Mtawala Saudi Arabia Mohammed Bin Salman alivunjika moyo kujua wazi hatamuoa binti wa mfalme wa Dubai

Mtawala Saudi Arabia Mohammed Bin Salman alivunjika moyo kujua wazi hatamuoa binti wa mfalme wa Dubai

Huyo hapo nyuma kambeba kijana wake. Inasemekana walinzi wengine walimuonya jamaa anachofanya nikinyume na maadili ya kazi hakusikia. Mspenzi yalinoga hadi Hawa akamnunulia jamaa nyumba, Saa ghali za Rolex na range. Ila sasa hivi anaishi kama digidigi akihofia maisha yake yeye anavyodai.View attachment 2900817

View attachment 2900822
Babu unatuchanganyia mataputapu na bia. Izo picha zinahusiana vip? Na waarabu, Hawo ni wazungu, na sio waarabu
 
Ww ndio mjinga hapa duniani kila mtu alizaliwa peke yake atakufa peke yake ,atazikwa peke yake,ataulizwa peke yake,ata hukumiwa peke yake na ataadhibiwa peke yake.
Siku ya hukumu hutoenda mbele ya Mungu na kujitetea kuwa nilifanya hili kisa fulani alikuwa anafanya.
Suala la yeye kutovaa hijabu yeye ndo atajua atacho jibu mbele ya Mungu wake na sio waisilam wengine.

Mbele ya mwenyezi mungu kila mtu atahukumiwa kutokana na matendo yake hapa duniani na sio kwa cheo,nguvu,umaarufu na fedha alizo kuwa nazo.

Alafu kila mtu ana haki ya kuvaa anavyo taka, ww kama unaona ni haki yako kuvaa vimini basi na wengine wana haki ya kuvaa hizo unazo ita gubi gubi la msingi amelinunua kwa hela yao.
Tunataka uelewe lakini neno "wenye dini yao na mila zao" wewe mbongo unajipa umuhimu kwenye mila za waarabu are you okay?!😬🤔
 
Uislam sio dini ya muarabu.maana kuna mitume ya kiyahudi ilikuja kutangaza uislam.utume na kutangaza mungu mmoja hyo kazi ilianza kwa Adam,akaja,lutwi,nuhu ukaenda akaja Ibrahim na watoto wake ikaja kwa wajukuu zake.ikapotea ikarudi tena kwa musa,zakaria,akaja yahaya ikaja kwa yesu mpaka ikamfikia Muhammad. Utasemaje uislam ni dini ya muarabu?au dini ya Muhammad.?
Hao wote uliowaorodhesha hapo ndio wenye dini yao sasa,wewe ni mamluki tuu
 
Waarabu wa bongo bana! Wanajiona wao ndio wanajua uaraaabu, wanajifunika nguo gubigubi, kwa Wana wake. Wanaume vipedo na furushi la midevu lakini ona wenye dini na Mila zao wanakula Raha wewe wamekuachia utumwa. Eti unasubiri firidausiii .....ogopa
Katika kuonesha dini yako ni dini ya Lusifa,ni kuumia wengine kutekeleza Imani zao. Sasa we inakuuma Nini!?
Endeleeni kuwahimiza wake zenu wavae imini wachungaji wafaidi mapaja. Na ninyi endeleeni kuvaa kata "k" mapadri waendeleze kale kamchezo kao
 
Alafu Muhammad s.a.w.hakuwa anajua kusoma wala kuandika.ukisema alocopy quran kwenye biblia utakuwa unakosea.mana hata yeye kafundishwa.yeye alikuwa anakariri anachoambiwa anakwenda kuwaambia watu.na mungu alijua hilo kuwa mtakuja kusema kacopy ndo maana akamfanya asijue kusoma wala kuandika. Kwa hyo hoja yako kuwa Muhammad kacopy quran kwenye biblia HAINA MASHIKO
Yumkini yeye mwenyewe muddy alishalijua hilo mapema kwamba wenye kitabu chao alichokaa akakichakachua kuna siku watamkalia kooni akaona azidi kubuni uwongo kwamba hajui kusoma wala kuandika ili ku-punch hoja zao!

