Mtazamo korofi: Mwanamume kufuatilia tamthilia naona kama haijakaa sawa hivi

Mtazamo korofi: Mwanamume kufuatilia tamthilia naona kama haijakaa sawa hivi

Ukweli mtupu, kuna vitu vipo kike kike Sana! Tamthilia za kiswahili,za kutafsiri za Azam, comedies za kina joti, na upuuzi mwingine,
Mwanaume fatilia siasa, uchumi, au, movie za kibabe, Den of thieves, Night has fallen!
Hakika ndugu mimi huwa napata ukakasi kwenye hilo lakini ndio hivyo kila mtu na mtizamo wake
 
Habari za muda huu waungwana....

Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.....

Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki musculine hivi....kwa mwanaume......limekaa sana kidada na kimama mama hivi.....

Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia...

Mimi naona kama haijakaa Sawa......sijui nyinyi wenzangu......maana kila mtu na mtazamo wake....
Maisha sio complicated kihivyo mkuu...
Watu tulikuwa wapenzi sana wa Isidingo the Need. Tulikuwa die hard fans.
Hivi mkuu kuna tofauti gani ya mwanaume anayefuatilia huba na anayefuatilia series tuseme ya prison break? Wote si wanakaa kwenye TV?
By the way mimi si mpenzi wa tamthlia za kisw labda za kenya kidogo ila za tz sizielewag.
Mimi mambo yangu ni China man, Game of thrones, spartacus, Jumong yani zile series zenye plot za kizamani zamani ndio mambo yangu.
Sema nazo naona nazeeka napoteza interest siku hizi nimejikuta natazama zaidi documentary Youtube series na movies zinanifanya nashindwa kuconcentrate nikamaliza kutazama.
 
Maisha sio complicated kihivyo mkuu...
Watu tulikuwa wapenzi sana wa Isidingo the Need. Tulikuwa die hard fans.
Hivi mkuu kuna tofauti gani ya mwanaume anayefuatilia huba na anayefuatilia series tuseme ya prison break? Wote si wanakaa kwenye TV?
By the way mimi si mpenzi wa tamthlia za kisw labda za kenya kidogo ila za tz sizielewag.
Mimi mambo yangu ni China man, Game of thrones, spartacus, Jumong yani zile series zenye plot za kizamani zamani ndio mambo yangu.
Sema nazo naona nazeeka napoteza interest siku hizi nimejikuta natazama zaidi documentary Youtube series na movies zinanifanya nashindwa kuconcentrate nikamaliza kutazama.
Kuna mdau hapo juu ametanabaisha series za kufuatilia....lakini yote kwa yote unabakia kuwa utashi wa mtu
 
Back
Top Bottom