Mtazamo: Hivi kwanini mtoto huyu anafanana sana na Ivan?

Binadamu wote ni sawa
Mwacheni mtoto afanane jamani si baba wa kaka zake huyo?.
Halafu haya mambo ya watoto sio ya kufuatilia sana yanatia presha ati bora kujinyamaziaga tu.
Anaejua baba wa mtoto ni mama pekee.
Wengine tunachangia humu huku moyoni tunawaza wale tuliowaacha home ni wetu kweli?
Basi tu kitanda hakizai haramu tunaleaga tu itajulikana mbinguni
 
Pumzika kwa Amani Bro Ivan ... Ila Nimepata Kujiuliza Maswali Mengi Inakuwaje Mtoto Huyu wa Diamond kila anavyozidi Kukua Anakuwa Kama Analeta Picha Ya Ivan ..
Wewe unataka alete picha ya Jack chain?
 
Shavu tu hilo, Ivan ndo anafanana na mtoto kwa kuwa alikuwa na shavu la kitoto.
Kiasi aachwe, baba jitu zima shavu kama bado ananyonyaaa...chaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…