Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Anawashwa kwenye mfereji wa makalio[emoji23][emoji23][emoji28]
Ukiacha tu kutoa Mimba zao hovyo na kila mara ( pamoja na hiyo uliyonayo sasa ) nao wataanza Kutangaza.Kwani mambumbumbu wenzako lini walitangaza adhabu za wachezaji wao?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kama Babaako.Anawashwa kwenye mfereji wa makalio[emoji23][emoji23][emoji28]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wakusikie na Wakuelewe kwa ulichowaambia.Kwa nini nyuzi za popoma always huwa ni hekaheka? Si mngekuwa mnakausha tu mnapita kimya kimya badala ya kumchokoza huku mkijua kabisa kuwa mtaoga matusi? πππΏββοΈππΏββοΈ
Yanga ni Club ya wanachama, Wanachama ndo waajiri so wanapsawa kupewa taarifa.Adhabu inapotolewa ni kati ya mwajiri na mwajiriwa sasa wewe ulitaka Yanga wamtangazie nani? Hayo mambo ya usela yapo kwenye timu yenu huko.
Kwa hiyo Gents nae ni mwanachama wa Yanga, au unajuaje kama wanachama hawana taarifa. Sio kila taarifa ni public.Yanga ni Club ya wanachama, Wanachama ndo waajiri so wanapsawa kupewa taarifa.