Mrengwa wa kulia
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,091
- 3,695
Una utoto mwingi na story za kwenye kahawa..eti "mashambulio na milipuko ya kigaidi kila kona ya Russia" hebu nipe matukio matatu ya kigaidi na watu kufa/madhara gani yalitokea. You are full of sh*t!
Sio kweli izo ni fix fix za kubumba tuuuUmesema vzr lakn usidhani Ni vyepesi kiasi hicho hii sio muvi Ni Vita halisi. Mrusi huyu ana makachero mpk ndani ya jeshi la US
Huwa napingana nawe kutokana na ushabiki ulionao badala ya uhalisia kwenye issue ya Ukraine na Russia. Lakini kwenye hili nakubaliana nawe, Case study ni North Korea vs South Korea economicallyUmeona vizuri. Atatawala nyaja zote, kisiasa kiuchumi na kijeshi. Pia hadi sasa USA ndio taifa pekee linaloweza kuchagua nani Awe Maskini na nani awe Tajiri.
There is no too Big issue for America
Case closed.
Ukweli mchungu na unauma sanaHata kama kisingizio anacho, Russia hawezi kuishambulia USA hata kwa kupenyeza wakala wake akachome moto hata ofisi ya mjumbe wa nyumba 10 iliopo USA na sio russia tu. Hata taifa lolote au kikundi chochote cha kigaid nje ya USA.
USA kashafunga ukurasa wa kupigana vita ndani ya taifa lake dhidi ya taifa lingine tangu miaka 100 iliopita
Ukweli Mchungu.
HaweziKwan Russia yeye hawezi panga mashambulizi ya kigaidi US na Uk au?
Jikite kwenye madaHivi alie wakimbia wataliban ni nani mkuu?
Ukraine ameshapewa go ahead kushambulia ndani ya urusi, hivyo usitegemee kwamba urusi hatoipatapataKwa kuwa kenge amekuwa hasikii, kitakachofuata viwanja vya ndege vyote Ukraine vitalipuliwa, njia za reli, barabara za kuingia kwa majirani ambao ni maadui kwa Urusi kama Poland nk.
Pia kutakuwa na doria ya angani, majini na nchi kavu ili kisiingie kitu.
Volodymyr zelensky hatotoka wala hatoingia kenge yeyote kutoka kwa mataifa ya LGBTQ!
Mnaichukulia Russia poa poa tangu mwanzo ila kadri Russia inavyowabadilishia mziki mnapiga yowe eti dunia iungane na Ukraine.
Unachokiongea kina ukweli fulani ndani yake ila nikwambie tu kwamba, Urusi inawaachia NATO mwanya huo kwa kuwa inawamudu vizuri.
Pia Urusi inatafuta sababu ya kuweka maarufu ya safari zote ndani ya Ukraine kuanzia za majini angani na nchi kavu.
Zelensky ameomba sana mataifa ya magharibi yaweke no fly zone ili Urusi asiweze kufanya atakayo ila si kwamba wameogopa bali hawawezi kumzuia Mrusi! Wangeweza wangeshaweka kitambo sema ndio hivyo.
Hatua ifuatayo ni Urusi kuweka no fly zone ndani ya Ukraine.
Si hivyo tu bali ataweka marufuku ya ardhini na majini.
Tunywe mtori nyama tutazikuta
Aichague sasa china iwe masikini!Umeona vizuri. Atatawala nyaja zote, kisiasa kiuchumi na kijeshi. Pia hadi sasa USA ndio taifa pekee linaloweza kuchagua nani Awe Maskini na nani awe Tajiri.
There is no too Big issue for America
Case closed.
Pale pentagon yale maafa yaliyotokea vipi unasemaje?Hata kama kisingizio anacho, Russia hawezi kuishambulia USA hata kwa kupenyeza wakala wake akachome moto hata ofisi ya mjumbe wa nyumba 10 iliopo USA na sio russia tu. Hata taifa lolote au kikundi chochote cha kigaid nje ya USA.
USA kashafunga ukurasa wa kupigana vita ndani ya taifa lake dhidi ya taifa lingine tangu miaka 100 iliopita
Ukweli Mchungu.
Na kushambulia zaidi ndani ya urusi, ndo kutampa mrusi sababu yakufanya mambo makubwa zaidi..............Ukraine ameshapewa go ahead kushambulia ndani ya urusi, hivyo usitegemee kwamba urusi hatoipatapata
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Alifanikisha Osama sembuse taifa la urusi!Hawezi
Dawa ya china ni covid hadi wameomba poo..Aichague sasa china iwe masikini!
Duh we hujui kila kitu baba .Hata kama kisingizio anacho, Russia hawezi kuishambulia USA hata kwa kupenyeza wakala wake akachome moto hata ofisi ya mjumbe wa nyumba 10 iliopo USA na sio russia tu. Hata taifa lolote au kikundi chochote cha kigaid nje ya USA.
USA kashafunga ukurasa wa kupigana vita ndani ya taifa lake dhidi ya taifa lingine tangu miaka 100 iliopita
Ukweli Mchungu.
Ha ha na Iran, na India na chinaAichague sasa china iwe masikini!
Ha ha na Iran, na India na chinaAichague sasa china iwe masikini!
Umemjibu ipasavyo. Wasiojua wanadhani marekani ilikimbia Afghanistan. Us iliondoka kwa stlye wanayotaka taratibu na kupeana muda kabisa. Us waliondoka baada ya kutimiza malengo yaoWatalibani hawakukimbiwa, Bali Aliondoka baada ya kutimiza malengo yake.
Russia ndio ilikimbizwa Afganstan na US kwa Style hii hii ya Ukraine.
Thamani ya Dola kuporomoka na kupoteza ushawishi wake Middle East na kupanda kwa Kasi ya matumizi ya Yuan na Ruble,huku Euro ikichukua nafasi ya Dola.Nionavyo mimi
1: Kwa hatua ya sasa, anaweza kushambulia popote na chochote ndani ya Russia kupitia mgongo wa Ukraine bila Russia kumjibu moja kwa moja.
Mfano Mashambulizi na milipuko ya kigaidi ndani ya Russia kila kona.
2: Vita inaidhoofisha Ulaya huku US iliyo mbali kabisa na Vita ikiwa na nafasi ya kuendelea kwa kasi inayotaka.
3: Wakati anaishughulikia Russia kupitia Ukraine, amewawekea kitanzi China kwa Kibaraka wake Taiwan. Wakati wowote anaweza kuirudisha China zama za Mao kupitia Taiwan.
Kwa mtazamo wangu wa kawaida kabisa hii vita ni fursa kubwa kabisa kwa US kuitawala Dunia kisawaswa.
Unadhani nini kitakuwa matokeo ya Vita hii?
Na kushambulia zaidi ndani ya urusi, ndo kutampa mrusi sababu yakufanya mambo makubwa zaidi..............
Na kushambulia zaidi ndani ya urusi, ndo kutampa mrusi sababu yakufanya mambo makubwa zaidi..............