Huyo Tulia mshauri wake ni mjinga sana hiyo pesa ya kuwalipa hao vijana ni bora angewajengea wamama visima wapate maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza mna wasiwasi gani wakati Chadema haitagombea!Hakuna anayekataa mbinu hiyo, lakini isifike wakati wa kupiga kura kisha vyombo vya dola vikatumika kunajisi box la kura, au yeye kulazimisha kupita bila kupigwa.
Tulia atapita tu, mtake msitake! Kazi yenu nyue itabaki kuja humu kubweka tuHakuna anayekataa mbinu hiyo, lakini isifike wakati wa kupiga kura kisha vyombo vya dola vikatumika kunajisi box la kura, au yeye kulazimisha kupita bila kupigwa.
nimpumbafu tu kama wewe unayeweza kusema kuwa hilo jimbo linarudi kwa sugu wakati yeye mwenyewe sugu amesha surrender anatatfuta kazi mbadala ya kufanya wewe bado umeng'ang'ania tu eti hata apige kampeni bila deraa unakichaaUnajiuliza na kujijibu mwenyewe kama zuzu fulani hivi ! Tulishasema kwamba Tulia Ackson hata akipiga kampeni bila dela hawezi kuwa mbunge wa Mbeya Mjini
Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.
Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.
Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.
NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.
Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
Kwanza mna wasiwasi gani wakati Chadema haitagombea!
Tulia atapita tu, mtake msitake! Kazi yenu nyue itabaki kuja humu kubweka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili ya kawaida kabisa mtu unasthubutu kufikiri kwamba Diamond ana ushawishi wowote ule kwa wana Mbeya?
We unafikiri nini pamoja na Lowassa kuwa waziri SI chini ya miaka 15 kwanini still akautaka uraisi?Key points..
1. Amemlipa diamond
2. Amelipia huduma zote za hao wasanii hapo Mbeya, hotels,airtickts,gari za kukodi.
3. Mengineyo
Huyu Tulia anabiashara gani kubwa inayomuingizia kipato na kuweza kufanya haya yote.
Kama ni ubunge tayar anao na anaishi hapo mjengoni na magogoni.
Kipi hasa kinamsukuma hadi asitosheke na nafasi aliyokuwa nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Mondi na Rayvan ni mapimbi ?Tulia stooped low kuwapokea hao pimbi
Yaani unamaanisha mh. Tulia Akson apige kampeni akiwa utupu wa mnyama ? Da ! We bidada kweli umeoza kichwani !Unajiuliza na kujijibu mwenyewe kama zuzu fulani hivi ! Tulishasema kwamba Tulia Ackson hata akipiga kampeni bila dela hawezi kuwa mbunge wa Mbeya Mjini
HARAKATI ZA KUFUKUZA UPEPO TU HIZI! DAH,KWELI WAJINGA NDIO WALIWAO.Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.
Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.
Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.
NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.
Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson.
Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi lakini pia amekuwa akihudhuria baadhi za show za Diamond ndio maana yeye ndo akaenda kumpokea lakini pia amemlipa Diamond show aliyepiga lakini pia amelipia hotel aliyofikia Mondi na Rayvanny pamoja malezi yote na yeye ndio aliyewashawishi waje Mbeya.
Pamoja na kuwa ni fan mkubwa wa Mondi lakini pia amefanya Kama sehemu ya mipango ya yeye kuchukua Jimbo la Mbeya kwa kutumia ushawishi mkubwa alionayo DIAMOND PLATNUMZ.
Yale mafuriko ya watu aliyopata DIAMOND Mbeya ikiwemo mashabiki kumsafishia Barabara wakati anapita na gari lake Dk. Tulia akaitumia kama sehemu ya yeye kupata mtaji wa kisiasa.
NB: Binafsi mimi sio mpenzi wa vyama vya siasa vya bongo lakini nimeshangazwa na namna ambavyo mashabiki wa CHADEMA kulalamika kwanini Sugu asingekuwepo.
Kama mgeni rasmi atakuwepo vp sugu wakati aliyemlipa Diamond ni Dk. Tulia Ackson. Na Mimi sijaona ubaya kwa Dk. Tulia kutaka Jimbo la Mbeya because yule ni mwanasiasa na lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata nafasi ya kisiasa regardless anatoka chama kipi cha kisiasa.
Hivi ndani ya CHADEMA hakuna atakayejitokeza kupambana na Sugu? Nafasi za Ubunge tumezifanya kuwa ni mali ya watu binafsi, kwa nini? kwani CHADEMA Mbeya ni mali ya Sugu? We are coming!Mama anaendelea kubeep karibu atapiga kabisa. Shida iko wapi? Nafikiri Sugu yuko kwenye nafasi nzuri kwani anajua mpinzani wake mwakani ni nani na CCM katika majimbo wanayowania ije mvua au jua hilo ni moja wapo. Hii itampa nafasi SUGU na CDM kujipanga.
Hii ya kusema Tulia ni fan wa Diamond mimi sijui, ukiniambia Tulia anataka kurukia nyota ya Mond nitakubali. Mwisho waamuzi ni wana Mbeya na usafi wa mchakato utakavyokua.
Kama CDM wanasababu za kuweka mtu mwingine naamini watafanya hivyo, lakini kama bado wanaona SUGU anawafaa basi wataendelea nae.Hivi ndani ya CHADEMA hakuna atakayejitokeza kupambana na Sugu? Nafasi za Ubunge tumezifanya kuwa ni mali ya watu binafsi, kwa nini? kwani CHADEMA Mbeya ni mali ya Sugu? We are coming!