Mtazamo: Tundu Lissu atafanikisha Godbless Lema kuondoka nchini Kenya na kupata hifadhi katika nchi mojawapo ya Ulaya au Marekani

Low thinking. Subiri uone. Alisimamia misingi ya haki na ukweli tu ikafikia kumtoa Roho. By the way muda iliyopita alikuwa anatibiwa. Now he is fine na anasoma zaidi na kazi atapewa.

Kazi nchi zilizoendelea ziko nyingi, lkn kuhusu kuwa Profesa Chuo Kikuu hawezi kwa maana hana vigezo, ...
 
Lema anatafutwa na nani? Kwa lipi?
Lema ni Jirani yetu,huyu jamaa hajawahi kuishi kwa amani kabisa anafuatiliwa sana.acha na yeye apumzike kwa maisha ya wasiwasi na hofu alizopitia.
 
Kazi nchi zilizoendelea ziko nyingi, lkn kuhusu kuwa Profesa Chuo Kikuu hawezi kwa maana hana vigezo, ...
Vigezo ni usome kuongezea kinachokosekana na anaweza. Hivyo bado kabisa kusema eti hawezi kuwa lecturer. Pia ziko kazi nyingi anaweza kufanya pia tena UN. He is intelligent and capable
 
Lema ni Jirani yetu,huyu jamaa hajawahi kuishi kwa amani kabisa anafuatiliwa sana.acha na yeye apumzike kwa maisha ya wasiwasi na hofu alizopitia.
Asante sana. Hata ukimuangalua usoni unaona kabisa hayupo sawa. Ameikubali kuacha kila kitu. Mungu amtangulie na familia yake.
 
Ila tuseme tu ukweli ndugu,wazungu wana Wema zaidi yetu sisi ngozi ya tackle.
 
Lema hatachukia wiki,atahanishiwa kwenye kambi ya wakimbizi ulyankulu,tabora
 
Vigezo ni usome kuongezea kinachokosekana na anaweza. Hivyo bado kabisa kusema eti hawezi kuwa lecturer. Pia ziko kazi nyingi anaweza kufanya pia tena UN. He is intelligent and capable

Asome nini Tundu Lisu yuko over 50 ? Hata akianza leo atamaliza labda tayari anakaribia au keshagonga 60, hiyo kazi atakupa nani wakati kuna vijana wanaingia labor market wako late 20' s au early 30' s? Hata huko UN siyo rahisi hivyo kama mnavyofikiria ingekuwa hivyo angeshapata tayari zamani sana tu, huyo kaenda kuomba ukimbizi ina maana atakuwa anaishi kutegemea hela ya Serikali ya hiyo nchi, ...
 
Jamani kuishi uhamishoni hata kama ni ulaya sio peponi. Marehemu Kambona alishindwa kuishi London akarudi nyumbani
 
..UV-CCM mnatakiwa muandamane kulaani walichokifanya mabalozi.

..wameingilia uhuru wa vyombo vya dola na mahakama zetu kwa kumuondosha mtuhumiwa anayetakiwa mahakamani.
Usichojua ni kama usiku wa giza mdogo wangu. Wewe endelea kuniita uvccm tu, haina shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…