Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika ndugu mimi huwa napata ukakasi kwenye hilo lakini ndio hivyo kila mtu na mtizamo wakeUkweli mtupu, kuna vitu vipo kike kike Sana! Tamthilia za kiswahili,za kutafsiri za Azam, comedies za kina joti, na upuuzi mwingine,
Mwanaume fatilia siasa, uchumi, au, movie za kibabe, Den of thieves, Night has fallen!
Maisha sio complicated kihivyo mkuu...Habari za muda huu waungwana....
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.....
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki musculine hivi....kwa mwanaume......limekaa sana kidada na kimama mama hivi.....
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia...
Mimi naona kama haijakaa Sawa......sijui nyinyi wenzangu......maana kila mtu na mtazamo wake....
Hakuna shida nimetoa tu mtizamo wangusasa mkuu hizo tamthilia hakuna wanaume humo wameigiza? kwa hiyo mwanaume kufuatilia ni kosa? thou huwa sifuatilii ila sioni kama kuna shida
Sasa msingi wa hoja yako huko wapi ?Ndio maana nikasema tunatofautiana na sio jambo kutofautiana
Kuna mdau hapo juu ametanabaisha series za kufuatilia....lakini yote kwa yote unabakia kuwa utashi wa mtuMaisha sio complicated kihivyo mkuu...
Watu tulikuwa wapenzi sana wa Isidingo the Need. Tulikuwa die hard fans.
Hivi mkuu kuna tofauti gani ya mwanaume anayefuatilia huba na anayefuatilia series tuseme ya prison break? Wote si wanakaa kwenye TV?
By the way mimi si mpenzi wa tamthlia za kisw labda za kenya kidogo ila za tz sizielewag.
Mimi mambo yangu ni China man, Game of thrones, spartacus, Jumong yani zile series zenye plot za kizamani zamani ndio mambo yangu.
Sema nazo naona nazeeka napoteza interest siku hizi nimejikuta natazama zaidi documentary Youtube series na movies zinanifanya nashindwa kuconcentrate nikamaliza kutazama.
Mwanaume anafuatilia tamthilia ya HubaInategemea na Aina ya tamthilia Mkûu.
Mimi naangalia tamthilia za kipelelezi ziko pouwa.
Ila sipendi tamthilia zilizopoa, maelezo mengi, mapenzi mengi, yàani tamthilia kama za telemundo, telenova
Ni mtihani lakini ndio hivyo tena ni utashi wa mtuMwanaume anafuatilia tamthilia ya Huba
Haina tofauti uwe wafuatilia series ya action au aje nyote mnakaa mnagombea remote na watoto bado suala la kugombea tv linabaki pale pale.Kuna mdau hapo juu ametanabaisha series za kufuatilia....lakini yote kwa yote unabakia kuwa utashi wa mtu
Kila mtu na starehe yake shehee wangu.Sina fikra potofu ndio maana nimejisemea mtazamo wangu tu kama wewe ulivyo toa wa kwako
Hoja yangu ni kuwa kwa mtazamo wangu naona kama haiko poa kwa mwanaume kufuatilia hivyo vitu.....lakini unabakia kuwa mtizamo wangu tu hivyo na wengine wapo huru kutoa maoni Yao na mitazamo yaoSasa msingi wa hoja yako huko wapi ?
Hahahaha sawa mdauHaina tofuti uwe wafuatilia series ya action au aje nyote mnakaa mnagombea remote na watoto bado suala la kugombea tv linabaki pale pale.
Hakika ndugu yangu....ndio maana nikasema ni mtazamo wangu tuKila mtu na starehe yake shehee wangu.
Basi hakukuwa na logic ya kuanzisha huu uzi.Hoja yangu ni kuwa kwa mtazamo wangu naona kama haiko poa kwa mwanaume kufuatilia hivyo vitu.....lakini unabakia kuwa mtizamo wangu tu hivyo na wengine wapo huru kutoa maoni Yao na mitazamo yao
Kichwa cha habari kinajieleza wazi.....au ulitegemea mabishano na majibizanoBasi hakukuwa na logic ya kuanzisha huu uzi.
Hahahaha......hamjakatazwa mkuuKweli Wanaume wa DSM tunaonewa
~Tunapigwa vita kula Chipsi
~Tumepigwa vita kuoshwa miguu na Kucha tukienda Saluni
~Sasa hadi Kuangalia Tamthiliya tumeanza kukatazwa
Kwani hatuwezi kumlipa Kibatala atutetee 😜🙌
Sawa nduguTuwekeze nguvu kushauri watu kuhusu Magonjwa ya Zinaa
Mungu
Hayo mengine tuwaache watu wafanye waonavyo ni sawa kwao na Mungu au mungu wao