Mtazamo wangu: Huenda Yanga SC ikajihakikishia rasmi Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa Matokeo ya Mnyama na Coastal Union Leo au Police Tanzania Jumapili

Umebarikiwa kipaji cha uongo, propaganda na upotoshaji.
 
Tena inawezekana wangedondosha mechi zote 2 hizi maana Ile ya juzi ilikuwa nusura na Kila mtu aliona namna walivyopata tabu hawa nyangenyange
Mkuu wamedondosha point kama ulivyotabiri.
 
Mechi 11 bado.Dalili kwa yanga kuwa bingwa zinaonekana kwa jinsi mazingira yalivyo tengenezwa nje na ndani ya uwanja
 
Wanazidi kurahisisha kazi, wamejitahidi kukimbiza mwenge lakini naona wanaanza kusanda wao wenyewe, uwezi kukimbia mwendo mrefu wakati umejaza wazee wa pensheni kwenye timu na ndio unaowategemea wakupe matokeo mwisho wa siku pumzi inakata kama ivyo
 
kumbe ulijua kutabiri kabisaa kolo genta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…