Mtazamo: Simba SC Wamekosea Kuajiri Kocha Asiye na Uzoefu wa Soka la Afrika.

Mtazamo: Simba SC Wamekosea Kuajiri Kocha Asiye na Uzoefu wa Soka la Afrika.

Sote tumeona aina ya Kocha ambaye ameajiriwa na Simba SC. Kocha ambaye amechukua nafasi ya Didier Gomes.

Tukiamua kutumia jicho la tatu la kiuchambuzi kila anakubariana na mimi kuwa Simba SC inaenda kupitia changamoto nyingine ya kibahati nasibu.

Uzoefu:-

Yes anauzoefu wa kufundisha katika madaraja makubwa ya soka. Lakini je mazingira ya mpira wa kiafrika yatampa ushirikiano? Sote tunajua kuwa mpira wa kiafrika una mambo mengi sana ambayo yanahitaji mwl mwenye kofua.

Mfano mzuri ni kwamba hapa barani Afrika hatujawahi pata kocha mwenye high profile kutoka Ulaya ambaye akapata kufanikiwa katika ujio wake wa awali kabisa katika bara.

Matarajio yangu ni kuwa Simba ingepata kusajili Coach kama wenye kaliba ya kufanana na wakina Vicente Calderon au Pitso Mosimane.

Ligha:-

Bila shaka si mzungumzaji wa lugha ya kiingereza. Kama ilivyo kwa Prof Nabi, ilimuhitaji apate msaidizi wa kutafsiri maelekezo kwenda kwa wachezaji je Simba imeandaa mwalimu mtafsiri.?

Mafanikio:-

Locha ya kupota katika timu kubwa barani Ulaya,inaonekana wazi kuwa hakuna mafanikio yeyote ambayo ameyapata. Je nini kimepelekea viongozi wa simba waamini kuwa anaweza kuisaidia simba ikapata mafanikio?

Hapa naona wazi kuwa watani zangi mmeamua kutwanga maji kwenye kinu.

Mpaka aje kukaa sawa kwenhs Ligi nadhani Mabingwa wa kihisyoria watakuwa wamekwisha fanya yao ya kutosha.

View attachment 2001265
Watanzania tunaishi kwa kukalili sana hadi tunakera, uzoefu hautoki mbinguni wala hauji kwa miujiza ila unapatikana kwa vitendo kwenye mazingira ya eneo lako la kazi. Kwa kuzungatia weledi kocha akipewa uhuru (autonomy) anaweza kujifunza kuendana na mazingira na akaweza kumudu mazingira ya Kiswahili ya Tanzania. Ukocha ni taaluma tuishemu sio kila mtu anaweza wengine tubakie kuwa washabiki tuache ujuaji wa Kiswahili
 
Sote tumeona aina ya Kocha ambaye ameajiriwa na Simba SC. Kocha ambaye amechukua nafasi ya Didier Gomes.

Tukiamua kutumia jicho la tatu la kiuchambuzi kila anakubariana na mimi kuwa Simba SC inaenda kupitia changamoto nyingine ya kibahati nasibu.

Uzoefu:-

Yes anauzoefu wa kufundisha katika madaraja makubwa ya soka. Lakini je mazingira ya mpira wa kiafrika yatampa ushirikiano? Sote tunajua kuwa mpira wa kiafrika una mambo mengi sana ambayo yanahitaji mwl mwenye kofua.

Mfano mzuri ni kwamba hapa barani Afrika hatujawahi pata kocha mwenye high profile kutoka Ulaya ambaye akapata kufanikiwa katika ujio wake wa awali kabisa katika bara.

Matarajio yangu ni kuwa Simba ingepata kusajili Coach kama wenye kaliba ya kufanana na wakina Vicente Calderon au Pitso Mosimane.

Ligha:-

Bila shaka si mzungumzaji wa lugha ya kiingereza. Kama ilivyo kwa Prof Nabi, ilimuhitaji apate msaidizi wa kutafsiri maelekezo kwenda kwa wachezaji je Simba imeandaa mwalimu mtafsiri.?

Mafanikio:-

Locha ya kupota katika timu kubwa barani Ulaya,inaonekana wazi kuwa hakuna mafanikio yeyote ambayo ameyapata. Je nini kimepelekea viongozi wa simba waamini kuwa anaweza kuisaidia simba ikapata mafanikio?

Hapa naona wazi kuwa watani zangi mmeamua kutwanga maji kwenye kinu.

Mpaka aje kukaa sawa kwenhs Ligi nadhani Mabingwa wa kihisyoria watakuwa wamekwisha fanya yao ya kutosha.

