Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nao manaswara haoQafir FC mmeanza
Miezi nane/Tisa iliyopita walikuwa wanaonyesha mambo yanayohusu dini gani?Kama una macho ya kuona Sasa hivi TBC wanaonyesha zaidi mambo yanayohusu UISLAM au yanayokalibiana na UISLAM kuliko kipindi cha Miezi Nane/ Tisa iyopita.
Unauhakika hana maelekezo toka juu? Kabla ya kumlaumu chunguza kwanza.Mtayarishaji wa kipindi cha watoto hafai kwa sababubu anapendelea shule za kiislaam tu.
Kila jumapili kipindi cha watoto utaona amechagua shule au watoto wa kiislam tu. Utakuta wahusika wamevaa wote hijab kama yeye.
Tunataka atambue wazazi walio nyumbani sio wote wanataka watoto wao kuoa aina hiyohiyo ya utamaduni.
Wangependa kuona kipindi hicho kinaonyesha hali halisi ya malezi mchanganyiko wa imani za watanzania.
Kama Shinuna hawezi leta kipindi cha kuonesha mchanganyiko wa tamaduni za watanzania wote inafaa aachie ngazi kwa kipindi hicho.
We nae huna akili, unaangalia TBC kweli, TBC wanaangalia ccm kindakindaki hiyo ni station ya chama sio ya TaifaMtayarishaji wa kipindi cha watoto hafai kwa sababubu anapendelea shule za kiislaam tu.
Kila jumapili kipindi cha watoto utaona amechagua shule au watoto wa kiislam tu. Utakuta wahusika wamevaa wote hijab kama yeye.
Tunataka atambue wazazi walio nyumbani sio wote wanataka watoto wao kuoa aina hiyohiyo ya utamaduni.
Wangependa kuona kipindi hicho kinaonyesha hali halisi ya malezi mchanganyiko wa imani za watanzania.
Kama Shinuna hawezi leta kipindi cha kuonesha mchanganyiko wa tamaduni za watanzania wote inafaa aachie ngazi kwa kipindi hicho.