Mtazamo: Tundu Lissu atafanikisha Godbless Lema kuondoka nchini Kenya na kupata hifadhi katika nchi mojawapo ya Ulaya au Marekani

Mtazamo: Tundu Lissu atafanikisha Godbless Lema kuondoka nchini Kenya na kupata hifadhi katika nchi mojawapo ya Ulaya au Marekani

Kwa mtazamo wangu, pamoja na Godbless Lema na familia yake kupewa hifadhi ya kisiasa nchini Kenya, Lema na familia yake watakuwa salama zaidi iwapo wataishi nje ya region hii ya Afrika Mashariki na zaidi wakiwa Ulaya,Marekani au kwingineko licha ya ukweli kuwa hadhi ya ukimbizi aliopewa nchini Kenya inatosha kumhakikishia usalama wake.

Hivyo ,ninaamini Tundu Lissu akiwa nchini Ubelgiji, anaweza kufanya mipango/kushawishi nchi za ulaya hasa Ubelgiji atakokuwa anaishi, kuhakiisha Lema na familia yake wanahama nchini Kenya na kwenda kupata hifadhi katika mojawapo ya nchi za Ulaya,Marekani au katika nchi nyingine tofauti na Kenya ambapo anaweza kukaa kwa muda tu.

Ni imani yangu pia Lissu atafanikisha mambo mengi ya kusaidia wapinzani wenzake pamoja na vyama vya upinzani akiwa huko ughaibuni-anakwenda kuanzisha movement za kusaidia mabadiliko akiwa huko Ulaya pasipo kuvunja au kukiuka mashariti ya kupewa hifadhi katika nchi za watu.

Muda utaongea.
Nawatakia kila la heri. Wacha sisi wengine tubaki nchini tuiendeleze nchi yetu chini ya Serikali ya CCM.
 
mbowe haezi enda maana ana wabunge kadhaa wanaingia bungeni kwa viti maalumu,kisha atakuwa anazuia luzuku pale kama kawaida.
Unatumia unyeo kufikiria,maana maneno yako yana harufu ya kinyesi.
 
Kwani Chadema ni viongozi au wanachama wake? kama unadhani ni viongozi hawa waliopo huwaoni?

Lissu aliondoka then akarudi bado akawa na impact kubwa tu, bado hujifunzi? na Lema pia itakuwa hivyo hivyo.

Chadema ilikuwepo, ipo, na itaendelea kuwepo.

That day hawa watu wakirudi moto utawaka vile vile, spirit never die.
Kamanda unajipa moyo.
 
Lema anatafutwa na nani? Kwa lipi?
Alichukua pesa za wafanyabiashara wenzake na wezi wa magari wenzake kwa ahadi kwamba atakuwa waziri wa Mambo ya ndani na Mbowe anakuwa waziri mkuu hivyo atawalinda na watatajirika. Sasa kichapo Cha shoga mwizi kimewakuta kaamua kusepa.
 
Kwa mtazamo wangu, pamoja na Godbless Lema na familia yake kupewa hifadhi ya kisiasa nchini Kenya, Lema na familia yake watakuwa salama zaidi iwapo wataishi nje ya region hii ya Afrika Mashariki na zaidi wakiwa Ulaya,Marekani au kwingineko licha ya ukweli kuwa hadhi ya ukimbizi aliopewa nchini Kenya inatosha kumhakikishia usalama wake.

Hivyo ,ninaamini Tundu Lissu akiwa nchini Ubelgiji, anaweza kufanya mipango/kushawishi nchi za ulaya hasa Ubelgiji atakokuwa anaishi, kuhakiisha Lema na familia yake wanahama nchini Kenya na kwenda kupata hifadhi katika mojawapo ya nchi za Ulaya,Marekani au katika nchi nyingine tofauti na Kenya ambapo anaweza kukaa kwa muda tu.

