Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

Unapopigana, siraha zote zinatumika kwa zamu kulingana na uzito wa adui. Kama Sugu ukabila haumpi nafasi yeye aliye tu.

Mimi nimeandika mara nyingi sana kwamba hata hapa Arusha, this time tunataka kabila letu maana sisi hatuna nafasi huko kwao! Crystal clear!!
Tulia njoo Sugu wengine tumechoka, Mbeya haina maendeleo yeyote, Sugu aondoke tu la sivyo serikali itaendea kuturuka kwenye miradi mikubwa ya maendeleo. Kunafaida gani kumshabikia mtu ambae mwisho wa siku wananch tunaumia eti kisa Sugu, yeye ananeemeka na hela za Bungeni kajenga mpaka hotel na serikali inatuangalia tu
 
Niijuavyo Mbeya KUNA MTU FLANI HATA AKIPIGA KAMPENI NA CHUPI hapati kura na kama anataka JW
 
Haishangazi. Kuna mwengine anataka Harmonize awe mbunge. Kisha uwaziri anateua wasomi kutoka vyuoni kwa sababu anajua bungeni wamejaa wabunge bogus.
 
Tulia njoo Sugu wengine tumechoka, Mbeya haina maendeleo yeyote, Sugu aondoke tu la sivyo serikali itaendea kuturuka kwenye miradi mikubwa ya maendeleo. Kunafaida gani kumshabikia mtu ambae mwisho wa siku wananch tunaumia eti kisa Sugu, yeye ananeemeka na hela za Bungeni kajenga mpaka hotel na serikali inatuangalia tu
Wabunge wote wanalipwa. Kwani Sugu kaiba pesa. Kama kaiba, mzalendo uchwara si yupo! Nyie wapambe wake mwambieni ampe kesi uchwara zile wanazopewa watu kila kukicha. Nadhani umenisoma. Naaminisha zile kesi zisizo na dhamana.
 
Wabunge wote wanalipwa. Kwani Sugu kaiba pesa. Kama kaiba, mzalendo uchwara si yupo! Nyie wapambe wake mwambieni ampe kesi uchwara zile wanazopewa watu kila kukicha. Nadhani umenisoma. Naaminisha zile kesi zisizo na dhamana.
sihitaji kujadiliana na wewe sababu upstairs mwepesi sana! ila ujue Sugu harudi hatumtaki, ametupotezea muda wa kutosha, mji wa mbeya utadhani ni kijiji. Mji wa Mbeya unazidi kurudi nyuma kimaendeleo sababu ya siasa za kijinga za chadema.
 
Wabunge wote wanalipwa. Kwani Sugu kaiba pesa. Kama kaiba, mzalendo uchwara si yupo! Nyie wapambe wake mwambieni ampe kesi uchwara zile wanazopewa watu kila kukicha. Nadhani umenisoma. Naaminisha zile kesi zisizo na dhamana.
Halafu wewe acha ujinga wako wa kumtukana kiongozi wa nchi, usijidanganye kujificha kwenye keyboard yako, tutakushika na utashughulikiwa na mkono wa sheria. Au unabisha nikutaje jina lako na number ya simu? unajidanganya na jina bandia
 
Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.

Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.

Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.

Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.

NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.

Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
Kumbe kampeni zimeanza rasmi. Haya wanambeya angalieni kati ya kigagula mchawi na huyu mwanenu nani wa kumchagua. Kigagula mara ya mwisho alikuja na wachawi waliojaribu kuloga chadema kwa kutumia jeneza la chadema wakalia wao. Tulipoteza vijana wawili wa ccm kwenye ajali. Huyo kigagula ataweza kuloga mbeya yote!!!??? yetu macho na masikio
 
Halafu wewe acha ujinga wako wa kumtukana kiongozi wa nchi, usijidanganye kujificha kwenye keyboard yako, tutakushika na utashughulikiwa na mkono wa sheria. Au unabisha nikutaje jina lako na number ya simu? unajidanganya na jina bandia
Wewe kuku mweusi usitishe watu humu nyang'au wahead! Jitu libariki tuuawe tutekwe halafu unajaribu kutishia liabudiwe Rubbish brain. Nenda kamuabudu wewe kwa sababu wote ni mashetani
 
Tulia njoo Sugu wengine tumechoka, Mbeya haina maendeleo yeyote, Sugu aondoke tu la sivyo serikali itaendea kuturuka kwenye miradi mikubwa ya maendeleo. Kunafaida gani kumshabikia mtu ambae mwisho wa siku wananch tunaumia eti kisa Sugu, yeye ananeemeka na hela za Bungeni kajenga mpaka hotel na serikali inatuangalia tu
Watu wengi hata ndani ya JF wanashindwa kutafuta ubora wa Mbunge badala yake wako hapo kwa CHDEMA, CCM! Sungu ni mbunge kwa manufaa yake tu, Hakuna mwananchi anayenufaika kwa kuwa na Sugu. Ni mtu ambaye hawezi hata kuwa na appoint,ent na rais, waziri mkuu na hata mawaziri wengine wakampa nafasi ya kuteta naye lolote!

Tutafute watu bora. Namkumbuka Slaa, pamoja na kuwa yuko upinzani wakati ule, bado serikali ilimpa hadhi yake. Hata waziri Mkuu alimpa hadhi. Hawa wengine hawa kelele tu!
 
