Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiweza kuandika vizuri majina ya Watu na Miji, njoo tujadili.Jana tulia ackson alimpokea diamond na rayvanny mbeya baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini mbunge wao sugu asiwe mgeni rasmi badala ya tulia ackson
Kwanza kabisa Tulia ni fan wa diamond na Hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akiudhulia baadhi za show za diamond ndomaana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia mondi na rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje mbeya.
Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa aliyonayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.
NB: binafsi me sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini sugu asingekuwepo Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa diamond ni tulia ackson.Na Mimi sijaona ubaya kwa tulia kutaka Jimbo la mbeya cos yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi Cha kisiasa.
Hakuna anayekataa mbinu hiyo, lakini isifike wakati wa kupiga kura kisha vyombo vya dola vikatumika kunajisi box la kura, au yeye kulazimisha kupita bila kupigwa.
Unadhani wakicheza karata ya ukabila nani ataumia? Mimi binafsi nadhani ataumia anayetaka na siye aliyepo2020 vita ni kubwa, ni matumaini yangu wagombea wote watajizuia wasiicheze karata ya ukabila, madhara yake ni makubwa.
Mkuu tindo kila kitu kimepangwa kwa ustadi sana hata Sugu hilo anajua,cha msingi arudi kwenye fani yake ya zamani,halikadhalika Lema Arusha,ni maoni yangu tu,wasipoteze resources watakazolipwa baada ya kumaliza kipindi chao cha utumishi wa ubunge hapo mwakani2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Betina akajipendekeze kwenye jimbo lake la magogoni maana jimbo la mbeya tusha mkabidhi mh MbilinyiJana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.
Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.
Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.
NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.
Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
Ukabila kwa mbeya utakuwa ni sumu kubwa sana kama utatumika kisiasa2020 vita ni kubwa, ni matumaini yangu wagombea wote watajizuia wasiicheze karata ya ukabila, madhara yake ni makubwa.
Nadhani hutambui hali ya taharuki iliyo ingia Mbeya kwa ziara ya Diamond!Mkuu tindo kila kitu kimepangwa kwa ustadi sana hata Sugu hilo anajua,cha msingi arudi kwenye fani yake ya zamani,halikadhalika Lema Arusha,ni maoni yangu tu,wasipoteze resources watakazolipwa baada ya kumaliza kipindi chao cha utumishi wa ubunge hapo mwakani2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiuhalisia lazima tukubali kabisa kwamba kama wataweka fair ground kisiasa basi huyo Betina asahau kupata ubunge mbele ya mh SuguHakuna anayekataa mbinu hiyo, lakini isifike wakati wa kupiga kura kisha vyombo vya dola vikatumika kunajisi box la kura, au yeye kulazimisha kupita bila kupigwa.
Haya,matengenezo ya uwanja ni gharama ya nani?Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.
Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.
Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.
NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.
Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
Unajiuliza na kujijibu mwenyewe kama zuzu fulani hivi ! Tulishasema kwamba Tulia Ackson hata akipiga kampeni bila dela hawezi kuwa mbunge wa Mbeya Mjini
patriot=mzalendo hana ukabila!Unapopigana, siraha zote zinatumika kwa zamu kulingana na uzito wa adui. Kama Sugu ukabila haumpi nafasi yeye aliye tu.
Mimi nimeandika mara nyingi sana kwamba hata hapa Arusha, this time tunataka kabila letu maana sisi hatuna nafasi huko kwao! Crystal clear!!
Sugu na yeye ni Msanii ajikaribishe tu.Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.
Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.
Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.
NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.
Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
Nyumba za ibada zinasema usiue lakini ukiwa frontline ua!!!patriot=mzalendo hana ukabila!
Usipate taabu kupima kina cha maji kwa kidole, 2020 mshauri mwenyekiti wenu asiweke mpira kwapani kama alivyofanya kwenye serikali za mtaa.Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.
Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.
Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.
NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.
Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
Mzee baba me nimetoa tu mtazamo wangu Sina mapenzi na chama chochote Cha siasa.U
Usipate taabu kupima kina cha maji kwa kidole, 2020 mshauri mwenyekiti wenu asiweke mpira kwapani kama alivyofanya kwenye serikali za mtaa.