Ni imani yangu pia Lissu atafanikisha mambo mengi ya kusaidia wapinzani wenzake pamoja na vyama vya upinzani akiwa huko ughaibuni-anakwenda kuanzisha movement za kusaidia mabadiliko akiwa huko Ulaya pasipo kuvunja au kukiuka mashariti ya kupewa hifadhi katika nchi za watu.

Muda utaongea.
Kamanda lini nikupitie tukaandamane?
 
Hivi usanii wa chadema utaisha lini? Wananchi wameshawashutukia, uchaguzi uliopita ni kupimo tosha. Nauliza majina ya wabunge wa viti maalum ni yepi? Maana naona kama mnataka kupindua meza kwa kuweka ama ndugu zenu au wake zenu!! Chadema ni usanii tupu
Mimi sijawachoka, wewe unaongelea wananchi gani. Unafurahia ushindi wa ccm uliotengenezwa na tume ya uchaguzi, ukatekelezwa na wakurugenzi wa halmashauri, kwa mikono ya masikini waalimu na watumishi duni wa halmashauri na ukalindwa kwa umwagaji damu za raia kwa nguvu za jeshi la polisi na maafisa wa usalama wa taifa? Kama hayo huyaoni, basi hata jiwe akikutaka unyumba utampa.
 
Hii movement ya hawa jamaa ni ya kisanii sana...wanajitisha na kwenda kuzua taharuki huko nchi za watu.

Hii ni aina ya siasa za kishamba.
 
Kuna mambo ya ajabu sana Nchi hii.

Yaani Lema alikuwa akiishi salama kabisa atleast for the last 10 years. Kafanya kampeni zake kwa usalama kabisa ila baada ya uchaguzi kuisha na Ubunge kupokwa, ghafla inasemekana Serikali ya CCM imeanza ‘kumuwinda na kumtishia uhai wake’

Kwa nini sasa? Kwanini wamfanyie yeye na sio Halima Mdee, Boniface Jacob, Sugu au Heche?
 
Kamanda lini nikupitie tukaandamane?

Kuna mambo ya ajabu sana Nchi hii.

Yaani Lema alikuwa akiishibsalama kabisa atleast for the last 20 years. Kafanya kampeni zake kwa salama kabisa ila baada ya uchaguzi kuisha na Ubunge kupokwa, ghafla inasemekana Serikali ya CCM imeanza ‘kumuwinda na kumtishia uhai wake’

Kwa nini sasa? Kwanini wamfanyie yeye na sio Halima Mdee, Boniface Jacob, Sugu au Heche?
Kwani hao uliowataja ndio wako salama?
 
Kwani Chadema ni viongozi au wanachama wake? kama unadhani ni viongozi hawa waliopo huwaoni?

Lissu aliondoka then akarudi bado akawa na impact kubwa tu, bado hujifunzi? na Lema pia itakuwa hivyo hivyo.

Chadema ilikuwepo, ipo, na itaendelea kuwepo.

That day hawa watu wakirudi moto utawaka vile vile, spirit never die.
Impact ya Lissu ni Nini? Kakuta chadema ina wabunge 70+ kaacha zero. Ana -ve impact
 
Mimi sijawachoka, wewe unaongelea wananchi gani. Unafurahia ushindi wa ccm uliotengenezwa na tume ya uchaguzi, ukatekelezwa na wakurugenzi wa halmashauri, kwa mikono ya masikini waalimu na watumishi duni wa halmashauri na ukalindwa kwa umwagaji damu za raia kwa nguvu za jeshi la polisi na maafisa wa usalama wa taifa? Kama hayo huyaoni, basi hata jiwe akikutaka unyumba utampa.
Kama siyo usanii, vipi hayo majina ya wabunge wa viti maalum, meza imepinduliwa kibabe? Kwanza mlisusa, kwa sasa nini kimebadilika?
 
Angejua wakimbizi wanavyoteseka huko nchi za magharibi hasingekimbilia
 
Back
Top Bottom