dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Hi siyo hbr bwana popoma embu tengeneza content wewe acha kuchukuwa cheap news kenge wew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si hujui mpira ndiyo maana unaongea hivyo.Huyo hana umuhimu kama DJIGUI DIARRA.
Hata akiwekwa benchi miezi 9 kwa nidhamu haiathiri kikosi.
Unapenda umbea kama mwanamke wa uswahilini.Walipewa muda wa Udhuru wao na kutakiwa Kurejea Kambini Wao kwa Ujeuri ( Kipa Metacha Mnata na Kiungo Jonas Mkude ) wakarudi muda walioutaka Wao na Kocha Gamondi akawafukuza na kutowahitaji katika Kikosi chake na hatimaye Uongozi kuamua Kuwaadhibu ndani kwa ndani.
Na taarifa ya uhakika niliyonayo GENTAMYCINE ni kwamba Kipa Mnata na Kiungo Mkude ambao kwa pamoja walipewa Mkataba wa mwaka Mmoja Mmoja ukiisha hawatoongezewa tena na Shughuli yao itakuwa imeishia hapo kwa Kuichezea Yanga SC.
Haya Wazee wa Kukopi Taarifa zangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums akina Ricardo Momo, Edo Kumwembe na wale Bloggers, Watangazaji wa Michezo na Wachambuzi chukueni na hii na tambeni nayo ila msisahau tu kutoa Credits Kwangu GENTAMYCINE na huu Mtandao wangu pendwa na tukuka wa JamiiForums sawa?
Mtawaficha Wote ila siyo Mimi sawa? Makipa walioko Kambini sasa ni Djigui Diarra, Abdultwalib Mshery na Yule Dogo wa Team B tu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Unayempanulia Kutwa.Hoja za mtu mfupi
Wewe jamaa bila matusi huwezi kuishiUnayempanulia Kutwa.
yule muuza mihogo alikuharibu kabisa kapigwe bomba shauri yakoUnayempanulia Kutwa.
Kwanini mlifanya Siri wakati mengine huwa Mnashoboka wenyewe Kututangazia?Mnata na mkude walisimamishwa kwa muda kwa utovu wa nidhamu lakini wamesharudi kambini wanaendelea na mazoezi
Nae pia Ulimpanulia?yule muuza mihogo alikuharibu kabisa kapigwe bomba shauri yako
Bila hilo / hiyo Juha Wewe ungezaliwa?Wewe jamaa bila matusi huwezi kuishi
Kapigwe bombaNae pia Ulimpanulia?
Ili 'nikuweke' vyema.
You're a Hypocrite and Certified Fool.Popoma kijana Ako fei katemwa kutana nae kidimbwi leo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]UTOTO Raha sana.
Kwani mambumbumbu wenzako lini walitangaza adhabu za wachezaji wao?Mnaficha nini Kutangaza ili ijulikane wakati Wachezaji husika hawafanyi Mazoezi na Wenzao hivyo kuleta Sintofahamu kwa Mashabiki wenu?
Si huwa mnasema Nadanganya? Haya ipingeni / ikataeni basi na hii Taarifa yangu. Kudadadeki zenu...!!
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!