Haya mambo yanazungumzika hata mimi leo nikifanya hujuma kwa kitu chako lazima nibuni chamber za kuchomokea ili siku ukihoji usinishike kiwepesi same kwa muhamd ndiyo mbinu aliyotumia
 
Ww ndio mjinga hapa duniani kila mtu alizaliwa peke yake atakufa peke yake ,atazikwa peke yake,ataulizwa peke yake,ata hukumiwa peke yake na ataadhibiwa peke yake.
Siku ya hukumu hutoenda mbele ya Mungu na kujitetea kuwa nilifanya hili kisa fulani alikuwa anafanya.
Suala la yeye kutovaa hijabu yeye ndo atajua atacho jibu mbele ya Mungu wake na sio waisilam wengine.

Mbele ya mwenyezi mungu kila mtu atahukumiwa kutokana na matendo yake hapa duniani na sio kwa cheo,nguvu,umaarufu na fedha alizo kuwa nazo.

Alafu kila mtu ana haki ya kuvaa anavyo taka, ww kama unaona ni haki yako kuvaa vimini basi na wengine wana haki ya kuvaa hizo unazo ita gubi gubi la msingi amelinunua kwa hela yao.
Hapa unakubali kabisa kila mtu ana haki ya kuvaa anavyotaka baadae tutakukuta kwenye uzi wa maandamano ya wanawake Iran kupinga kufunika kichwa. Chakushangaza huko utakua upande wa Serikali.
 
Uislam sio dini ya muarabu.maana kuna mitume ya kiyahudi ilikuja kutangaza uislam.utume na kutangaza mungu mmoja hyo kazi ilianza kwa Adam,akaja,lutwi,nuhu ukaenda akaja Ibrahim na watoto wake ikaja kwa wajukuu zake.ikapotea ikarudi tena kwa musa,zakaria,akaja yahaya ikaja kwa yesu mpaka ikamfikia Muhammad. Utasemaje uislam ni dini ya muarabu?au dini ya Muhammad.?
Hao wayahudi uliwataja siyo waislam na hata Sasa vizazi vyao wapo katika dini ya hao manabii na mitume naayo ni dini ya kiyahudi Judaism.
Uislam umekuja baadae sana acheni kujiendeleza kwa wayahudi na waebrania (Hebrew).
 
Huyo hapo nyuma kambeba kijana wake. Inasemekana walinzi wengine walimuonya jamaa anachofanya nikinyume na maadili ya kazi hakusikia. Mspenzi yalinoga hadi Hawa akamnunulia jamaa nyumba, Saa ghali za Rolex na range. Ila sasa hivi anaishi kama digidigi akihofia maisha yake yeye anavyodai.View attachment 2900817

View attachment 2900822
Amepata walinzi wapya ,majamaa yanamtazama bibie kwa pevu msosi
 
Kwa hiyo basi usilingamishe Biblia na quran maana havifanan na infact kimoja ni kitabu cha Mungu wa kweli na kingine ni kitabu cha shetani na kitabu kimoja kilianza kingine kikakopiwa kutoka kilichoanza kwa mistari mingi sana na tena aliyeliandika akapindisha maneno mengi tu.
Mwenye akili timamu ni rahisi kujua kipi ni kitabu cha Mungu.
Qur-aan ni Moja tuu. Haijawahi kupigia mabadiliko yeyote toka imeletwa. Waislamu wa madhehebu yote wanaitumia hiyo tuu.

Biblia imepitia maelfu ya mabadiliko. Yapo matoleo mengi tuu ya biblia. Maneno mengi yameondoshwa na kuongezwa. Maneno yake mengi yanagongana.

Ndio sababu wakristo hawajui tofauti ya Mungu na Yesu
 
Hapa unakubali kabisa kila mtu ana haki ya kuvaa anavyotaka baadae tutakukuta kwenye uzi wa maandamano ya wanawake Iran kupinga kufunika kichwa. Chakushangaza huko utakua upande wa Serikali.
Hawa kaa nao kwa akili ni wanafiki duniani hakuna na haitawahi atokee mnafiki kuwazidi.
 
Back
Top Bottom