kazi yao ni umbea na majungu ukikaa vibaya wana kuroga.
Kwani tatizo ni kutopita JKT au ni utamaduni wa muda mrefu uliojengeka ambao umeishatuathiri?

Kwani huko jeshini kwenye hakuna ubabaishaji?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu mimi ni mtanzania, ila watanzania tunahitaji mabadiliko makubwa sana hasa kwenye sekta ya ajira.

Watanzania tunaringa, wavivu japo siyo wote ila asilimia kubwa tupo hivyo, nenda kwenye mabank, hosptalini, nida, manispaa, tra kwenye viwanda nakadhalika, aiseeh utachoka.

Alafu umkute ana elimu yake utamwambia nini? Yaani unamueleza shida yako anakutizama kana kwamba unamkera, wakati yupo pale kutimiza majumu yake pia kujipatia kipato.

Niliwahi kwenya ofisi moja ya serikali yule dada sitokuja kumsahau alikataa katukatu kunihudumia, ananitizama juu mpaka chini kaka jiongeze hilo tatizo nalimaliza chap hapa, huku akichezea smartphone yake.

Ndugu zangu mtanisamehe sana kama kuna yeyote nimemkwaza, tubadilike.
Ni janga la taifa mkuu. Ajabu wakifukuzwa kazi au mashirika na makampuni yakiajiri wageni hao ndio wa kwanza kulalamika na kutaka kuwaonea huruma!
Tatizo kubwa lililopo kwenye mashirika ya umma, taasisi na wizara ni hao wafanyakazi kutokupewa target za siku, wiki na mwezi. Pia ofisi kutokufanya performance review.
TUBADILIKE, HASA WADANGANYIKA...😠🤬
 
Nakumbuka one time nina rafiki mkenya nlienda naye immigration hapo Serengeti area ,karibu na uwanja wa taifa, aisee ,Yaani yule mdada reception alikuwa jeuri balaa. Jamaa anaitisha stamp aongezewe siku hawashughuliki ilhali jamaa alikuja kuwekeza ,bingwa alikuwa don mbaya Sana .

Ile incident ilimkera Sana ,hakuwekeza kabisa ,alienda zenji siku mbili kurudi dar alipanda ndege kimoja mpaka Nairobi .
Zaidi ya billioni 12 iliingia maji hivo tu kisa dharau za mtu ofisi ya serikali, kwanza ukiimuliza siku hizi anawaambia wakenya wenye Hela Yaani marafiki zake bongo wasiende .
Wafanyikazi badilikeni
 
Nakumbuka one time nina rafiki mkenya nlienda naye immigration hapo Serengeti area ,karibu na uwanja wa taifa, aisee ,Yaani yule mdada reception alikuwa jeuri balaa. Jamaa anaitisha stamp aongezewe siku hawashughuliki ilhali jamaa alikuja kuwekeza ,bingwa alikuwa don mbaya Sana .

Ile incident ilimkera Sana ,hakuwekeza kabisa ,alienda zenji siku mbili kurudi dar alipanda ndege kimoja mpaka Nairobi .
Zaidi ya billioni 12 iliingia maji hivo tu kisa dharau za mtu ofisi ya serikali, kwanza ukiimuliza siku hizi anawaambia wakenya wenye Hela Yaani marafiki zake bongo wasiende .
Wafanyikazi badilikeni
Uongo mwingine!
Hii ni chai
Don toka Kenya?
Visa imekwisha
Wakati angeweza
Kupata Entry point anapoingia kwa miezi mitatu.
 
Nipo hapa ofisi fulani ya uma nambembeleza mhasibu anifanyie malipo yangu ambayo kayashikilia tangu last week na hana sababu za maana zaidi ya kujizungusha zungusha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ungenyoosha mkono, watanzania ndio wapendacho
Ndugu zangu mimi ni mtanzania, ila watanzania tunahitaji mabadiliko makubwa sana hasa kwenye sekta ya ajira.

Watanzania tunaringa, wavivu japo siyo wote ila asilimia kubwa tupo hivyo, nenda kwenye mabank, hosptalini, nida, manispaa, tra kwenye viwanda nakadhalika, aiseeh utachoka.

Alafu umkute ana elimu yake utamwambia nini? Yaani unamueleza shida yako anakutizama kana kwamba unamkera, wakati yupo pale kutimiza majumu yake pia kujipatia kipato.

Niliwahi kwenya ofisi moja ya serikali yule dada sitokuja kumsahau alikataa katukatu kunihudumia, ananitizama juu mpaka chini kaka jiongeze hilo tatizo nalimaliza chap hapa, huku akichezea smartphone yake.

Ndugu zangu mtanisamehe sana kama kuna yeyote nimemkwaza, tubadilike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu mimi ni mtanzania, ila watanzania tunahitaji mabadiliko makubwa sana hasa kwenye sekta ya ajira.

Watanzania tunaringa, wavivu japo siyo wote ila asilimia kubwa tupo hivyo, nenda kwenye mabank, hosptalini, nida, manispaa, tra kwenye viwanda nakadhalika, aiseeh utachoka.

Alafu umkute ana elimu yake utamwambia nini? Yaani unamueleza shida yako anakutizama kana kwamba unamkera, wakati yupo pale kutimiza majumu yake pia kujipatia kipato.

Niliwahi kwenya ofisi moja ya serikali yule dada sitokuja kumsahau alikataa katukatu kunihudumia, ananitizama juu mpaka chini kaka jiongeze hilo tatizo nalimaliza chap hapa, huku akichezea smartphone yake.

Ndugu zangu mtanisamehe sana kama kuna yeyote nimemkwaza, tubadilike.
Dawa yao ilikuwa Magufuli ila ndo basi tena
 
Uongo mwingine!
Hii ni chai
Don toka Kenya?
Visa imekwisha
Wakati angeweza
Kupata Entry point anapoingia kwa miezi mitatu.
muda mpakani miwili hupewi with a simple passport pia ushawai jaribu kuchukua permits za ujenzi wa ghorofa kadhaa dar as a foreigner , process yenyewe ni complex sana , kuna buracracy tele involved it takes roughly 6-7 months kuweka everything in order hamna mtu anayewza anza any groundwork bila sureities from the govt , na ndio Kenya na Uganda nahandle clients kama 7 ambao ni matajiri sana , nenda kniight frank or forbes reports za kila mwaka utapata wana dollar millionaires wengi kuliko sisi na uganda combined , cha msingi immigration walifanya nipoteze samaki mkubwa sana ambaye ningepakulia miaka nyingi sana ,sema wafanyikazi serikalini mna dharau za kipuuzi sana .
 
Back
Top Bottom