Mtazamo: Wanawake wengi wapo kwenye ndoa au mahusiano kwa sababu za kiuchumi zaidi na si mapenzi

Mtazamo: Wanawake wengi wapo kwenye ndoa au mahusiano kwa sababu za kiuchumi zaidi na si mapenzi

Ukweli ni kuwa ndoa Haina maelezo Wala haiitaji point km tunavojielezea mitandaoni ndoa ni maisha na maisha tunajua hayana formula Kuna muda yanakuwa nje ya mawazo ambayo tulikuwa nayo before hatujaoa au kuolewa

Ndugu formula hakuna Wala Haina ujuzi
Maisha yana formula.
KIle kinachokutokea now ni formula uliyo ikokotoa mwanzo, either kwa kujua au kutokujua.
 
Maisha yana formula.
KIle kinachokutokea now ni formula uliyo ikokotoa mwanzo, either kwa kujua au kutokujua.
Formula ni Kwamba huenda wewe unataka kuwa mume Bora je mwenzio anataka kuwa mkebora pia?tayari hapoo formula havielewek

Na mwanamke unataka kuwa na mwanaume ambae atakuwa mume mwema je huyo kijana nae ndio ndotoyake kuja kuwa mume mwema tayar formula hakuna na ndio maana ndoa nying zinaangukia pua hakuna uwiano mzuri watu tunabet tu na ingekuwa formula ipo na tnaijua km tunavojiamnisha kusingekuwa na talaka
 
Formula ni Kwamba huenda wewe unataka kuwa mume Bora je mwenzio anataka kuwa mkebora pia?tayari hapoo formula havielewek

Na mwanamke unataka kuwa na mwanaume ambae atakuwa mume mwema je huyo kijana nae ndio ndotoyake kuja kuwa mume mwema tayar formula hakuna na ndio maana ndoa nying zinaangukia pua hakuna uwiano mzuri watu tunabet tu na ingekuwa formula ipo na tnaijua km tunavojiamnisha kusingekuwa na talaka
GOD is the formula , na hatumtaki, wacha yatukute.

Mimi ndoa 🙌 sidhani kama nitaoa kutokana na niliyoyaona.
 
Ukikaa na matajiri wengi wanasema. Usiwe wazi sana kifedha kwa mwanamke. Hatakiwi kujua kama zipo au hazipo.
 
Mapenz gani mnazungumzia wakat wanaume karibia wote ni wasaliti
Nyie hayo mapenz mnayo kweli?
Sisi wanaume pia tuna mapungufu mengi, ila khaa ninyi wanawake siku hizi kati ya vitu ambavyo hamna ni uwezo wa kupenda, hata baadhi ya ndugu zangu wa kike wananiambia kuwa sahivi wanawake wengi wameweka hela mbele .

Kuna baadhi ya wadada inabidi niwakwepe, maana imagine mtu hujamtongoza ni ile tu mmefahamiana mmezoeana kidogo, mnapiga kazi sehemu moja, anaanza mizinga ya vitu vidogo vidogo, almost kila siku ni ninunulie hiki, ninunulie kile, nipe hiki, nipe kile, hadi siku ingine unaogopa kumsalimia inabidi tu umkwepe maana ni kero Aaliyyah To yeye scolastika Ms R Numbisa Kelsea KikulachoChako Equation x Extrovert
 
Sisi wanaume pia tuna mapungufu mengi, ila khaa ninyi wanawake siku hizi kati ya vitu ambavyo hamna ni uwezo wa kupenda, hata baadhi ya ndugu zangu wa kike wananiambia kuwa sahivi wanawake wengi wameweka hela mbele .

Kuna baadhi ya wadada inabidi niwakwepe, maana imagine mtu hujamtongoza ni ile tu mmefahamiana mmezoeana kidogo, mnapiga kazi sehemu moja, anaanza mizinga ya vitu vidogo vidogo, almost kila siku ni ninunulie hiki, ninunulie kile, nipe hiki, nipe kile, hadi siku ingine unaogopa kumsalimia inabidi tu umkwepe maana ni kero Aaliyyah To yeye scolastika Ms R Numbisa Kelsea KikulachoChako Equation x Extrovert
Umeongea Kwa uchungu sana😀
 
Daah, natamani ningeuona uzi huu kabla sijaoa. Amebadilika sana baada ya uchumi wangu kuyumba. Sema namvumilia tu hivyohivyo watoto wakue aende zake kunakomfaa.

Sina hata hamu ya mapenzi naye kabisa. Miezi kama sita sasa si yeye au mimi anayemhitaji mwenzie kimapenzi japo mwanzoni alikuwa akinyegeka ananitaka nami kwa kulazimisha tu hisia nampa, sasa anahesabu mwezi mmoja au miwili tu ajifungue.

Sasa daa! Hadi mtoto ajae akue ndo aniachie naona ni mbali sana. Nilipata maumivu sana alipoondoka na mtoto mdogo wa mwisho, na ameshajua akimwacha mtoto atateseka kitu ambacho pia anajua fika kuwa naumia sana mtoto anapoteseka kwa kukosa mama.

Sasa imekuwa ukimkwaza kidogo tu anataka aondoke, yaani karaha tupu. Mimba ndo imemtuliza kwa sasa vinginevyo angekuwa ameshaondoka bila kujali athari kwa watoto.

