Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Kajifunze kiswahili kanisani kwenuHuna hoja hapo, mimi nimelinganisha Mohamed na Yesu, wewe umekuja na ukoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajifunze kiswahili kanisani kwenuHuna hoja hapo, mimi nimelinganisha Mohamed na Yesu, wewe umekuja na ukoo
Ukiwaua unapata faida GaniKiufupi mm ningekuwa huyo mfalme wa Dubai huyo mlinzi na mke wangu wasinge kuwa wanaishi mpaka sasa.
Babu unatuchanganyia mataputapu na bia. Izo picha zinahusiana vip? Na waarabu, Hawo ni wazungu, na sio waarabuHuyo hapo nyuma kambeba kijana wake. Inasemekana walinzi wengine walimuonya jamaa anachofanya nikinyume na maadili ya kazi hakusikia. Mspenzi yalinoga hadi Hawa akamnunulia jamaa nyumba, Saa ghali za Rolex na range. Ila sasa hivi anaishi kama digidigi akihofia maisha yake yeye anavyodai.View attachment 2900817
View attachment 2900822
Hasahasa mlinzi angekufa painful death😡😡Kiufupi mm ningekuwa huyo mfalme wa Dubai huyo mlinzi na mke wangu wasinge kuwa wanaishi mpaka sasa.
Tunataka uelewe lakini neno "wenye dini yao na mila zao" wewe mbongo unajipa umuhimu kwenye mila za waarabu are you okay?!😬🤔Ww ndio mjinga hapa duniani kila mtu alizaliwa peke yake atakufa peke yake ,atazikwa peke yake,ataulizwa peke yake,ata hukumiwa peke yake na ataadhibiwa peke yake.
Siku ya hukumu hutoenda mbele ya Mungu na kujitetea kuwa nilifanya hili kisa fulani alikuwa anafanya.
Suala la yeye kutovaa hijabu yeye ndo atajua atacho jibu mbele ya Mungu wake na sio waisilam wengine.
Mbele ya mwenyezi mungu kila mtu atahukumiwa kutokana na matendo yake hapa duniani na sio kwa cheo,nguvu,umaarufu na fedha alizo kuwa nazo.
Alafu kila mtu ana haki ya kuvaa anavyo taka, ww kama unaona ni haki yako kuvaa vimini basi na wengine wana haki ya kuvaa hizo unazo ita gubi gubi la msingi amelinunua kwa hela yao.
Muarabu asingekuja Africa kufanya biashara ya utumwa hii dini ungeijuaje?!,acha ujingaSahihisho hakuna mwenye dini yake.wala muarabu uislam sio dini yake.
Hao wote uliowaorodhesha hapo ndio wenye dini yao sasa,wewe ni mamluki tuuUislam sio dini ya muarabu.maana kuna mitume ya kiyahudi ilikuja kutangaza uislam.utume na kutangaza mungu mmoja hyo kazi ilianza kwa Adam,akaja,lutwi,nuhu ukaenda akaja Ibrahim na watoto wake ikaja kwa wajukuu zake.ikapotea ikarudi tena kwa musa,zakaria,akaja yahaya ikaja kwa yesu mpaka ikamfikia Muhammad. Utasemaje uislam ni dini ya muarabu?au dini ya Muhammad.?
"Huko" ndio nin mkuu?Huko sahihi.ndo maana nimekwambia mitume woteeee.walikuja kuhubiri mungu mmoja.
Katika kuonesha dini yako ni dini ya Lusifa,ni kuumia wengine kutekeleza Imani zao. Sasa we inakuuma Nini!?Waarabu wa bongo bana! Wanajiona wao ndio wanajua uaraaabu, wanajifunika nguo gubigubi, kwa Wana wake. Wanaume vipedo na furushi la midevu lakini ona wenye dini na Mila zao wanakula Raha wewe wamekuachia utumwa. Eti unasubiri firidausiii .....ogopa
Unatamani uwe mlinzi na wewe?Walinzi wanafaidi bwana.....
