Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

Usimujali mkuu, huyu atakuwa ametumwa na tulia ackson, hapa mbeya mjini tulia hana lolote, hawezi kumungoa sugu, hata atumie usirikina kaa juzi alipotumia musalaba na jeneza la maiti eti anazika chadema, nilishangaa sana mtu ati ako na phd kisa kafanya ujinga wa ajabu kaa ule, mimi siiamini phd ya huyu tulia
PH.d vimeo ziko nyingi sana,walizitafuta ili wapandishwe madaraja ya mishahara huko serikalini.

Matunda yake ndio haya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
D
Chuki za kishamba hizo umemezeshwa na huyu unayemuabudu. Bogus wewe. Kinana kakataa kuwa kibaraka ndio awe mbaya!? Huyo mhindi kama kawa mbunge si kwa sababu kachaguliwa na.wapiga kura au unataka kusema kajitangaza kama mnavyojitangaza ninyi baada ya kupindua matakwa ya wapiga kura!? Kama una uchungu na.ubunge wa Lema nenda kagombee na.wewe uchaguliwe. Mmezoea demokrasia uchwara ya wizi wa kura, wenzenu wanaheshimu matakwa ya wapiga kura. Malimbukeni nyie.

Eti UK mara US , unajifanya unazijua sana. Si ndio mnawaita mabeberu nyie mnaojifanya wazalendo!? Iga na ushoga wao basi au unachagua cha kuiga!? Upuuzi.
Dah! Nahisi kama una tatizo kichwani vile! Kama unajitambua basi una nafuu. Ukisema Hapana, nitajua umezidiwa. Unamtaja Kinana yupi? Ni yule wa meno ya tembo?
 
D

Dah! Nahisi kama una tatizo kichwani vile! Kama unajitambua basi una nafuu. Ukisema Hapana, nitajua umezidiwa. Unamtaja Kinana yupi? Ni yule wa meno ya tembo?
Yule msomali aliyekuwa katibu mkuu wa chama uliyemtaja wewe mwenyewe. Ila nyie wazalendo uchwara ni washamba na.malimbukeni. Kama vipi mwambie bwana wako unamyesujudu ampe kesi. Zile kesi uchwara maarufu mnazowazawadia wale wanaowakosoa.
 
sihitaji kujadiliana na wewe sababu upstairs mwepesi sana! ila ujue Sugu harudi hatumtaki, ametupotezea muda wa kutosha, mji wa mbeya utadhani ni kijiji. Mji wa Mbeya unazidi kurudi nyuma kimaendeleo sababu ya siasa za kijinga za chadema.
Mbeya miaka ytee uko walikuwa wanaongoza ccm maendeleo gani yaliyofanyika kna sio sugu aliyeisukuma mpk angalau leo inatizamika usijifanye unaijua sana mbeya kiazi ww
 
Hovyo sana hyo mjinga anajifanya mbeya anaijua sana betina ndio nani yaani kutoa hivyo vimisaada ndio apate ubunge labda sio mbeya ninayoifahamu mm
Wewe kuku mweusi usitishe watu humu nyang'au wahead! Jitu libariki tuuawe tutekwe halafu unajaribu kutishia liabudiwe Rubbish brain. Nenda kamuabudu wewe kwa sababu wote ni mashetani
 
Unapopigana, siraha zote zinatumika kwa zamu kulingana na uzito wa adui. Kama Sugu ukabila haumpi nafasi yeye aliye tu.

Mimi nimeandika mara nyingi sana kwamba hata hapa Arusha, this time tunataka kabila letu maana sisi hatuna nafasi huko kwao! Crystal clear!!

Hata Mbeya mjini si ya wanyakyusa. Ni ya wasafwa. kiTulia kikagombee kwao Tukuyu. Having said that bora jimbo Hilo Sasa angepewa Maria Mwanjelwa as she is apparently humble. Sio ki tulia kinajisikia flani.
 
Betina😁😁😁😁😁@@Tulia Ackson Mwaaaansaaaasu!!


Hovyo sana hyo mjinga anajifanya mbeya anaijua sana betina ndio nani yaani kutoa hivyo vimisaada ndio apate ubunge labda sio mbeya ninayoifahamu mm
@@
 
Mbeya miaka ytee uko walikuwa wanaongoza ccm maendeleo gani yaliyofanyika kna sio sugu aliyeisukuma mpk angalau leo inatizamika usijifanye unaijua sana mbeya kiazi ww
Hebu niambie maendeleo alivyoleta sugu hapa Mbega mjini
 
Hyo ndugai mpk leo hapo kongwa pa hovyo k
Wewe mzalendo uchwara huu upuuzi tu. Eti unamkumbuka Slaa alipewa hadhi na serikali., unafiki mtupu. Slaa alipewa hadhi gani ambayo Mbowe, Lipumba na Mbatia hawakupewa!? Mbatia alichaguliwa kuwa mbunge wa kuteuliwa. Huyu mnayemuabudu anaweza kufanya hayo!? Eti tutafute watu bora!? Wakati wabunge bogus wanaburuzwa huko bungeni na wanashindwa kuhoji kutofuatwa kwa taratibu. Ungeficha huu upumbavu wako japo uonekane mwerevu kidogo.
Hebu niambie maendeleo alivyoleta sugu hapa Mbega mjini
Hzo barabara za lami kuzunguka kote hko kipindi ccm wapo hpo zilikuwepo vitu vingi sana kafanya ww ulitaka maendeleo gani labda
 
Tulia asubiri viti maalum
Aache kujidanganya
Hana mvuto nyanja zote
 
Hata Mbeya mjini si ya wanyakyusa. Ni ya wasafwa. kiTulia kikagombee kwao Tukuyu. Having said that bora jimbo Hilo Sasa angepewa Maria Mwanjelwa as she is apparently humble. Sio ki tulia kinajisikia flani.
Safi! Mtu anayelazimisha kushika jimbo ni hovyo sana! Lakini snayejimilikisha jimbo pia, hafai. Mtu hastahili kuwachukia wanaotaka kugombea jimboni
 
Yule msomali aliyekuwa katibu mkuu wa chama uliyemtaja wewe mwenyewe. Ila nyie wazalendo uchwara ni washamba na.malimbukeni. Kama vipi mwambie bwana wako unamyesujudu ampe kesi. Zile kesi uchwara maarufu mnazowazawadia wale wanaowakosoa.
Huwa napata kitu kutokana na mijadala ya JF, Lakini kuendelea nawe nitapoteza hata nilichokwishapata. Sorry for that. you are swimming far above my fathoms.
 
Huwa napata kitu kutokana na mijadala ya JF, Lakini kuendelea nawe nitapoteza hata nilichokwishapata. Sorry for that. you are swimming far above my fathoms.
Wewe kasuku kaimbe beberu beberu kama ulivyomezeshwa.na bwana wako. Eti patriot, a patriot, patriot uchwara.
 
Eti WM ajaye ni Tulia@betina!!! Mbeya don't give a damn. We despise her
 
Back
Top Bottom