Ambao hamjaoa jamani oa akupendae bila kujali hali yako kiuchumi.
 
Wanawake karibia wote waliowah kucheat sabbu ya kwanza Huwa ni visasi na bahat mbaya wanaume wengi Huwa hawajui kuwa wakezao wanajua mienendo Yao ila wengine huamua kukaa kimya
Shida ya wanawake hatujui kusahau Yani wengi hulipa ndio shida inapoanzia
Aaliyyah kwo nawewe huwa una cheat swahiba 🥶??
 
Aaliyyah kwo nawewe huwa una cheat swahiba 🥶??
Hamna ila asilimia kubwa na ninaoishi nao ni wameolewa baadhi wanaishi kijumba wengine ni divorced so kutokana Ninawasikia na mengine ninayaona but Sina experience Kam ni kweli au ni story zao tu
 
Sawa mkuu
Kwahiyo mkuu unatuthibitishia kuwa hakukuoenda kwa dhati toka mwanzo?
Daah, natamani ningeuona uzi huu kabla sijaoa. Amebadilika sana baada ya uchumi wangu kuyumba. Sema namvumilia tu hivyohivyo watoto wakue aende zake kunakomfaa.

Sina hata hamu ya mapenzi naye kabisa. Miezi kama sita sasa si yeye au mimi anayemhitaji mwenzie kimapenzi japo mwanzoni alikuwa akinyegeka ananitaka nami kwa kulazimisha tu hisia nampa, sasa anahesabu mwezi mmoja au miwili tu ajifungue.

Sasa daa! Hadi mtoto ajae akue ndo aniachie naona ni mbali sana. Nilipata maumivu sana alipoondoka na mtoto mdogo wa mwisho, na ameshajua akimwacha mtoto atateseka kitu ambacho pia anajua fika kuwa naumia sana mtoto anapoteseka kwa kukosa mama.

Sasa imekuwa ukimkwaza kidogo tu anataka aondoke, yaani karaha tupu. Mimba ndo imemtuliza kwa sasa vinginevyo angekuwa ameshaondoka bila kujali athari kwa watoto.

Ambao hamjaoa jamani oa akupendae bila kujali hali yako kiuchumi.
 
Hamna ila asilimia kubwa na ninaoishi nao ni wameolewa baadhi wanaishi kijumba wengine ni divorced so kutokana Ninawasikia na mengine ninayaona but Sina experience Kam ni kweli au ni story zao tu
Unataka kujitoa kabisa
 
Habari za muda huu waungwana.

Mapenzi ni maisha na mapenzi ni sehemu kubwa ya maisha. Ni vigumu kuyaweka kando mapenzi kwani hata ukifanya hivyo moyo utakuamulia, hivyo basi hatuwezi kuyacha kuyajadili kwa mazuri na mabaya yake.

Nyakati za hivi karibuni kumeshamiri wimbi la hali ya uongo, usaliti, wizi, na ukatili kwenye ndoa. Wingi wa visa hivyo kumepelekea taasisi ya ndoa kupoteza maana mpaka mtu ukiamua kuoa watu wanakushangaa na kukuonea huruma kana kwamba unafanya jambo la kishetani.

Hasa nikiangazia upande wa wanawake walio kwenye ndoa unakutana na matukio ya usaliti wa kupindukia, unakutana na matukio ya wanawake kuwaibia waume zao au kufanya mambo yao kwa siri pasi na mume kujua kuamua kuachana na mumewe pindi tu anapopata uwezo wa kiuchumi na kuweza kujitegemea.

Vipo vilio vya wanaume wengi waliojaribu kwa namna moja au nyingine kuwainua wanawake zao kiuchumi kwa nia njema kabisa lakini matokeo yake yamekuwa machungu.

Wingi wa mtiririko wa matukio haya ya wanawake kukithiri kwa vilio hivi kwa wanaume kuongezeka kwa taraka na kukimbiana baada ya mke kujiona kuwa anaweza kujimudu yote inadhihirisha ukweli kuwa wanawake walio wengi wapo kwenye ndoa au mahusiano kwa sababu za kiuchumi zaidi kuliko mapenzi.

Kuna uwezekano mkubwa huyo unayemuita mkeo au mpenzi wako yupo na wewe kwa kuwa kwa muda huu ni wewe pekee unayeweza kusimamia vyema matatizo yake ya kiuchumi. Nguzo ya upendo haipo moyoni mwake.

Hatukatai kwamba mwanaume lazima utoe huduma kwa mkeo lakini kwanza yatangulie mapenzi kwani kwenye maisha kuna nyakati nyingi hasa si uungwana kuwa na mtu ndoani kwa sababu fulani kwani inawezekana sababu hiyo siku moja ikaondoka.

Ingawa hali ni ngumu na ni vigumu kutambua maana waigizaji ni wengi sana wanapoona kuwa kuna uwezekano wa kupata chochote kitu kwenye muunganiko huo tusijisahau wanaume wenzangu. Lazima ufanye jitihada za kumjua mwenzako ni mtu wa namna gani ili ujiandae kisaikolojia kukabiliana na unalolijua.

Word is enough for the wise.
Hakika wanawake wengi wanaangalia maslahi kwanza
 
Back
Top Bottom