Hizo mbwembwe wanazo wale waOman wa ZenjibarKumbe wavaa kobazi wa dubai hawana mbwembwe za kuvaa baibui
Yumkini yeye mwenyewe muddy alishalijua hilo mapema kwamba wenye kitabu chao alichokaa akakichakachua kuna siku watamkalia kooni akaona azidi kubuni uwongo kwamba hajui kusoma wala kuandika ili ku-punch hoja zao!Alafu Muhammad s.a.w.hakuwa anajua kusoma wala kuandika.ukisema alocopy quran kwenye biblia utakuwa unakosea.mana hata yeye kafundishwa.yeye alikuwa anakariri anachoambiwa anakwenda kuwaambia watu.na mungu alijua hilo kuwa mtakuja kusema kacopy ndo maana akamfanya asijue kusoma wala kuandika. Kwa hyo hoja yako kuwa Muhammad kacopy quran kwenye biblia HAINA MASHIKO
Hapa unakubali kabisa kila mtu ana haki ya kuvaa anavyotaka baadae tutakukuta kwenye uzi wa maandamano ya wanawake Iran kupinga kufunika kichwa. Chakushangaza huko utakua upande wa Serikali.Ww ndio mjinga hapa duniani kila mtu alizaliwa peke yake atakufa peke yake ,atazikwa peke yake,ataulizwa peke yake,ata hukumiwa peke yake na ataadhibiwa peke yake.
Siku ya hukumu hutoenda mbele ya Mungu na kujitetea kuwa nilifanya hili kisa fulani alikuwa anafanya.
Suala la yeye kutovaa hijabu yeye ndo atajua atacho jibu mbele ya Mungu wake na sio waisilam wengine.
Mbele ya mwenyezi mungu kila mtu atahukumiwa kutokana na matendo yake hapa duniani na sio kwa cheo,nguvu,umaarufu na fedha alizo kuwa nazo.
Alafu kila mtu ana haki ya kuvaa anavyo taka, ww kama unaona ni haki yako kuvaa vimini basi na wengine wana haki ya kuvaa hizo unazo ita gubi gubi la msingi amelinunua kwa hela yao.
Hao wayahudi uliwataja siyo waislam na hata Sasa vizazi vyao wapo katika dini ya hao manabii na mitume naayo ni dini ya kiyahudi Judaism.Uislam sio dini ya muarabu.maana kuna mitume ya kiyahudi ilikuja kutangaza uislam.utume na kutangaza mungu mmoja hyo kazi ilianza kwa Adam,akaja,lutwi,nuhu ukaenda akaja Ibrahim na watoto wake ikaja kwa wajukuu zake.ikapotea ikarudi tena kwa musa,zakaria,akaja yahaya ikaja kwa yesu mpaka ikamfikia Muhammad. Utasemaje uislam ni dini ya muarabu?au dini ya Muhammad.?
Amepata walinzi wapya ,majamaa yanamtazama bibie kwa pevu msosiHuyo hapo nyuma kambeba kijana wake. Inasemekana walinzi wengine walimuonya jamaa anachofanya nikinyume na maadili ya kazi hakusikia. Mspenzi yalinoga hadi Hawa akamnunulia jamaa nyumba, Saa ghali za Rolex na range. Ila sasa hivi anaishi kama digidigi akihofia maisha yake yeye anavyodai.View attachment 2900817
View attachment 2900822
Mwenye akili timamu ni rahisi kujua kipi ni kitabu cha Mungu.Kwa hiyo basi usilingamishe Biblia na quran maana havifanan na infact kimoja ni kitabu cha Mungu wa kweli na kingine ni kitabu cha shetani na kitabu kimoja kilianza kingine kikakopiwa kutoka kilichoanza kwa mistari mingi sana na tena aliyeliandika akapindisha maneno mengi tu.
Hawa kaa nao kwa akili ni wanafiki duniani hakuna na haitawahi atokee mnafiki kuwazidi.Hapa unakubali kabisa kila mtu ana haki ya kuvaa anavyotaka baadae tutakukuta kwenye uzi wa maandamano ya wanawake Iran kupinga kufunika kichwa. Chakushangaza huko utakua upande wa Serikali.