PH.d vimeo ziko nyingi sana,walizitafuta ili wapandishwe madaraja ya mishahara huko serikalini.Usimujali mkuu, huyu atakuwa ametumwa na tulia ackson, hapa mbeya mjini tulia hana lolote, hawezi kumungoa sugu, hata atumie usirikina kaa juzi alipotumia musalaba na jeneza la maiti eti anazika chadema, nilishangaa sana mtu ati ako na phd kisa kafanya ujinga wa ajabu kaa ule, mimi siiamini phd ya huyu tulia
Sijui, lakinu Mheshimiwa Sugu ajipange, asishangae jimbo likageuka bonge la barafu.
Wacha wacheze tuone2020 vita ni kubwa, ni matumaini yangu wagombea wote watajizuia wasiicheze karata ya ukabila, madhara yake ni makubwa.
Dah! Nahisi kama una tatizo kichwani vile! Kama unajitambua basi una nafuu. Ukisema Hapana, nitajua umezidiwa. Unamtaja Kinana yupi? Ni yule wa meno ya tembo?Chuki za kishamba hizo umemezeshwa na huyu unayemuabudu. Bogus wewe. Kinana kakataa kuwa kibaraka ndio awe mbaya!? Huyo mhindi kama kawa mbunge si kwa sababu kachaguliwa na.wapiga kura au unataka kusema kajitangaza kama mnavyojitangaza ninyi baada ya kupindua matakwa ya wapiga kura!? Kama una uchungu na.ubunge wa Lema nenda kagombee na.wewe uchaguliwe. Mmezoea demokrasia uchwara ya wizi wa kura, wenzenu wanaheshimu matakwa ya wapiga kura. Malimbukeni nyie.
Eti UK mara US , unajifanya unazijua sana. Si ndio mnawaita mabeberu nyie mnaojifanya wazalendo!? Iga na ushoga wao basi au unachagua cha kuiga!? Upuuzi.
Yule msomali aliyekuwa katibu mkuu wa chama uliyemtaja wewe mwenyewe. Ila nyie wazalendo uchwara ni washamba na.malimbukeni. Kama vipi mwambie bwana wako unamyesujudu ampe kesi. Zile kesi uchwara maarufu mnazowazawadia wale wanaowakosoa.D
Dah! Nahisi kama una tatizo kichwani vile! Kama unajitambua basi una nafuu. Ukisema Hapana, nitajua umezidiwa. Unamtaja Kinana yupi? Ni yule wa meno ya tembo?
Mbeya miaka ytee uko walikuwa wanaongoza ccm maendeleo gani yaliyofanyika kna sio sugu aliyeisukuma mpk angalau leo inatizamika usijifanye unaijua sana mbeya kiazi wwsihitaji kujadiliana na wewe sababu upstairs mwepesi sana! ila ujue Sugu harudi hatumtaki, ametupotezea muda wa kutosha, mji wa mbeya utadhani ni kijiji. Mji wa Mbeya unazidi kurudi nyuma kimaendeleo sababu ya siasa za kijinga za chadema.
Wewe kuku mweusi usitishe watu humu nyang'au wahead! Jitu libariki tuuawe tutekwe halafu unajaribu kutishia liabudiwe Rubbish brain. Nenda kamuabudu wewe kwa sababu wote ni mashetani
Unapopigana, siraha zote zinatumika kwa zamu kulingana na uzito wa adui. Kama Sugu ukabila haumpi nafasi yeye aliye tu.
Mimi nimeandika mara nyingi sana kwamba hata hapa Arusha, this time tunataka kabila letu maana sisi hatuna nafasi huko kwao! Crystal clear!!
@@Hovyo sana hyo mjinga anajifanya mbeya anaijua sana betina ndio nani yaani kutoa hivyo vimisaada ndio apate ubunge labda sio mbeya ninayoifahamu mm
Hebu niambie maendeleo alivyoleta sugu hapa Mbega mjiniMbeya miaka ytee uko walikuwa wanaongoza ccm maendeleo gani yaliyofanyika kna sio sugu aliyeisukuma mpk angalau leo inatizamika usijifanye unaijua sana mbeya kiazi ww
Wewe mzalendo uchwara huu upuuzi tu. Eti unamkumbuka Slaa alipewa hadhi na serikali., unafiki mtupu. Slaa alipewa hadhi gani ambayo Mbowe, Lipumba na Mbatia hawakupewa!? Mbatia alichaguliwa kuwa mbunge wa kuteuliwa. Huyu mnayemuabudu anaweza kufanya hayo!? Eti tutafute watu bora!? Wakati wabunge bogus wanaburuzwa huko bungeni na wanashindwa kuhoji kutofuatwa kwa taratibu. Ungeficha huu upumbavu wako japo uonekane mwerevu kidogo.
Hzo barabara za lami kuzunguka kote hko kipindi ccm wapo hpo zilikuwepo vitu vingi sana kafanya ww ulitaka maendeleo gani labdaHebu niambie maendeleo alivyoleta sugu hapa Mbega mjini
Safi! Mtu anayelazimisha kushika jimbo ni hovyo sana! Lakini snayejimilikisha jimbo pia, hafai. Mtu hastahili kuwachukia wanaotaka kugombea jimboniHata Mbeya mjini si ya wanyakyusa. Ni ya wasafwa. kiTulia kikagombee kwao Tukuyu. Having said that bora jimbo Hilo Sasa angepewa Maria Mwanjelwa as she is apparently humble. Sio ki tulia kinajisikia flani.
Hiyo kweli maana wapiga kura nao huvutiwa na mengi. Hata uvaaji na muonekano wa usoni!Tulia asubiri viti maalum
Aache kujidanganya
Hana mvuto nyanja zote
Huwa napata kitu kutokana na mijadala ya JF, Lakini kuendelea nawe nitapoteza hata nilichokwishapata. Sorry for that. you are swimming far above my fathoms.Yule msomali aliyekuwa katibu mkuu wa chama uliyemtaja wewe mwenyewe. Ila nyie wazalendo uchwara ni washamba na.malimbukeni. Kama vipi mwambie bwana wako unamyesujudu ampe kesi. Zile kesi uchwara maarufu mnazowazawadia wale wanaowakosoa.
Wewe kasuku kaimbe beberu beberu kama ulivyomezeshwa.na bwana wako. Eti patriot, a patriot, patriot uchwara.Huwa napata kitu kutokana na mijadala ya JF, Lakini kuendelea nawe nitapoteza hata nilichokwishapata. Sorry for that. you are swimming far above my fathoms.
Jina lenyewe Tulia ukisha kuwa tulia kuna utulivu ndani yake inabidi atulie maana jimbo sio lake leo wala kesho.