Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Drama queen anajulikanamambo makubwa yenyewe ni kulenga soft Targets drama hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Drama queen anajulikanamambo makubwa yenyewe ni kulenga soft Targets drama hizi
Br Sept 11 Ni miaka 40 iliyopita?Ukweli mchungu na unauma sana
Oy br Soma vizuri hapoMarecan hapigani Vita visivyo na Faida.
toa takwimu za hasara walizo pata USA katika vita na Talibani.
nipo nimekaa pale.
Soma kwa umakini hapo br. Yaani wakati Wamarekani deadline ya kuondoka Afghanistan ilikuwa Ni Aug 31 ,2021 Taliban waliendelea ku- reoccupy maeneo yaliokuwa chini ya NATO.Watalibani hawakukimbiwa, Bali Aliondoka baada ya kutimiza malengo yake.
Russia ndio ilikimbizwa Afganstan na US kwa Style hii hii ya Ukraine.
Kama bundle unalo fatilia utaelewaHivi alie wakimbia wataliban ni nani mkuu?
Usitoke nje ya mada, hapa hatuongelei ushoga ila wewe waleta habari za ushogaHapa tu inaonesha huna tofauti na Zelensky anayesema kati ya drone 30 za Urusi zilizorushwa kwangu, nimetungua 70 huku 7 zikilenga shabaha.
Nyinyi LGBTQ mna matatizo makubwa sana ya akili
Jeshi la Marekani hata wewe ukitaka unajiunga tuUmesema vzr lakn usidhani Ni vyepesi kiasi hicho hii sio muvi Ni Vita halisi. Mrusi huyu ana makachero mpk ndani ya jeshi la US
Waongelea habari ya miaka 21 iliyopitaPale pentagon yale maafa yaliyotokea vipi unasemaje?
Au walikuwa wanafanya mazoezi USA.
Watu milioni 37 kwa sikuDawa ya china ni covid hadi wameomba poo..
Wamegoma kutoa takwimu za kila siku za maumbukizi, serikali ilitaka kuwarudisha quarantine wakagoma eti watakufa njaa
Wewe kaswali ukalale hakuna unachojua, yaani Russia aweke No Fly Zone ndani ya nchi nyingine mbona basi asimalize vita na mwaka unaenda kwisha.Kwa kuwa kenge amekuwa hasikii, kitakachofuata viwanja vya ndege vyote Ukraine vitalipuliwa, njia za reli, barabara za kuingia kwa majirani ambao ni maadui kwa Urusi kama Poland nk.
Pia kutakuwa na doria ya angani, majini na nchi kavu ili kisiingie kitu.
Volodymyr zelensky hatotoka wala hatoingia kenge yeyote kutoka kwa mataifa ya LGBTQ!
Mnaichukulia Russia poa poa tangu mwanzo ila kadri Russia inavyowabadilishia mziki mnapiga yowe eti dunia iungane na Ukraine.
Unachokiongea kina ukweli fulani ndani yake ila nikwambie tu kwamba, Urusi inawaachia NATO mwanya huo kwa kuwa inawamudu vizuri.
Pia Urusi inatafuta sababu ya kuweka maarufu ya safari zote ndani ya Ukraine kuanzia za majini angani na nchi kavu.
Zelensky ameomba sana mataifa ya magharibi yaweke no fly zone ili Urusi asiweze kufanya atakayo ila si kwamba wameogopa bali hawawezi kumzuia Mrusi! Wangeweza wangeshaweka kitambo sema ndio hivyo.
Hatua ifuatayo ni Urusi kuweka no fly zone ndani ya Ukraine.
Si hivyo tu bali ataweka marufuku ya ardhini na majini.
Tunywe mtori nyama tutazikuta
Embu rudia hii sentensi kwa maandishi makubwa, pengine atakuelewa huyu mbweha.Watalibani hawakukimbiwa, Bali Aliondoka baada ya kutimiza malengo yake.
Russia ndio ilikimbizwa Afganstan na US kwa Style hii hii ya Ukraine.
Acha mkuu, huyo UK hashikiki huko Ukraine. German na France nao ni wa moto mno. Bado majiran wa putini kama Finland wameanza mchakato wa NATO.Typo. Ukraine.
Huu ukweli ni mchungu sana.
Russia hawezi Kushambulia chochote au popote US maana hana direct kisingizio.
Lakini US na wakachero wa UK wanaweza kufanya chochote na lolote kwa Russia kwa mgongo wa Ukraine sasa bila kuwa na vita na Russia.
Kama Russia ana makachero humo ndani ya US, basi US atakuwa na makachero mpaka ndani ya Kremlin. Pengine ndo maana Putin anabadili ulinzi kila wakati.Umesema vzr lakn usidhani Ni vyepesi kiasi hicho hii sio muvi Ni Vita halisi. Mrusi huyu ana makachero mpk ndani ya jeshi la US
Angeweza angeshafanya. Kumbuka alisema atakayeisaidia Ukraine itakutana na mkono mzito, US, UK, German n.k wanapeleka misaada bila kificho.Kwan Russia yeye hawezi panga mashambulizi ya kigaidi US na Uk au?
- Itazame TaiwanHuwa napingana nawe kutokana na ushabiki ulionao badala ya uhalisia kwenye issue ya Ukraine na Russia. Lakini kwenye hili nakubaliana nawe, Case study ni North Korea vs South Korea economically
Anashindwa? Kwani China alomfanya kuwa hapo juu ni nani? Umewahi kufkiria umewekazaji wa US na Ulaya hapo china? Unajua biashara china anayouza US na ulaya?Aichague sasa china iwe masikini!
Mbona urusi wamemshindwaUmeona vizuri. Atatawala nyaja zote, kisiasa kiuchumi na kijeshi. Pia hadi sasa USA ndio taifa pekee linaloweza kuchagua nani Awe Maskini na nani awe Tajiri.
There is no too Big issue for America
Case closed.
Huo ushoga ni kibwagizo tu hapo mtoa coment amebwagia tu ila mbona imekuuma sana lakini ujumbe umesomeka vizuri na hiyo ni moja ya character yenu mbona tena inakukwazeni chiefUsitoke nje ya mada, hapa hatuongelei ushoga ila wewe waleta habari za ushoga
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app