Mtazamo: Matokeo ya vita Urusi-Ukraine ni Marekani kuitawala Dunia kikamilifu

Mtazamo: Matokeo ya vita Urusi-Ukraine ni Marekani kuitawala Dunia kikamilifu

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Nionavyo mimi

1: Kwa hatua ya sasa, anaweza kushambulia popote na chochote ndani ya Russia kupitia mgongo wa Ukraine bila Russia kumjibu moja kwa moja.
Mfano Mashambulizi na milipuko ya kigaidi ndani ya Russia kila kona.

2: Vita inaidhoofisha Ulaya huku US iliyo mbali kabisa na Vita ikiwa na nafasi ya kuendelea kwa kasi inayotaka.

3: Wakati anaishughulikia Russia kupitia Ukraine, amewawekea kitanzi China kwa Kibaraka wake Taiwan. Wakati wowote anaweza kuirudisha China zama za Mao kupitia Taiwan.

Kwa mtazamo wangu wa kawaida kabisa hii vita ni fursa kubwa kabisa kwa US kuitawala Dunia kisawaswa.

Unadhani nini kitakuwa matokeo ya Vita hii?
 
Nionavyo mimi

1: Kwa hatua ya sasa, anaweza kushambulia popote na chochote ndani ya Russia kupitia mgongo wa Taiwani bila Russia kumjibu moja kwa moja.
Mfano Mashambulizi na milipuko ya kigaidi ndani ya Russia kila kona.

2: Vita inaidhoofisha Ulaya huku US iliyombali kabisa na Vita ikiwa na nafasi ya kuendelea kwa kasi inayotaka.

3: Wakati anaishughulikia Russia kupitia Ukraine, amewawekea kitanzi china kwa Kibaraka wake Taiwan.Wakati wowote anaweza kuirudisha China zama za Mao kupitia taiwan.

Kwa mtazamo wangu wa kawaida kabisa hii vita ni fursa kubwa kabisa kwa US kuitawala Dunia kisawaswa.

Unadhani nini kitakuwa matokeo ya Vita hii?
Hivi alie wakimbia wataliban ni nani mkuu?
 
Hapa tu inaonesha huna tofauti na zelensky anayesema kati ya drone 30 za Urusi zilizorushwa kwangu, nimetungua 70 huku 7 zikilenga shabaha.
Nyinyi LGBTQ mna matatizo makubwa sana ya akili
Typo. Ukraine.

Huu ukweli ni mchungu sana.
Russia hawezi Kushambulia chochote au popote US maana hana direct kisingizio.
Lakini US na makachero wa UK wanaweza kufanya chochote na lolote kwa Russia kwa mgongo wa Ukraine sasa bila kuwa na vita na Russia.
 
Sawa hayo ni maoni yako nimeyaheshimu
IMG_20221114_112805.jpg


Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Typo. Ukraine.

Huu ukweli ni mchungu sana.
Russia hawezi Kushambulia chochote au popote US maana hana direct kisingizio.
Lakini US na wakachero wa UK wanaweza kufanya chochote na lolote kwa Russia kwa mgongo wa Ukraine sasa bila kuwa na vita na Russia.
Kwan Russia yeye hawezi panga mashambulizi ya kigaidi US na Uk au?
 
Typo. Ukraine.

Huu ukweli ni mchungu sana.
Russia hawezi Kushambulia chochote au popote US maana hana direct kisingizio.
Lakini US na wakachero wa UK wanaweza kufanya chochote na lolote kwa Russia kwa mgongo wa Ukraine sasa bila kuwa na vita na Russia.
Kwa kuwa kenge amekuwa hasikii, kitakachofuata viwanja vya ndege vyote Ukraine vitalipuliwa, njia za reli, barabara za kuingia kwa majirani ambao ni maadui kwa Urusi kama Poland nk.
Pia kutakuwa na doria ya angani, majini na nchi kavu ili kisiingie kitu.

Volodymyr zelensky hatotoka wala hatoingia kenge yeyote kutoka kwa mataifa ya LGBTQ!

Mnaichukulia Russia poa poa tangu mwanzo ila kadri Russia inavyowabadilishia mziki mnapiga yowe eti dunia iungane na Ukraine.

