Kama ushawai isikia hii ngoma unaweza ukakubaliana na mm kuwa hii ngoma ni moja ya collable bora kabisa kuwahi kufanyika apa bongo
Hapa solo sang pale prof na katikati mfalme wa rhymes afende sele, hawa jamaa waliumiza vichwa sana wakat wanatengeneza hii ngoma sijawai kuichoka
Hapa solo sang pale prof na katikati mfalme wa rhymes afende sele, hawa jamaa waliumiza vichwa sana wakat wanatengeneza hii ngoma sijawai kuichoka