Wewe kuku mweusi usitishe watu humu nyang'au wahead! Jitu libariki tuuawe tutekwe halafu unajaribu kutishia liabudiwe Rubbish brain. Nenda kamuabudu wewe kwa sababu wote ni mashetani
Wewe usiye na akili una akili za ndogo kama za nguruwe acha kudanganya watu wa Mbeya, tumesema hatumtaki huyo mjinga wenu Mbunge Tulia utake usitake.Acha kutuna kiongozi wa nchi wewe ndiyo shetani udanganya watu hapa, mpuuzi kabisa wewe
 
Watu wengi hata ndani ya JF wanashindwa kutafuta ubora wa Mbunge badala yake wako hapo kwa CHDEMA, CCM! Sungu ni mbunge kwa manufaa yake tu, Hakuna mwananchi anayenufaika kwa kuwa na Sugu. Ni mtu ambaye hawezi hata kuwa na appoint,ent na rais, waziri mkuu na hata mawaziri wengine wakampa nafasi ya kuteta naye lolote!

Tutafute watu bora. Namkumbuka Slaa, pamoja na kuwa yuko upinzani wakati ule, bado serikali ilimpa hadhi yake. Hata waziri Mkuu alimpa hadhi. Hawa wengine hawa kelele tu!
Wanatudanganya watu wa Mbeya kwa kujifanya eti wanasifia eti Mbeya wanamsimamo hatudanganyiki nasifa zisizo na faida wakati tunarudi nyuma kimaendeleo Mbeya tungepiga hatua kiamendeleo, sasa ni watu binafsi wanahangaika tu, tunataka na sisi miridi mikubwa ya serikali tunatoa kodi hatufaidiki sababu ya kushindana na serikali kwa udanganyifu wa Chadema.
 
Sio pimbi tu. Ni low lives. Hicho kiTulia kimejishusha sana. The lousy lady stooped too low kwa huyo mshirikina Dayamondi. Kigoma.........¡!!!!!!😜😜😜😂😂
Haya bana ! 😎
 
Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.

Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.

Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.

Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.

NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.

Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
Hakuna Mtanzania asiye na chama. Don't lie on that.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.

Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.

Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.

Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.

NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.

Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.

kampeni zimeanza?
 

Attachments

  • 2181970_tapatalk_1555245893539.jpg
    2181970_tapatalk_1555245893539.jpg
    27.2 KB · Views: 2
Halafu wewe acha ujinga wako wa kumtukana kiongozi wa nchi, usijidanganye kujificha kwenye keyboard yako, tutakushika na utashughulikiwa na mkono wa sheria. Au unabisha nikutaje jina lako na number ya simu? unajidanganya na jina bandia
Mjinga ni wewe unayejipendekeza . huyo kiongozi wa nchi umemtaja wewe unayejipendekeza. Endelea kupigania mkate wako wa kila siku.
 
sihitaji kujadiliana na wewe sababu upstairs mwepesi sana! ila ujue Sugu harudi hatumtaki, ametupotezea muda wa kutosha, mji wa mbeya utadhani ni kijiji. Mji wa Mbeya unazidi kurudi nyuma kimaendeleo sababu ya siasa za kijinga za chadema.
Wala mimi sihitaji kujadiliana na wewe . Wewe ni bogus. Kichwa kimejaa uji. Sugu humtaki sawa. Hata huyo unamyemsujudia kuna watu hawamtaki vilevile. Uchaguzi wa serikali za mitaa tu anacheza faulo wakati anajidai anakubalika. Kama anaweza aweke uchaguzi huru na.sio upuuzi wa kukata majina ya wapinzani au kusababisha vurugu za uchaguzi.
Vurugu za kuuana kwa sababu ya dhulma zenu za uchaguzi hatutaki. Amani ya nchi ni bora kuliko njaa zenu za madaraka.
 
Watu wengi hata ndani ya JF wanashindwa kutafuta ubora wa Mbunge badala yake wako hapo kwa CHDEMA, CCM! Sungu ni mbunge kwa manufaa yake tu, Hakuna mwananchi anayenufaika kwa kuwa na Sugu. Ni mtu ambaye hawezi hata kuwa na appoint,ent na rais, waziri mkuu na hata mawaziri wengine wakampa nafasi ya kuteta naye lolote!

Tutafute watu bora. Namkumbuka Slaa, pamoja na kuwa yuko upinzani wakati ule, bado serikali ilimpa hadhi yake. Hata waziri Mkuu alimpa hadhi. Hawa wengine hawa kelele tu!
Wewe mzalendo uchwara huu upuuzi tu. Eti unamkumbuka Slaa alipewa hadhi na serikali., unafiki mtupu. Slaa alipewa hadhi gani ambayo Mbowe, Lipumba na Mbatia hawakupewa!? Mbatia alichaguliwa kuwa mbunge wa kuteuliwa. Huyu mnayemuabudu anaweza kufanya hayo!? Eti tutafute watu bora!? Wakati wabunge bogus wanaburuzwa huko bungeni na wanashindwa kuhoji kutofuatwa kwa taratibu. Ungeficha huu upumbavu wako japo uonekane mwerevu kidogo.
 
Wewe usiye na akili una akili za ndogo kama za nguruwe acha kudanganya watu wa Mbeya, tumesema hatumtaki huyo mjinga wenu Mbunge Tulia utake usitake.Acha kutuna kiongozi wa nchi wewe ndiyo shetani udanganya watu hapa, mpuuzi kabisa wewe
Nyambaf nilidhani utanitisha kama ulivyojigamba mwanzo nyani mweusi. matako yamechubuka ukiwatumikia wauaji mbwa porini msundu meru!
 
Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.

Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.

Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.

Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.

NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.

Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
haya ma ccm na ma chadema bora yangefutiliwa mbali. Hayana maana yoyote zaidi ya kutuletea chuki miongoni mwetu
 
Back
Top Bottom