View attachment 2001265
Ila mwamba jana umeifungulia SimbA SC nyuzi nyingi Sana😁
 
Sote tumeona aina ya Kocha ambaye ameajiriwa na Simba SC. Kocha ambaye amechukua nafasi ya Didier Gomes.

Tukiamua kutumia jicho la tatu la kiuchambuzi kila anakubariana na mimi kuwa Simba SC inaenda kupitia changamoto nyingine ya kibahati nasibu.

Uzoefu:-

Yes anauzoefu wa kufundisha katika madaraja makubwa ya soka. Lakini je mazingira ya mpira wa kiafrika yatampa ushirikiano? Sote tunajua kuwa mpira wa kiafrika una mambo mengi sana ambayo yanahitaji mwl mwenye kofua.

Mfano mzuri ni kwamba hapa barani Afrika hatujawahi pata kocha mwenye high profile kutoka Ulaya ambaye akapata kufanikiwa katika ujio wake wa awali kabisa katika bara.

Matarajio yangu ni kuwa Simba ingepata kusajili Coach kama wenye kaliba ya kufanana na wakina Vicente Calderon au Pitso Mosimane.

Ligha:-

Bila shaka si mzungumzaji wa lugha ya kiingereza. Kama ilivyo kwa Prof Nabi, ilimuhitaji apate msaidizi wa kutafsiri maelekezo kwenda kwa wachezaji je Simba imeandaa mwalimu mtafsiri.?

Mafanikio:-

Locha ya kupota katika timu kubwa barani Ulaya,inaonekana wazi kuwa hakuna mafanikio yeyote ambayo ameyapata. Je nini kimepelekea viongozi wa simba waamini kuwa anaweza kuisaidia simba ikapata mafanikio?

Hapa naona wazi kuwa watani zangi mmeamua kutwanga maji kwenye kinu.

Mpaka aje kukaa sawa kwenhs Ligi nadhani Mabingwa wa kihisyoria watakuwa wamekwisha fanya yao ya kutosha.

View attachment 2001265
Kuna baadhi ya hoja zako nazikubali,lakini hili la Afrika hajawai Kuna na kocha mwenye wasifu mkubwa Ulaya, na kuja Afrika kumfundisha , nakupingaa rejea michuano ya mataifa ya Afrika ,Tunisia ilifundishwa na kocha mwenye wasifu mkubwa kutoka Ufaransa,na ambaye aliwapa Ufaransa UbInGwA wa Ulaya,na alipokuja Afrika akawapa Tunisia UbInGwA wa mataifa ya Afrika.
 
Sote tumeona aina ya Kocha ambaye ameajiriwa na Simba SC. Kocha ambaye amechukua nafasi ya Didier Gomes.

Tukiamua kutumia jicho la tatu la kiuchambuzi kila anakubariana na mimi kuwa Simba SC inaenda kupitia changamoto nyingine ya kibahati nasibu.

Uzoefu:-

Yes anauzoefu wa kufundisha katika madaraja makubwa ya soka. Lakini je mazingira ya mpira wa kiafrika yatampa ushirikiano? Sote tunajua kuwa mpira wa kiafrika una mambo mengi sana ambayo yanahitaji mwl mwenye kofua.

Mfano mzuri ni kwamba hapa barani Afrika hatujawahi pata kocha mwenye high profile kutoka Ulaya ambaye akapata kufanikiwa katika ujio wake wa awali kabisa katika bara.

Matarajio yangu ni kuwa Simba ingepata kusajili Coach kama wenye kaliba ya kufanana na wakina Vicente Calderon au Pitso Mosimane.

Ligha:-

Bila shaka si mzungumzaji wa lugha ya kiingereza. Kama ilivyo kwa Prof Nabi, ilimuhitaji apate msaidizi wa kutafsiri maelekezo kwenda kwa wachezaji je Simba imeandaa mwalimu mtafsiri.?

Mafanikio:-

Locha ya kupota katika timu kubwa barani Ulaya,inaonekana wazi kuwa hakuna mafanikio yeyote ambayo ameyapata. Je nini kimepelekea viongozi wa simba waamini kuwa anaweza kuisaidia simba ikapata mafanikio?

Hapa naona wazi kuwa watani zangi mmeamua kutwanga maji kwenye kinu.

Mpaka aje kukaa sawa kwenhs Ligi nadhani Mabingwa wa kihisyoria watakuwa wamekwisha fanya yao ya kutosha.

