Mtazamo wangu kuelekea Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika

Nimebahatika kuangalia timu nyingine zinazo cheza nimetambua simba ni tishio washabiki wengi wa first runners kweli wanaziogopa timu za group a hawapendi wakutane nazo ila hamna jinsi lazima kiumane
 
Haha hao jamaa ni balaa...

Kuna game moja waliwafunga Ile timu wapo nayo kundi moja ya waarabu inaitwa CR beloughzidad sijui huko😄 ...jamaa walipigiwa pasi 43 ndo wakafungwa goli ....
Nasio kwamba hao waarabu ni wakisport sport ila ndo Ivo...

Hao mamelody ni balaa 🙌
 
Group A lina team ngumu mno saiz ni bora Al Ahly watoke tu robo fainali
Nimebahatika kuangalia timu nyingine zinazo cheza nimetambua simba ni tishio washabiki wengi wa first runners kweli wanaziogopa timu za group a hawapendi wakutane nazo ila hamna jinsi lazima kiumane
 
Ile game ilichezwa kwa mkapa saa 10 sio game uwanja mzuri kwa waarabu sijui hata belouizdad waliwaza nin kuomba kuutumia kama uwanja wao wa nyumbani
 
Yeye na wewe ni nani ambae hana uzoefu au hajui Moira wa Africa ? Manake kujua mpira wa Africa ni pamoja na kujua Simba hafungwi nyumbani
 
Hata wakaunda timu ya pamoja , huo uwezo wa kumfunga simba ndani nje hawana , na kama wangekua nao wangefanya vizuri kwenye makundi yao kuzidi Simba alivyofanya kwenye kundi lake , hakuna hata mmoja aliemfunika uwezo Simba
 
Simba vs El Merrick iligonga pasi 49 , anyway, Mamelodi yuko kwenye kundi la viwete , sio wa kusifiwa
 
Mkuu povu la nini?
Jamaa kaweka disclaimer chini.
 
Simba kaishafuzu robo fainal

Ni kiasi gani unajiona ndezi muda huu kwa utabiri wako?
 
Simba vs El Merrick iligonga pasi 49 , anyway, Mamelodi yuko kwenye kundi la viwete , sio wa kusifiwa
mkuu mimi si mnazi .....ni mpenda soka tu.
Unazi ukizidi huwezi kuongelea mpira Kwa upana na uhalisia.

Simba msimu huu tupo vizuri ila ukiongelea mamelody hao jamaa wapo vizuri sana c msimu huu tu na c Tu Kwa mchezaji mmoja mmoja hata kucheza kitimu wana nidhamu haswa.
 
mkuu mimi si mnazi .....ni mpenda soka tu.
Unazi ukizidi huwezi kuongelea mpira Kwa upana na uhalisia.

Simba msimu huu tupo vizuri ila ukiongelea mamelody hao jamaa wapo vizuri sana c msimu huu tu.
Nakataa , wako kundi la viwete , zaid ya yeye hakuna timu nyingine iliyokua imeshinda mpaka juz Belouzdad anamfunga mazembe , timu zimecheza mechi 4 zote kutoa memelod zilikua na point 3 kushuka chini , Al Hilal tulicheza nao sisi , pale South katoka 2-1 kule Sudan wakatoka 0-0 , yuko kundi la viwete angekua kundi letu au la Esperance de Tunis asingepata point alizo nazo
 
Sawa mkuu ....

Case closed.
 
Al Hilal na Mazembe sio wazuri sana hao belouizdad wamepoteza game na mamelod kwa mkapa kwa ujinga wao wenyewe


Huweze cheza pale dhidi ya mamelod kama we mwarabu wangezingatia sana hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…