Unachokiongea kina ukweli fulani ndani yake ila nikwambie tu kwamba, Urusi inawaachia NATO mwanya huo kwa kuwa inawamudu vizuri.
Pia Urusi inatafuta sababu ya kuweka maarufu ya safari zote ndani ya Ukraine kuanzia za majini angani na nchi kavu.

Zelensky ameomba sana mataifa ya magharibi yaweke no fly zone ili Urusi asiweze kufanya atakayo ila si kwamba wameogopa bali hawawezi kumzuia Mrusi! Wangeweza wangeshaweka kitambo sema ndio hivyo.
Hatua ifuatayo ni Urusi kuweka no fly zone ndani ya Ukraine.
Si hivyo tu bali ataweka marufuku ya ardhini na majini.

Tunywe mtori nyama tutazikuta
 
Nionavyo mimi

1: Kwa hatua ya sasa, anaweza kushambulia popote na chochote ndani ya Russia kupitia mgongo wa Ukraine bila Russia kumjibu moja kwa moja.
Mfano Mashambulizi na milipuko ya kigaidi ndani ya Russia kila kona.

2: Vita inaidhoofisha Ulaya huku US iliyombali kabisa na Vita ikiwa na nafasi ya kuendelea kwa kasi inayotaka.

3: Wakati anaishughulikia Russia kupitia Ukraine, amewawekea kitanzi china kwa Kibaraka wake Taiwan.Wakati wowote anaweza kuirudisha China zama za Mao kupitia taiwan.

Kwa mtazamo wangu wa kawaida kabisa hii vita ni fursa kubwa kabisa kwa US kuitawala Dunia kisawaswa.

Unadhani nini kitakuwa matokeo ya Vita hii?
Una utoto mwingi na story za kwenye kahawa..eti "mashambulio na milipuko ya kigaidi kila kona ya Russia" hebu nipe matukio matatu ya kigaidi na watu kufa/madhara gani yalitokea. You are full of sh*t!
 
Typo. Ukraine.

Huu ukweli ni mchungu sana.
Russia hawezi Kushambulia chochote au popote US maana hana direct kisingizio.
Lakini US na wakachero wa UK wanaweza kufanya chochote na lolote kwa Russia kwa mgongo wa Ukraine sasa bila kuwa na vita na Russia.

Hata kama kisingizio anacho, Russia hawezi kuishambulia USA hata kwa kupenyeza wakala wake akachome moto hata ofisi ya mjumbe wa nyumba 10 iliopo USA na sio russia tu. Hata taifa lolote au kikundi chochote cha kigaid nje ya USA.

USA kashafunga ukurasa wa kupigana vita ndani ya taifa lake dhidi ya taifa lingine tangu miaka 100 iliopita

Ukweli Mchungu.
 
Kwa kuwa kenge amekuwa hasikii, kitakachofuata viwanja vya ndege vyote Ukraine vitalipuliwa, njia za reli, barabara za kuingia kwa majirani ambao ni maadui kwa Urusi kama Poland nk.
Pia kutakuwa na doria ya angani, majini na nchi kavu ili kisiingie kitu.

Volodymyr zelensky hatotoka wala hatoingia kenge yeyote kutoka kwa mataifa ya LGBTQ!

Mnaichukulia Russia poa poa tangu mwanzo ila kadri Russia inavyowabadilishia mziki mnapiga yowe eti dunia iungane na Ukraine.

Unachokiongea kina ukweli fulani ndani yake ila nikwambie tu kwamba, Urusi inawaachia NATO mwanya huo kwa kuwa inawamudu vizuri.
Pia Urusi inatafuta sababu ya kuweka maarufu ya safari zote ndani ya Ukraine kuanzia za majini angani na nchi kavu.

Zelensky ameomba sana mataifa ya magharibi yaweke no fly zone ili Urusi asiweze kufanya atakayo ila si kwamba wameogopa bali hawawezi kumzuia Mrusi! Wangeweza wangeshaweka kitambo sema ndio hivyo.
Hatua ifuatayo ni Urusi kuweka no fly zone ndani ya Ukraine.
Si hivyo tu bali ataweka marufuku ya ardhini na majini.

Tunywe mtori nyama tutazikuta

mfa maji
 
Back
Top Bottom