View attachment 2001265

Nachojua siku zote,Adui yako muombee njaa,kulikoni wewe Adui unamuombea shibe,kama siyo muhaho wa ujio wa kocha kijana mwenye kulijua Soka la kisasa Duniani.Endeleeni kuhangaika na Babu Nabi na mtulie mje kuona soka la kisasa likifundishwa na Kijana mdogo mwenye CV iliyoshiba.
 
Uto bhana, mbona uto wamekaa misimu mi4 bila mafanikio ya maana wakiwa na makocha hao hao wenye uzoefuna profile kuuuubwa kwa ligi za bara giza. [emoji1745][emoji134]
 
Sote tumeona aina ya Kocha ambaye ameajiriwa na Simba SC. Kocha ambaye amechukua nafasi ya Didier Gomes.

Tukiamua kutumia jicho la tatu la kiuchambuzi kila anakubariana na mimi kuwa Simba SC inaenda kupitia changamoto nyingine ya kibahati nasibu.

Uzoefu:-

Yes anauzoefu wa kufundisha katika madaraja makubwa ya soka. Lakini je mazingira ya mpira wa kiafrika yatampa ushirikiano? Sote tunajua kuwa mpira wa kiafrika una mambo mengi sana ambayo yanahitaji mwl mwenye kofua.

Mfano mzuri ni kwamba hapa barani Afrika hatujawahi pata kocha mwenye high profile kutoka Ulaya ambaye akapata kufanikiwa katika ujio wake wa awali kabisa katika bara.

Matarajio yangu ni kuwa Simba ingepata kusajili Coach kama wenye kaliba ya kufanana na wakina Vicente Calderon au Pitso Mosimane.

Ligha:-

Bila shaka si mzungumzaji wa lugha ya kiingereza. Kama ilivyo kwa Prof Nabi, ilimuhitaji apate msaidizi wa kutafsiri maelekezo kwenda kwa wachezaji je Simba imeandaa mwalimu mtafsiri.?

Mafanikio:-

Locha ya kupota katika timu kubwa barani Ulaya,inaonekana wazi kuwa hakuna mafanikio yeyote ambayo ameyapata. Je nini kimepelekea viongozi wa simba waamini kuwa anaweza kuisaidia simba ikapata mafanikio?

Hapa naona wazi kuwa watani zangi mmeamua kutwanga maji kwenye kinu.

Mpaka aje kukaa sawa kwenhs Ligi nadhani Mabingwa wa kihisyoria watakuwa wamekwisha fanya yao ya kutosha.

View attachment 2001265
Uzoefu wa soka la Afrika unapatikana wapi?
 
Sote tumeona aina ya Kocha ambaye ameajiriwa na Simba SC. Kocha ambaye amechukua nafasi ya Didier Gomes.

Tukiamua kutumia jicho la tatu la kiuchambuzi kila anakubariana na mimi kuwa Simba SC inaenda kupitia changamoto nyingine ya kibahati nasibu.

Uzoefu:-

Yes anauzoefu wa kufundisha katika madaraja makubwa ya soka. Lakini je mazingira ya mpira wa kiafrika yatampa ushirikiano? Sote tunajua kuwa mpira wa kiafrika una mambo mengi sana ambayo yanahitaji mwl mwenye kofua.

Mfano mzuri ni kwamba hapa barani Afrika hatujawahi pata kocha mwenye high profile kutoka Ulaya ambaye akapata kufanikiwa katika ujio wake wa awali kabisa katika bara.

Matarajio yangu ni kuwa Simba ingepata kusajili Coach kama wenye kaliba ya kufanana na wakina Vicente Calderon au Pitso Mosimane.

Ligha:-

Bila shaka si mzungumzaji wa lugha ya kiingereza. Kama ilivyo kwa Prof Nabi, ilimuhitaji apate msaidizi wa kutafsiri maelekezo kwenda kwa wachezaji je Simba imeandaa mwalimu mtafsiri.?

Mafanikio:-

Locha ya kupota katika timu kubwa barani Ulaya,inaonekana wazi kuwa hakuna mafanikio yeyote ambayo ameyapata. Je nini kimepelekea viongozi wa simba waamini kuwa anaweza kuisaidia simba ikapata mafanikio?

Hapa naona wazi kuwa watani zangi mmeamua kutwanga maji kwenye kinu.

Mpaka aje kukaa sawa kwenhs Ligi nadhani Mabingwa wa kihisyoria watakuwa wamekwisha fanya yao ya kutosha.

View attachment 2001265
Yaani nzi wa Utopolo uishauri Simba!!!
IMG-20211104-WA0002~4.jpg
 
Back
Top Bottom