Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Umetisha Sana we jamaaπWatu wanao angalia tamthilia Ni wale wenye mashati ya vitenge sare na magauni ya wake zao.
Wakienda kanisani wanakua Benet na wake zao. Hawana sauti mbele za wake zao. Wamepigwa marufuku kwenda bar. Hawali hotelini muda wa kazi, wakitoka kazini straight home na kupiga vistori na wake zao. Hawana michepuko Wala hawajui ladha ya single mazas.
Fedha zao wanatunziwa na wake zao. Mara nyingi utakuta wake zao hawaelewani na dada za mume au ndugu kwa ujumla.
π π π πSi ndo burudani, na anafata ratiba kabisa watoto wamepiga katuni yeye anaanza saa 8 na nusu
Wewe kama mimi tu. Ni either mpira au habari, basi. Huwa ninawashangaa sana wanaume wenye interest na tamthilia.Upumbavu huo......
Mimi nikikaa kwenye tv naangalia mpira. Mpira ukiisha sina business na TV
IRIS,ATHENA,FUGITIVE PLAN B,JUMONG,EMPERIOR OF SEA,ILJMAE,DAE JO YEUNG, etc he hizo sio thamthilia?Habari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
Zile series zinazotanabaisha masculinity......hazina shida isipokuwa zile ambazo hasa wewe ukiziangalia kuna ka aibu kanakujia.....IRIS,ATHENA,FUGITIVE PLAN B,JUMONG,EMPERIOR OF SEA,ILJMAE,DAE JO YEUNG, etc he hizo sio thamthilia?
Hazifai?
Chipsi yai nakula ni tamu kwelikweli.We endeleA kuangalia nani kakukataza ila nilichosema ni ukweli we kula chips yai tena kwa mkono wa shoto hata wakina anti naniliu kunaniliwa hakuwaondolei uwanaume wAo na kuwA wanawake kwa hiyo hata wewe ukiamua kufanya Tabia zako kike haitokuondolea Uwanaume wako utabaki na uwanaume wAko za kuning'inia zitakuwepo fimbo itakuwepo wala usiogope we endelea mkuu.
Vyakula vina mchango mkubwa kwenye miili yetu.....vyakula bora vinaleta afya Bora....Chipsi yai nakula ni tamu kwelikweli.
Mnaogopa vitu visivyopaswa kuogopwa, kama punga ni punga tu hata ule nguna dona harage la juzi, na kama ni rijali ni rijali tu bila kujali unachokula, kunywa au vipindi vya televisheni..
Unaogopa kula kiepe eti utakua legelege sijui utalegea πππ wabongo miyeyusho sana.
Ni mambo ya akili hayo sio vyakula.
Ni kweli kabisa ila hicho chakula hakikufanyi ubadili jinsi kutoka Me kua Ke.Vyakula vina mchango mkubwa kwenye miili yetu.....vyakula bora vinaleta afya Bora....
Vipi kama naangalia kwenye simu? Nagombania rimoti na nani?Haina tofauti uwe wafuatilia series ya action au aje nyote mnakaa mnagombea remote na watoto bado suala la kugombea tv linabaki pale pale.
Ukiwa emotional utaanza kulia peke yako kwa kwikwi.Vipi kama naangalia kwenye simu? Nagombania rimoti na nani?