Lakini mama ndo ukaa na binti mda mwingi mama hata danga wa binti anamjua maadamu simu na vihela vidogo vidogo tuTabia ya ndani kabisa ya mke ni ile ya shangazi yake, hiyo ya mama ni force ya mazingira tu. Niamini mimi.
Sent from my TECNO WX3LTE using JamiiForums mobile app
Aise unaonaje ili nisikariri nikuoe wewe?😋😋[emoji38][emoji38][emoji38]ww kariri maisha
Usianze kuchanganyikiwa bado mapemaaaaa safar ndio kwanza inaanza[emoji1]Aise unaonaje ili nisikariri nikuoe wewe?[emoji39][emoji39]
Hivi siku hizi kuna watu wanaishia la saba, mi nadhani wengi wanaishia form fourNdoa haina kanuni, kuna waliooa wenye degree na maisha yanaenda safi kabisa , kuna waliooa la saba wakiamini kwa level yao ya elimu watakua submissive lakini wakakuta patupu. pia kuoa mke uliyemzidi sana elimu ni tabu. Mnapishana sana kwenye uelewa na uwezo wa kuchanganua mambo. Ukimkosoa ataona unamdharau sababu umemzidi elimu, wengi wao upeo wa kufikiri upo chini. Elimu inasaidia kufuta ujinga, wengi wao wako na ka ujinga flani hivi kwenye mindset zao
Hivi siku hizi kuna watu wanaishia la saba, mi nadhani wengi wanaishia form four
Gari ishawakaaa mama.Usianze kuchanganyikiwa bado mapemaaaaa safar ndio kwanza inaanza[emoji1]
....umeua Bendi Mkuu.....Acha uwoga mwanamke wako mwenyewe unashindwa kumcontrol elimu haina nafasi kwenye ndoa mnyooshe ukilegea we ndio atakunyoosha kingine tafuta pesa we unapiga hesabu za kukaanga mihogo.
We unafkiri aliruka tu toka utotoni chuo afu kwako hapa katikati ameshatumika na watu kibao wenye fedha, wahuni, walevi ndio na wewe mcha mungu ukampata kwa hiyo ana experience kibao. Ukimwacha sisi tunamdaka na kumla tenah kiustadi [emoji39][emoji39]
Too generalized. Weka utafiti wa kina. Nadhani hapa tatizo si kiwango cha elimu bali ubora au ubovu wa malezi. Kuna jamii zina tabia mbaya kama zile zinazoamini katika pesa babangu.Mada iko nyepesi kabisa vijana wakiume tukimbilieni darasa la Saba au kidato cha nne aliyeshindwa Kwani wengi wao ndo wake sahihi ukimkuta mwenye dini.
Msichana wa chuo kikuu anaamini ndo ni smartphone na kuweka bando tu kucheki sinema.
Wanajua out Mara zawadi eeeh za kitoto kabisa lakini hawawezi hata kukaanga mihogo maana wanataka biashara za vyumba vya kukodi.
Ushauri wangu
Vijana mkubali kufa na utamu wako kuliko kutafuta mke wa chuo kikuu utajuta ndugu, waacheni hao waolewe na elimu zao!?
Kivipi mkuu....umeua Bendi Mkuu.....
Kama hawafai nenda wewe!
Mambo ya kuoa na kuolewa tusitumie elimu kama kigezo.
Hata wasiosoma waliachana tena kijijini
Hizi mada za generalization zinaletwa na watu wenye sonona ama short minded people na wasiojiamini,wao hukurupuka na kuendeshwa na hisia zao na wala wao hawana mda wa kufanya utafiti.
Naomba kuishia hapo lakini kwa uzi huu nishajua mleta uzi ni mtu wa aina gani