Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Nonda #87
Ubutu wa kufikiri ni tatizo kubwa nchini. Muungano upo naturally, ni kuweka misingi ya kuimarisha uwepo usiwepo tutakuwa pamoja iwe iwavyo.
Muungano haulindwi na maderaya.USSR isingesambaratika, Shah wa Iran asingefia ughaibuni. Itafika mahali haitawezekana
Mfano, kauli ya Sitta katika video imelenga kudhoofisha muungano badala ya kuujenga
Wanaondoa suala la siasa katika majukwaa wanalipeleka katika imani.
Hawajifunzi, ktk mambo yote duniani, imani inaonekana inaunganisha watu kwa nguvu
Siku nguvu hiyo itakapotimia, dereya, mizinga vifaru havitakuwa na kazi.
Shah wa Iran anajua, Mfalame wa Hungary anaju, Gorbachev anajua hilo
Niachie hapo
Bilioni 5 kwa maagizo wakijua SMZ haitolewi kwa karatasi.
Ilihitaji nini basi kufanya uchaguzi na kutumia migharama yote hiyo? Jipu
Gharama za kuweka majeshi kule hazielezeki na sijui kama si jipu
Rais alisafiri na kuacha shughuli za umma achilia mbali gharama kwenda kuomba MCC.
Wakati huo walijua ili kupata lazima demokrasia ya watoaji itimie.
Walirudi na kutamba, tumepewa kwasababu ya utawala bora na demokrasia!
Leo wanarudi na hadithi za kipuuzi wakituma wapambe eti MCC isiingilie Demokrasia yetu.
Huko nyuma walisifia demokrasia yetu kama kigezo cha kupata MCC.
Unaweza kuona kwanini wazungu wanatuendesha!Hatujitambui. Tulienda kuomba! jipu
Wakatueleza miradi ni matokeo ya safari za Rais na Demokrasia nchini.
Leo wanaponda eti ''tunaweza bila misaada''!
Kwanini hatukuweza wakati ndege zinaruka kwenda NY kila subuhi?
Wanaona hasira za wananchi, wanatuma wapambe watushawishi uzalendo!
Huu ni utoto! Uzalendo leo! Uzalendo gani mapesa yametumika katika ze comedy ZNZ
Hakuna cha uzalendo, ukweli unabaki pale pale MCC wapo sahihi.
Tuliende kuomba wenyewe. Tumeshindwa kujisimamia sasa wakitusimamia tuna ng'aka
Tutaanza kulipia nguzo za umeme kwasababu hawana pesa, zilikuwa za MCC
Gharama hiyo wanatupambaza eti uzalendo
Hili tusimame pamoja, hatuwezi kuwa Taifa la watu 100 au 200 ni watu milioni 45 .
Hatuwezi kudanganywa na uzalendo wakati uzalendo umewashinda wao.
Hawawezi kufuja mapesa kwa ze comedy wakitushawishi ni uzalendo
Ubutu wa kufikiri ni tatizo kubwa nchini. Muungano upo naturally, ni kuweka misingi ya kuimarisha uwepo usiwepo tutakuwa pamoja iwe iwavyo.
Muungano haulindwi na maderaya.USSR isingesambaratika, Shah wa Iran asingefia ughaibuni. Itafika mahali haitawezekana
Mfano, kauli ya Sitta katika video imelenga kudhoofisha muungano badala ya kuujenga
Wanaondoa suala la siasa katika majukwaa wanalipeleka katika imani.
Hawajifunzi, ktk mambo yote duniani, imani inaonekana inaunganisha watu kwa nguvu
Siku nguvu hiyo itakapotimia, dereya, mizinga vifaru havitakuwa na kazi.
Shah wa Iran anajua, Mfalame wa Hungary anaju, Gorbachev anajua hilo
Niachie hapo
Bilioni 5 kwa maagizo wakijua SMZ haitolewi kwa karatasi.
Ilihitaji nini basi kufanya uchaguzi na kutumia migharama yote hiyo? Jipu
Gharama za kuweka majeshi kule hazielezeki na sijui kama si jipu
Rais alisafiri na kuacha shughuli za umma achilia mbali gharama kwenda kuomba MCC.
Wakati huo walijua ili kupata lazima demokrasia ya watoaji itimie.
Walirudi na kutamba, tumepewa kwasababu ya utawala bora na demokrasia!
Leo wanarudi na hadithi za kipuuzi wakituma wapambe eti MCC isiingilie Demokrasia yetu.
Huko nyuma walisifia demokrasia yetu kama kigezo cha kupata MCC.
Unaweza kuona kwanini wazungu wanatuendesha!Hatujitambui. Tulienda kuomba! jipu
Wakatueleza miradi ni matokeo ya safari za Rais na Demokrasia nchini.
Leo wanaponda eti ''tunaweza bila misaada''!
Kwanini hatukuweza wakati ndege zinaruka kwenda NY kila subuhi?
Wanaona hasira za wananchi, wanatuma wapambe watushawishi uzalendo!
Huu ni utoto! Uzalendo leo! Uzalendo gani mapesa yametumika katika ze comedy ZNZ
Hakuna cha uzalendo, ukweli unabaki pale pale MCC wapo sahihi.
Tuliende kuomba wenyewe. Tumeshindwa kujisimamia sasa wakitusimamia tuna ng'aka
Tutaanza kulipia nguzo za umeme kwasababu hawana pesa, zilikuwa za MCC
Gharama hiyo wanatupambaza eti uzalendo
Hili tusimame pamoja, hatuwezi kuwa Taifa la watu 100 au 200 ni watu milioni 45 .
Hatuwezi kudanganywa na uzalendo wakati uzalendo umewashinda wao.
Hawawezi kufuja mapesa kwa ze comedy wakitushawishi ni uzalendo