Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.

Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.

Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.

Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.

NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.

Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
 
Jana tulia ackson alimpokea diamond na rayvanny mbeya baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini mbunge wao sugu asiwe mgeni rasmi badala ya tulia ackson

Kwanza kabisa Tulia ni fan wa diamond na Hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akiudhulia baadhi za show za diamond ndomaana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia mondi na rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje mbeya.

Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa aliyonayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.

NB: binafsi me sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini sugu asingekuwepo Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa diamond ni tulia ackson.Na Mimi sijaona ubaya kwa tulia kutaka Jimbo la mbeya cos yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi Cha kisiasa.

Hakuna anayekataa mbinu hiyo, lakini isifike wakati wa kupiga kura kisha vyombo vya dola vikatumika kunajisi box la kura, au yeye kulazimisha kupita bila kupigwa.
 
Jana tulia ackson alimpokea diamond na rayvanny mbeya baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini mbunge wao sugu asiwe mgeni rasmi badala ya tulia ackson

Kwanza kabisa Tulia ni fan wa diamond na Hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akiudhulia baadhi za show za diamond ndomaana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia mondi na rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje mbeya.

Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa aliyonayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.

NB: binafsi me sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini sugu asingekuwepo Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa diamond ni tulia ackson.Na Mimi sijaona ubaya kwa tulia kutaka Jimbo la mbeya cos yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi Cha kisiasa.
Unajiuliza na kujijibu mwenyewe kama zuzu fulani hivi ! Tulishasema kwamba Tulia Ackson hata akipiga kampeni bila dela hawezi kuwa mbunge wa Mbeya Mjini
 
Mama anaendelea kubeep karibu atapiga kabisa. Shida iko wapi? Nafikiri Sugu yuko kwenye nafasi nzuri kwani anajua mpinzani wake mwakani ni nani na CCM katika majimbo wanayowania ije mvua au jua hilo ni moja wapo. Hii itampa nafasi SUGU na CDM kujipanga.
Hii ya kusema Tulia ni fan wa Diamond mimi sijui, ukiniambia Tulia anataka kurukia nyota ya Mond nitakubali. Mwisho waamuzi ni wana Mbeya na usafi wa mchakato utakavyokua.
 
Mama anaendelea kubeep karibu atapiga kabisa. Shida iko wapi? Nafikiri Sugu yuko kwenye nafasi nzuri kwani anajua mpinzani wake mwakani ni nani na CCM katika majimbo wanayowania ije mvua au jua hilo ni moja wapo. Hii itampa nafasi SUGU na CDM kujipanga.
Hii ya kusema Tulia ni fan wa Diamond mimi sijui, ukiniambia Tulia anataka kurukia nyota ya Mond nitakubali. Mwisho waamuzi ni wana Mbeya na usafi wa mchakato utakavyokua.
Tulia pia ni fan wa majeneza , aliwahi kuyatumia kuizika Chadema Mbeya
 
Kwa hiyo Tulia kawaona watu wa Mbeya ni mafala sana kwamba kwa kuja kwa Diamond basi aliyemleta anafaa kupewa ubunge wa miaka 5 kuwatetea maslahi yao ikiwemo ajira kwa vijana, wafanya biashara wadogo, mama ntilie wanaonyanyaswa na migambo nk?
Sidhani kama kweli Mbeya ni MAFALA KIASI HICHO AFIKIRIACHO TULIA.
Watu wamejaa kwa raha zao za muziki na wamelipia sio kwa sababu ya Tulia, kwani Tulia alipanda stejini kukatika mauno?
Walivyo furahi wa muziki ndivyo wapenzi wa mpira walivyo chukia Diamond kuharibu ladha yao ya kuwaona Yanga. Na jee hao nao mnataka wamchukie Tulia?
Siasa za ujanja ujanja na kuwaona vijana mafala na kuwapelekesha zimepitwa na wakati.
Tulia, hao vijana wengi wao ni wahitimu wa elimu ya juu na ya kati ambao wewe kama Naibu spika una nafasi ya kuzuia sheria kandamizi zisipite ili wawe na maisha bora na hujafanya. Iweje unataka wakuamini kwa hila ili uwe mbunge wao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2020 vita ni kubwa, ni matumaini yangu wagombea wote watajizuia wasiicheze karata ya ukabila, madhara yake ni makubwa.
Unapopigana, siraha zote zinatumika kwa zamu kulingana na uzito wa adui. Kama Sugu ukabila haumpi nafasi yeye aliye tu.

Mimi nimeandika mara nyingi sana kwamba hata hapa Arusha, this time tunataka kabila letu maana sisi hatuna nafasi huko kwao! Crystal clear!!
 
Back
Top Bottom