Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

Mbaya zaidi, Humphrey anasemaJecha alikuwa
sahihi kisheria na kikatiba kufuta uchaguzi. Ansahau kuwa mpaka sasa Jecha hajasema alitumia sheria ipi na kifungu kipi cha sheria, wala hattaji chapter y a katiba aliyotumia.

Polepole is a nincompoop, period
 
Hizo dola bil 3 kwa Egypt & billion 6 kwa Israel ni za mfuko wa MCC? Acha kuchanganya mambo na kujivua ufahamu. Mmeshawapora waZNZ haki yao ..endeleeni tu kusheherekea na kupeana nyadhifa
Hatuangalii ni mfuko gani kwani huko misri anatoa pesa hizo mburundi,au wakenya na mcc zinatoka burundi au japani
 


Kwa uwandishi huu TRUMP hajakutukana itakuwa kakusifia, Naona sasa unakula na Watawala kelele zote kwisha, hay Kutesa kwa zamu.Leo CCM imekuwa nzuri.

Hivi kwa wewe uliyejipambanua kama mtetezi wa katiba ya wanyonge leo UMEKENGEUKA NAMNA HII ?
 
Sikuhizi ni shida ana kujadili na watu humu, hivi kwanini hamfikir kabisa?

Mmarekani natoa Hela Misri kubariki Ubakaji wa Demokrasia na ni kw amslahi yake OVU na Kuilinda Israel.

Je ulitaka na Tanzania-CCM wapewe hela pia kwa kubaka demokrasia Huko znz na huku bara?

Embu tufikiri kwanza kabla ya kuandika.
 
Mtaisoma namba na hapo bado hadi wahisani wote wapige pini misaada yao yote na bajeti yenu ndio inahitaji 40% ya fedha za kigeni ( wafadhili )sijui mtaishi vipi,kisa sheni?
Waziri wa fedha keshasema walikuwa hawakuzihesabia fedha za MCC, baada ya kuonyesha ugeugeu tangu November mwaka jana.
hata hivyo ifikie hatua hatutaitaji misaada , tunachapa kazi na kujitegemea wenyewe.
 

 
Kwahiyo mkuu unataka kuiweka Tanzania na Kenya kwenye uzani mmoja?
 
Wehu....kweli wameshavulugavuluga ss leo wanataka watuveshe koti la uzalendo kama kawaida yao........siku zote viongoz wa nchi hii hawajawah kuwa wazalendo ila wanatakaga wananchi wabebe uzalendo...wao wanatumbua tuuu....mara escrow....mara epa afu baada ya hapo wanatuimbisha ss wimbo wa uzalendo.....
 
Kama hautokuwa tayari kuwa mzalendo ndani ya nchi yako hupaswi kujivunia kuitwa mtanzania....mtu yotote mzalendo huwa tayari kuzungumza kutetea maslahi ya taifa lake ndiyo maana mzalendo kama kafulilila alikuwa tayari kuzungumza ili taifa lisongembele na siyo wachache wafaidike
 
We pole pole acha kujichetua akili na kutuletea propaganda zako hapa za si zitak mbichi hizi....hiv munatuona watanzania ss ni mazezeta na mliosoma ni ninyi tu mnaokesha kwenye vyombo vya habar munatoka povuu.....jua kwamba huwa tunawachora kupima level zenu za ujinga.....ili kujua munazidiana ujinga kwa kias gan......unaleta porojo nyingiii unazan ss hutujui hizo historia.....unazani hatujui kilichotokea Zanzibar? Na unazani hatujui kipi kimetufanya tukose hyo pesa? Na unazan hatujui kipi serikali yetu piga ua galagaza haiwezi kukifanya bila msaada kama huo wa mcc? Unazan hatujui pato la nchi yetu? Ss acha kabsa kutufanya ss watanzania mijinga......tunaelewa....na tunajua kazi ya propaganda kama hyo unayotuletea hapa
 
Mbaya zaidi, Humphrey anasemaJecha alikuwa
sahihi kisheria na kikatiba kufuta uchaguzi. Ansahau kuwa mpaka sasa Jecha hajasema alitumia sheria ipi na kifungu kipi cha sheria, wala hattaji chapter y a katiba aliyotumia.
Mkuu muda mwingine unaweza kupata ukakasi hata kujadili na watu kama Polepole maana jamaa kujipendekeza kumezidi hadi akili imemmuishia kabisa.
 
Mcc imeanza 2008 kabla ya hapo tuliishije jiulize
 
Mkuu muda mwingine unaweza kupata ukakasi hata kujadili na watu kama Polepole maana jamaa kujipendekeza kumezidi hadi akili imemmuishia kabisa.
Ukweli haupendwi na waongo sisi tunapenda ukweli ongera polepole
 
Pole pole wakati mwingine uchague kukaa kimya hasa mambo yanapoborongwa na chama chako!
Heshima yako inaporomoka kwa kasi ya ajabu!
 
Tatizo ni pale mtu anapoangalia hii suala kama la kupandikizwa kutoka nje bila ku address habari za uhuni uliofanyika katika uchaguzi wa Zanzibar na sharia Draconian za kuvunja uhuru wa habari.

Mtu mzima anatetea Jecha alivyofanya uhuni usiofuata sharia wala katiba Zanzibar?
 
Pole pole wakati mwingine uchague kukaa kimya hasa mambo yanapoborongwa na chama chako!
Heshima yako inaporomoka kwa kasi ya ajabu!
Pole pole mzalendo kwenye ukweli anaongea awali mlimsifia sana kwa sababu tu alikuwa awaseminyinyi sasa hivi mnamuona mbaya kwa kuwa mnataka awaunge nyinyi....jamani kama mtakuwa hivyo upinzani hii nchi muisahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…