Mtazamo: Matokeo ya vita Urusi-Ukraine ni Marekani kuitawala Dunia kikamilifu

Mtazamo: Matokeo ya vita Urusi-Ukraine ni Marekani kuitawala Dunia kikamilifu

Umeona vizuri. Atatawala nyaja zote, kisiasa kiuchumi na kijeshi. Pia hadi sasa USA ndio taifa pekee linaloweza kuchagua nani Awe Maskini na nani awe Tajiri.
There is no too Big issue for America
Case closed.
Huwa napingana nawe kutokana na ushabiki ulionao badala ya uhalisia kwenye issue ya Ukraine na Russia. Lakini kwenye hili nakubaliana nawe, Case study ni North Korea vs South Korea economically
 
Hata kama kisingizio anacho, Russia hawezi kuishambulia USA hata kwa kupenyeza wakala wake akachome moto hata ofisi ya mjumbe wa nyumba 10 iliopo USA na sio russia tu. Hata taifa lolote au kikundi chochote cha kigaid nje ya USA.

USA kashafunga ukurasa wa kupigana vita ndani ya taifa lake dhidi ya taifa lingine tangu miaka 100 iliopita

Ukweli Mchungu.
Ukweli mchungu na unauma sana
 
Kwa kuwa kenge amekuwa hasikii, kitakachofuata viwanja vya ndege vyote Ukraine vitalipuliwa, njia za reli, barabara za kuingia kwa majirani ambao ni maadui kwa Urusi kama Poland nk.
Pia kutakuwa na doria ya angani, majini na nchi kavu ili kisiingie kitu.

Volodymyr zelensky hatotoka wala hatoingia kenge yeyote kutoka kwa mataifa ya LGBTQ!

Mnaichukulia Russia poa poa tangu mwanzo ila kadri Russia inavyowabadilishia mziki mnapiga yowe eti dunia iungane na Ukraine.

Unachokiongea kina ukweli fulani ndani yake ila nikwambie tu kwamba, Urusi inawaachia NATO mwanya huo kwa kuwa inawamudu vizuri.
Pia Urusi inatafuta sababu ya kuweka maarufu ya safari zote ndani ya Ukraine kuanzia za majini angani na nchi kavu.

Zelensky ameomba sana mataifa ya magharibi yaweke no fly zone ili Urusi asiweze kufanya atakayo ila si kwamba wameogopa bali hawawezi kumzuia Mrusi! Wangeweza wangeshaweka kitambo sema ndio hivyo.
Hatua ifuatayo ni Urusi kuweka no fly zone ndani ya Ukraine.
Si hivyo tu bali ataweka marufuku ya ardhini na majini.

Tunywe mtori nyama tutazikuta
Ukraine ameshapewa go ahead kushambulia ndani ya urusi, hivyo usitegemee kwamba urusi hatoipatapata

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Umeona vizuri. Atatawala nyaja zote, kisiasa kiuchumi na kijeshi. Pia hadi sasa USA ndio taifa pekee linaloweza kuchagua nani Awe Maskini na nani awe Tajiri.
There is no too Big issue for America
Case closed.
Aichague sasa china iwe masikini!
 
Hata kama kisingizio anacho, Russia hawezi kuishambulia USA hata kwa kupenyeza wakala wake akachome moto hata ofisi ya mjumbe wa nyumba 10 iliopo USA na sio russia tu. Hata taifa lolote au kikundi chochote cha kigaid nje ya USA.

USA kashafunga ukurasa wa kupigana vita ndani ya taifa lake dhidi ya taifa lingine tangu miaka 100 iliopita

Ukweli Mchungu.
Pale pentagon yale maafa yaliyotokea vipi unasemaje?
Au walikuwa wanafanya mazoezi USA.
 
Hata kama kisingizio anacho, Russia hawezi kuishambulia USA hata kwa kupenyeza wakala wake akachome moto hata ofisi ya mjumbe wa nyumba 10 iliopo USA na sio russia tu. Hata taifa lolote au kikundi chochote cha kigaid nje ya USA.

USA kashafunga ukurasa wa kupigana vita ndani ya taifa lake dhidi ya taifa lingine tangu miaka 100 iliopita

Ukweli Mchungu.
Duh we hujui kila kitu baba .
September eleven Ni miaka 102 iliyopita au?
Kulikua na matukio ya kigaidi Mara kadhaa nchini humo mwaka 2018
 
Watalibani hawakukimbiwa, Bali Aliondoka baada ya kutimiza malengo yake.
Russia ndio ilikimbizwa Afganstan na US kwa Style hii hii ya Ukraine.
Umemjibu ipasavyo. Wasiojua wanadhani marekani ilikimbia Afghanistan. Us iliondoka kwa stlye wanayotaka taratibu na kupeana muda kabisa. Us waliondoka baada ya kutimiza malengo yao
 
Nionavyo mimi

1: Kwa hatua ya sasa, anaweza kushambulia popote na chochote ndani ya Russia kupitia mgongo wa Ukraine bila Russia kumjibu moja kwa moja.
Mfano Mashambulizi na milipuko ya kigaidi ndani ya Russia kila kona.

2: Vita inaidhoofisha Ulaya huku US iliyo mbali kabisa na Vita ikiwa na nafasi ya kuendelea kwa kasi inayotaka.

3: Wakati anaishughulikia Russia kupitia Ukraine, amewawekea kitanzi China kwa Kibaraka wake Taiwan. Wakati wowote anaweza kuirudisha China zama za Mao kupitia Taiwan.

Kwa mtazamo wangu wa kawaida kabisa hii vita ni fursa kubwa kabisa kwa US kuitawala Dunia kisawaswa.

Unadhani nini kitakuwa matokeo ya Vita hii?
Thamani ya Dola kuporomoka na kupoteza ushawishi wake Middle East na kupanda kwa Kasi ya matumizi ya Yuan na Ruble,huku Euro ikichukua nafasi ya Dola.
 
Back
Top Bottom