Habari za mda wanajukwaa.
Moja kwa moja niende kwemye mada husika.
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wanafunzi wa elimu ya juu hapa nchi kuwa wamecheleweshewa stahiki zao( fedha za kujikimu) kutoka bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Ifahamike ya kuwa hizo pesa ni mikopo na sio misaada kwa wanafunzi hao, ambayo baadae watatakiwa kuilipa tena kwa riba.
Hoja yangu ni kuwa ikiwa watatakiwa kuilipa tena kwa riba, kwa ufaham wangu mdogo ni kuwa ikiwa utachelewa kulipa mkopo ukubwa wa deni hiongezeka, sasa ikiwa ni hivyo je, ni kipi kinatakiwa kufanywa na bodi ya mikopo pale wanapochelewesha malipo ya mikopo kwa wanafunzi.
Nadhani wanafunzi wanatakiwa kutumia futsa hii kuishtali bodi ili na wao wapate riba kwakuwa wamecheleweshewa stahiki zao, kitu kilichopelelea usumbufu kwao..
N.b
Hili linatakiwa kuwa kama sehemu ya practical kwa wanafunzi wanaosoma masomo ya sheria
Moja kwa moja niende kwemye mada husika.
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wanafunzi wa elimu ya juu hapa nchi kuwa wamecheleweshewa stahiki zao( fedha za kujikimu) kutoka bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Ifahamike ya kuwa hizo pesa ni mikopo na sio misaada kwa wanafunzi hao, ambayo baadae watatakiwa kuilipa tena kwa riba.
Hoja yangu ni kuwa ikiwa watatakiwa kuilipa tena kwa riba, kwa ufaham wangu mdogo ni kuwa ikiwa utachelewa kulipa mkopo ukubwa wa deni hiongezeka, sasa ikiwa ni hivyo je, ni kipi kinatakiwa kufanywa na bodi ya mikopo pale wanapochelewesha malipo ya mikopo kwa wanafunzi.
Nadhani wanafunzi wanatakiwa kutumia futsa hii kuishtali bodi ili na wao wapate riba kwakuwa wamecheleweshewa stahiki zao, kitu kilichopelelea usumbufu kwao..
N.b
Hili linatakiwa kuwa kama sehemu ya practical kwa wanafunzi wanaosoma masomo ya sheria