Mtazamo: Wanawake wengi wapo kwenye ndoa au mahusiano kwa sababu za kiuchumi zaidi na si mapenzi

Mtazamo: Wanawake wengi wapo kwenye ndoa au mahusiano kwa sababu za kiuchumi zaidi na si mapenzi

Sawa mkuu
Kwahiyo mkuu unatuthibitishia kuwa hakukuoenda kwa dhati toka mwanzo?
Kabisa mkuu.
Alitaka tu kujaribu kuwa nami ili mambo yangu yakiendelea kunyooka akalie siti lkn sasa ndo hivyo mambo yamekwenda mrama hataki tena kuendelea na mimi. Yan naishi kama ninahouse girl tu..
 
Kabisa mkuu.
Alitaka tu kujaribu kuwa nami ili mambo yangu yakiendelea kunyooka akalie siti lkn sasa ndo hivyo mambo yamekwenda mrama hataki tena kuendelea na mimi. Yan naishi kama ninahouse girl tu..
Na ndoa mlifunga?
 
Back
Top Bottom