Mtazamo: Matokeo ya vita Urusi-Ukraine ni Marekani kuitawala Dunia kikamilifu

Mtazamo: Matokeo ya vita Urusi-Ukraine ni Marekani kuitawala Dunia kikamilifu

Marecan hapigani Vita visivyo na Faida.
toa takwimu za hasara walizo pata USA katika vita na Talibani.
nipo nimekaa pale.
Oy br Soma vizuri hapo
Screenshot_20221225-141434-01.jpg
Screenshot_20221225-141322-01.jpg
Screenshot_20221225-141252-01.jpg
 
Watalibani hawakukimbiwa, Bali Aliondoka baada ya kutimiza malengo yake.
Russia ndio ilikimbizwa Afganstan na US kwa Style hii hii ya Ukraine.
Soma kwa umakini hapo br. Yaani wakati Wamarekani deadline ya kuondoka Afghanistan ilikuwa Ni Aug 31 ,2021 Taliban waliendelea ku- reoccupy maeneo yaliokuwa chini ya NATO.
So kiufupi waafghanistan so watu wa kuzingatia mikataba na maadui.
Nb.
Wamarekani waliondoka kwa aibu nchini Afghanistan mnamo mwaka 2021 baada ya kupigana kwa miaka 20+ huku wakishindwa kutekeleza lengo la kuisambaratisha Taliban ambayo ndio iliyokabidhiwa Madaraka.
Screenshot_20221225-141252-01.jpg
 
Kwa kuwa kenge amekuwa hasikii, kitakachofuata viwanja vya ndege vyote Ukraine vitalipuliwa, njia za reli, barabara za kuingia kwa majirani ambao ni maadui kwa Urusi kama Poland nk.
Pia kutakuwa na doria ya angani, majini na nchi kavu ili kisiingie kitu.

Volodymyr zelensky hatotoka wala hatoingia kenge yeyote kutoka kwa mataifa ya LGBTQ!

Mnaichukulia Russia poa poa tangu mwanzo ila kadri Russia inavyowabadilishia mziki mnapiga yowe eti dunia iungane na Ukraine.

Unachokiongea kina ukweli fulani ndani yake ila nikwambie tu kwamba, Urusi inawaachia NATO mwanya huo kwa kuwa inawamudu vizuri.
Pia Urusi inatafuta sababu ya kuweka maarufu ya safari zote ndani ya Ukraine kuanzia za majini angani na nchi kavu.

Zelensky ameomba sana mataifa ya magharibi yaweke no fly zone ili Urusi asiweze kufanya atakayo ila si kwamba wameogopa bali hawawezi kumzuia Mrusi! Wangeweza wangeshaweka kitambo sema ndio hivyo.
Hatua ifuatayo ni Urusi kuweka no fly zone ndani ya Ukraine.
Si hivyo tu bali ataweka marufuku ya ardhini na majini.

Tunywe mtori nyama tutazikuta
Wewe kaswali ukalale hakuna unachojua, yaani Russia aweke No Fly Zone ndani ya nchi nyingine mbona basi asimalize vita na mwaka unaenda kwisha.
 
Watalibani hawakukimbiwa, Bali Aliondoka baada ya kutimiza malengo yake.
Russia ndio ilikimbizwa Afganstan na US kwa Style hii hii ya Ukraine.
Embu rudia hii sentensi kwa maandishi makubwa, pengine atakuelewa huyu mbweha.
 
Typo. Ukraine.

Huu ukweli ni mchungu sana.
Russia hawezi Kushambulia chochote au popote US maana hana direct kisingizio.
Lakini US na wakachero wa UK wanaweza kufanya chochote na lolote kwa Russia kwa mgongo wa Ukraine sasa bila kuwa na vita na Russia.
Acha mkuu, huyo UK hashikiki huko Ukraine. German na France nao ni wa moto mno. Bado majiran wa putini kama Finland wameanza mchakato wa NATO.

Mwezi wa 8 au 9 kupitia kambi yake pale Japan ameachilia ndege zinazozunguka maeneo karibu na Russia ili kutazama kama kutakuwa na kiashiria chochote cha russia kutumia nuclear. Hizi ndege mpaka thread zake zililetwa humu.

Biden alimwambia pUtin, ukiruhusu tu Nuclear, utajibiwa mara zaidi yake. UK akasema yupo tayari kupeleka Nuclear Poland, hii ilikuwa mwezi wa 2 toka vita vianze. Nafikiri mpaka sasa huu umoja wa NATO una zana za kila namna endapo Russia akaachilia nuclear hapo Ukraine.
 
Huwa napingana nawe kutokana na ushabiki ulionao badala ya uhalisia kwenye issue ya Ukraine na Russia. Lakini kwenye hili nakubaliana nawe, Case study ni North Korea vs South Korea economically
- Itazame Taiwan
  • Itazame Japan
  • Ulaya nzima after WW II yeye ndiye aliyewashika mkono kuinuka tena.
 
Aichague sasa china iwe masikini!
Anashindwa? Kwani China alomfanya kuwa hapo juu ni nani? Umewahi kufkiria umewekazaji wa US na Ulaya hapo china? Unajua biashara china anayouza US na ulaya?

China ni mjinga kuufyata pale US spika wao wa bunge alipoenda Taiwan?
 
Umeona vizuri. Atatawala nyaja zote, kisiasa kiuchumi na kijeshi. Pia hadi sasa USA ndio taifa pekee linaloweza kuchagua nani Awe Maskini na nani awe Tajiri.
There is no too Big issue for America
Case closed.
Mbona urusi wamemshindwa
Vikwazo ndiyo vimemuimarishia uchumi
Uchumi wa Russia umeshuka kwa asilimia mbili wakati nchi nyingine ulaya mpaka 17% yeye tu ndiyo mwenye afadhali
 
Usitoke nje ya mada, hapa hatuongelei ushoga ila wewe waleta habari za ushoga

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huo ushoga ni kibwagizo tu hapo mtoa coment amebwagia tu ila mbona imekuuma sana lakini ujumbe umesomeka vizuri na hiyo ni moja ya character yenu mbona tena inakukwazeni chief
 
Huwa naiombea sana Marekani washikilie hapo, maana hii dunia ikiachiwa makatili wa kidini kama Iran, au wakomunisti kama Urusi, tutaisha.
Jameni Marekani wasije kulemewa, waongeze nguvu na mamitambo ya kila aina na maujuzi kama yote ili tuishi salama.
 
Back
Top Bottom