Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Haya, kazi kwako, weka ndani; sisi tuko nje tunasikiliza hizo kelele 😀😁😁😁
Mi naona sisi tuamini tu kuwa kijana yuko inlove
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya, kazi kwako, weka ndani; sisi tuko nje tunasikiliza hizo kelele 😀😁😁😁
Mi naona sisi tuamini tu kuwa kijana yuko inlove
Sivutiwi na vijana wadogo mkuuHaya, kazi kwako, weka ndani; sisi tuko nje tunasikiliza hizo kelele 😀
Tatizo ni niniSivutiwi na vijana wadogo mkuu
😁😁Tatizo ni nini
😀😀😀Wew nawe una matatizo Sasa afanyajeNimetoka kufuta namba za pisi moja hapa. Inataka mda wote mchat tu, na akituma text haraka ijibiwe.
Text zenyewe hazina flow, utashangaa katuma text inasema, "Mambo!" Ukijibu atatuma tena "Niambie!".. Hapo ukikaa kimya au ukimwambia upo bize linakuja gazeti la sms za malalamiko!!! Arghhh...
HahahaKama unataka uweke kibanda sawa, ila kama ni kupooza injini tu hakuna shida
Ndoa ni mchakatoHahaha
Noma sana mkuu.
Sijui huwa wanajisikiaje!
Pump and dump .. Dump dump
She" livin " la vida loca
KATAA NDOANdoa ni mchakato
Fainali ni uzeeniKATAA NDOA
Usitutisheee usitutisheFainali ni uzeeni
Halafu nyie wabishi huwa mnapewa miaka mingi ya kulia na kusaga meno, unaweza ukagonga 90; sijui ni nani atakuwa anakusaidiaUsitutisheee usitutishe
In Maalim Seif voice.
Usitutishe Equation x.
Mkuu nikifikia level hiyo yakuchoka kiasi chakushindwa kujiwezaHalafu nyie wabishi huwa mnapewa miaka mingi ya kulia na kusaga meno, unaweza ukagonga 90; sijui ni nani atakuwa anakusaidia
Hapana huyu analeta ugumu wa mahusiano, siwezi kua mtumwa wa kuchat chat 24/7 kuna mambo mengine ya kufanya.[emoji3][emoji3][emoji3]Wew nawe una matatizo Sasa afanyaje
Mwambie nn hupendi atakuelewaHapana huyu analeta ugumu wa mahusiano, siwezi kua mtumwa wa kuchat chat 24/7 kuna mambo mengine ya kufanya.
wewe unaonaje?Ndo tunaangaliana hapa.....sijui nae ananitathimini?🤔
Haya mambo yalinishinda kwa kweli,plus makelel kama bosi wa kihindi ama kiarabu dahNimetoka kufuta namba za pisi moja hapa. Inataka mda wote mchat tu, na akituma text haraka ijibiwe.
Text zenyewe hazina flow, utashangaa katuma text inasema, "Mambo!" Ukijibu atatuma tena "Niambie!".. Hapo ukikaa kimya au ukimwambia upo bize linakuja gazeti la sms za malalamiko!!! Arghhh...
Chukulia mfano, hapo ulipo ukavunjika miguu; itakuwaje?Mkuu nikifikia level hiyo yakuchoka kiasi chakushindwa kujiweza
Naamini nitakuwa sijitambui nimesha poteza memories na sidhan kama nita kumbuka kujuta kwann niliamua kuwa red pilled.
Lkn ndoa haimaanishi kuwa hautateseka mwisho wa safari.
Tunagawana vipindi vya kuhustlE maisha safar changamoto njiani zipo mixer kuchimba dawa.
So kama nitateseka baadae nisehemu ya safar.
Au unamaanisha tukifika paradiso nako sir God atasema wakataa ndoa piteni huku.
wanazibukaga baadae utajuta maninnerNa wale ambao ni wataratibu sana kupitiliza, hawafai.
hamuelewagiMwambie nn hupendi atakuelewa