Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

Uchambuzi wa MCC kesho Times FM

Kesho tarehe 31 Machi 2016, saa 1 Asubuhi nimealikwa na Times 100.5 FM. Huko nitafafanua sintofahamu na taharuki ya kusitishwa kwa awamu ya pili ya Msaada wa MCC. Nitaelezea historia ya MCC, historia yake na Tanzania, MCC Awamu ya Kwanza, na aina ya miradi iliyotekelezwa nchini na Awamu ya Pili ambayo imesitishwa (hakuna mradi uliotekelezwa). Nitaeleza tofauti ya MCC 1 and ambayo iliyokuwa inakuja kuwa MCC 2.

Kubwa ni kwamba Maisha lazima yaendelee katika Tanzania na hasa tukiendelea kuheshimu uhuru wetu na uwezo wetu wa ndani kufanya maamuzi yetu pasina kuingiliwa na mtu au Taifa lolote.

Watu wengi wanapotoshwa juu ya nini MCC 2 ilikuwa inakuja kufanya Tanzania, nitafafanua kwa kina kesho.

Kujitegemea na kujenga uwezo wa ndani kujitegemea na kupeana morali huu ni zaidi sana kuliko kulia lia na Msaada ambao haujaja.

Huu ni wakati wa kuwa Mtanzania Kwanza.

Usikose, Mjulishe na Mwingine, Please SHARE
Kuna kitu kinasakwa na huyu mwanaharakati mstaafu na mwana ccm mwaminifu
 
Huyu naye bwana!!akiona amesahaurika anatafuta pa kutokea sasa yeye na mambo ya uchumi wapi na wapi!!!ni Tz pekee ambapo mtaalam wa mambo ya lishe anaweza kuongelea uchumi,mazingira ya viumbe baharini,mambo ya nyuklia,mambo ya kijeshi na hata uchambuzi wa soka na watu wakamuamini sana kuliko hata wataalamu husika wa fani hizo!!TZ raha sana jamani.
Hahahaa umeua mkuu
 
Haka kajamaa kilichobaki ni kukaroga tu...Maana kamezidi kiherehere,mambo hayakahusu kamo tu!!Halafu kanaamini kana akili kuliko watu wengine!!
 
Dah!.....Humphrey wewe ni mtaalamu wa kila kitu
katiba
uchumi
uchimbaji
siasa
kilimo
ili mradi kila nyanja hukosi la kutufunza kitu na hukosekani ama kituo cha radio au televisheni
Ulikuwa wapi siku zote kabla mambo ya katiba hayajaanza?
 
Uchambuzi wa MCC kesho Times FM

Kesho tarehe 31 Machi 2016, saa 1 Asubuhi nimealikwa na Times 100.5 FM. Huko nitafafanua sintofahamu na taharuki ya kusitishwa kwa awamu ya pili ya Msaada wa MCC. Nitaelezea historia ya MCC, historia yake na Tanzania, MCC Awamu ya Kwanza, na aina ya miradi iliyotekelezwa nchini na Awamu ya Pili ambayo imesitishwa (hakuna mradi uliotekelezwa). Nitaeleza tofauti ya MCC 1 and ambayo iliyokuwa inakuja kuwa MCC 2.

Kubwa ni kwamba Maisha lazima yaendelee katika Tanzania na hasa tukiendelea kuheshimu uhuru wetu na uwezo wetu wa ndani kufanya maamuzi yetu pasina kuingiliwa na mtu au Taifa lolote.

Watu wengi wanapotoshwa juu ya nini MCC 2 ilikuwa inakuja kufanya Tanzania, nitafafanua kwa kina kesho.

Kujitegemea na kujenga uwezo wa ndani kujitegemea na kupeana morali huu ni zaidi sana kuliko kulia lia na Msaada ambao haujaja.

Huu ni wakati wa kuwa Mtanzania Kwanza.

Usikose, Mjulishe na Mwingine, Please SHARE
Kazi kweli kweli.
 
Uzalendo tunaujua kuliko wewe .ila sio kwa hili la kukosa hela kwa ajili ya kanchi kama wilaya .tumechoka kiherehere chako
 
Haka kajamaa kilichobaki ni kukaroga tu...Maana kamezidi kiherehere,mambo hayakahusu kamo tu!!Halafu kanaamini kana akili kuliko watu wengine!!
Hahahaha wachawi kazi kwenu
 
Akifika times fm anijibu hili,ni wapi na ni lini aliweza kuonglea Mcc kabla hawajashitisha msaada wao.
 
Uchambuzi wa MCC kesho Times FM

Kesho tarehe 31 Machi 2016, saa 1 Asubuhi nimealikwa na Times 100.5 FM. Huko nitafafanua sintofahamu na taharuki ya kusitishwa kwa awamu ya pili ya Msaada wa MCC. Nitaelezea historia ya MCC, historia yake na Tanzania, MCC Awamu ya Kwanza, na aina ya miradi iliyotekelezwa nchini na Awamu ya Pili ambayo imesitishwa (hakuna mradi uliotekelezwa). Nitaeleza tofauti ya MCC 1 and ambayo iliyokuwa inakuja kuwa MCC 2.

Kubwa ni kwamba Maisha lazima yaendelee katika Tanzania na hasa tukiendelea kuheshimu uhuru wetu na uwezo wetu wa ndani kufanya maamuzi yetu pasina kuingiliwa na mtu au Taifa lolote.

Watu wengi wanapotoshwa juu ya nini MCC 2 ilikuwa inakuja kufanya Tanzania, nitafafanua kwa kina kesho.

