njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Huyu jamaa ni genius sana halafu si kala bachelor degree ya sheria juzijuzi tu? hii nchi ina wasomi wakali sana wa sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukumu aliyo pewa haji ni kuto kujishughulisha na shughuli yoyote ya ki soka ... Bold hapo shughuli yoyote ya soka ,...shughuli iliyo kuwa inaendelea uwanja wa benjamin mkapa ni shughuli ya ki soka mwanzo mwishoHuyu jamaa ni genius sana halafu si kala bachelor degree ya sheria juzijuzi tu? hii nchi ina wasomi wakali sana wa sheria
View attachment 2316817
Kutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?Hukumu aliyo pewa haji ni kuto kujishughulisha na shughuli yoyote ya ki soka ... Bold hapo shughuli yoyote ya soka ,...shughuli iliyo kuwa inaendelea uwanja wa benjamin mkapa ni shughuli ya ki soka mwanzo mwisho
Kutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?
Ww ukielewa shughuli ya soka basi unajua ni kupiga tu mpira ? Ilo neno litamweka pabaya huyo Haji,Kutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?
Hapo la kushangaza ni lipi?...kwa maandishi hayo ndio kawa msomi mkali?Huyu jamaa ni genius sana halafu si kala bachelor degree ya sheria juzijuzi tu? hii nchi ina wasomi wakali sana wa sheria
View attachment 2316817
Wachezaji waliotambulishwa na haji pale jana ni wa mchezo gani??Kutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?
Hao wachezaji ambao walitambulishwa ni Jabbawockeez crew au ni wachezaji wa soka?Kutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?
Ukijibiwa nifahamishe!Wachezaji waliotambulishwa na haji pale jana ni wa mchezo gani??
Ngumi? Riadha?Tennis?? Basket? Au hebu nisaidie??
Na tamasha lile lilikua la team ya mchezo upi? Na lilihusisha nn jana, nipe ufahamu nataka kuelewa.
Ndo nasubiri hapa kueleweshwa.Ukijibiwa nifahamishe!
Kutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?