Kujitegemea na kujenga uwezo wa ndani kujitegemea na kupeana morali huu ni zaidi sana kuliko kulia lia na Msaada ambao haujaja.

Huu ni wakati wa kuwa Mtanzania Kwanza.

Usikose, Mjulishe na Mwingine, Please SHARE

THE MORE YOU THINK YOU ARE "MTAALAM" OF EVERYTHING, THE MORE I AM TREATING YOU AS KNOWING NOTHING. NILIKUWA NAKUAMINI SANA, ULIPO ONEKANA MARA ZA KWANZA KWENYE MJADALA WA KATIBA. ILA SASA NAKUDHARAU SANA.
 
Uchambuzi wa MCC kesho Times FM

Kesho tarehe 31 Machi 2016, saa 1 Asubuhi nimealikwa na Times 100.5 FM. Huko nitafafanua sintofahamu na taharuki ya kusitishwa kwa awamu ya pili ya Msaada wa MCC. Nitaelezea historia ya MCC, historia yake na Tanzania, MCC Awamu ya Kwanza, na aina ya miradi iliyotekelezwa nchini na Awamu ya Pili ambayo imesitishwa (hakuna mradi uliotekelezwa). Nitaeleza tofauti ya MCC 1 and ambayo iliyokuwa inakuja kuwa MCC 2.

Kubwa ni kwamba Maisha lazima yaendelee katika Tanzania na hasa tukiendelea kuheshimu uhuru wetu na uwezo wetu wa ndani kufanya maamuzi yetu pasina kuingiliwa na mtu au Taifa lolote.

Watu wengi wanapotoshwa juu ya nini MCC 2 ilikuwa inakuja kufanya Tanzania, nitafafanua kwa kina kesho.

Kujitegemea na kujenga uwezo wa ndani kujitegemea na kupeana morali huu ni zaidi sana kuliko kulia lia na Msaada ambao haujaja.

Huu ni wakati wa kuwa Mtanzania Kwanza.

Usikose, Mjulishe na Mwingine, Please SHARE



Zile hadithi nilikuwa nasoma darasa la kwanza ndiyo naelewa maudhia yake sasa hivi baada ya miaka kama 20 hivi ndiyo naelewa maudhui ya Shairi la sungura karuka ruka karuka tena juu mtini ...

Sorry kama mesahau exactly... but ninajifunza maudhui mengine juu ya hii ya mcc..

My take bora wakuu wangekula kimia upepo upiteeee rather thank talking too much mnakuwa next to Sungura...[/QUOTE]
 
Ana kashfa ya kutembea Na vibinti vidogo vya sekondari.ni bora punguani huyu asie Na haya,Mwana mtoka bapaya, fedhuli Na baladhuli ajitakase kwanza kuwa kaacha ngono zembe kuliko kuzungumzia MCC.
 
haina haja ya kumsikiliza,sisi kina gogo la shamba tumeshajua ataeleza nini, zaidi ni kusema tuachane na misaada ya aina ya MCC tujenge tabia ya kujitegemea. ila tutapenda atuambie na hii misaada ya Japani tuwarudishie?
 
Kujua mambo ni katika kusikiliza ndipo tunajifunza na kuchambua sio kubeza, kuchambua na kulinganisha kunazalisha ufahamu, kubeza kunadumaza akili ya ufahamu unabaki na hicho kimoja unachokiamini hata kama kuna up;ana wa kujenga ufahamu.
 
Mh kwadunia ya sasa sijui kama kunamtu anae kubali lawama.

Sidhani km huyu jamaa atatupia lawama chama chake hata km kina makosa, si ajabu kuzipeleka hizo lawama kwa wengine hata km hawastahiki, ili waonekan wao sio bt kwa mwenye akili yake atajua nini kinamaanishwa ila wale wafata upepo watelekea utakapo elekea upepo.
Yaani nchi hii hawa jamaa wanavyo taka kuifanya, eti wakikutia kidole uridhie na ukisema wakujua wengine na jamaa akinuniwa atakushutumu wewe kwa kununiwa, hahahaha.
 
Personal attack! Kweli ni wavivu wa kufikiri. Sikiliza hoja, jibu hoja kwa hoja
 
Uchambuzi wa MCC kesho Times FM

Kesho tarehe 31 Machi 2016, saa 1 Asubuhi nimealikwa na Times 100.5 FM. Huko nitafafanua sintofahamu na taharuki ya kusitishwa kwa awamu ya pili ya Msaada wa MCC. Nitaelezea historia ya MCC, historia yake na Tanzania, MCC Awamu ya Kwanza, na aina ya miradi iliyotekelezwa nchini na Awamu ya Pili ambayo imesitishwa (hakuna mradi uliotekelezwa). Nitaeleza tofauti ya MCC 1 and ambayo iliyokuwa inakuja kuwa MCC 2.

Kubwa ni kwamba Maisha lazima yaendelee katika Tanzania na hasa tukiendelea kuheshimu uhuru wetu na uwezo wetu wa ndani kufanya maamuzi yetu pasina kuingiliwa na mtu au Taifa lolote.

Watu wengi wanapotoshwa juu ya nini MCC 2 ilikuwa inakuja kufanya Tanzania, nitafafanua kwa kina kesho.

Kujitegemea na kujenga uwezo wa ndani kujitegemea na kupeana morali huu ni zaidi sana kuliko kulia lia na Msaada ambao haujaja.

Huu ni wakati wa kuwa Mtanzania Kwanza.

Usikose, Mjulishe na Mwingine, Please SHARE
Kujitegemea kunaanza baada ya kukosa Package 2 ya MCC?
 
Back
Top Bottom