OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Eeeh wakuu mpo?
Ktk huu uzi nitazungumzia kuhusu majini kiimani na kisayansi kulingana na experience niliyonayo ila pia mtu yeyote anaruhusiwa kuchangia kulingana na kile anachokijua au alichoeahi kukiona
Majini ni nini?
Majini kiroho ni viumbe hai wanaoweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu, sehemu wanazoweza kuweka makazi ktk mwili wa binadamu ni kifuani na kichwani namaanishq ndani.
Kisayansi majini ni gesi (molecule) inayofanana na carbonmonoxide, hii hewa huweza kuingia ktk mwili wa binadamu kupitia mfumo wa hewa yaani ukivuta hewa ndani ukaivuta hiyo gesi kama ipo eneo ulilopo ikaaingia kwenye mapafu na na kupenya ktk mfumo wa damu basi tutasema umepata majini. Hii gesi inatabia ya kuvibrate na hujishikiza ktk haemoglobin kwa muda kisha kubaki ktk mzunguko wa damu
Hii gesi ni mtizamo wangu kulingana na uchunguzi wangu naomba unayesoma hapa uelewe mapema kabisa haya maelezo ni mawazo yangu binafsi. Nitaiita gas X ktk uzi huu, hii gesi X ina exist ktk form mbali mbali yaani gesi X zipo za aina mbali mbali.
Mtu mwenye majini huwa anapata dalili zifuatazo ila sio lazima ziwe zote ni moja kati ya zifuatazo
Kuhisi kama unakabwa usiku, kuhisi kitu kinatembea mwilini, maumivu mwili mzima, kuwa na nguvu kupita kiasi na kukakamaa, kuchizika, kupandisha mapepo, kutoa miungurumo wakati wa kuvuta na kutoa hewa, kuumwa mwili mzimq, kuumwa miguu, macho kuwa meusi au kama ya paka yaani yanakuwa yanatisha.
MAJINI HAWAPENDI NINI?
majini hawapendi uchafu mfano harufu ya mkojo, au harufu yoyote kali mfano jasho linalotoka wakati wa ngono na maji maji ya uke au uume ile harufu hawaipendi,
Hawapendi harufu ya pombe, sigara au bangi.
Hawapendi vitu vichachu kama vile ndimu n.k
Kisayansi ni kwamba vitu nilivyotaja hapo juu vinaweza kufanya exchange ya gesi X ikqtoka ktk mzunguko wa damu ndio maana hawaipendi.
MAJINI WANAPENDA NINI?
majini wanapenda damu, usafi, harufu nzuri ya marashi kama vile gift of zanzibar, Al wood n.k pia wanapenda harufu ya ubani na udi
Kisayansi wanapenda damu kwa sababu kuna kiasi kingi cha haemoglobin, pia harufu ya ubani na udi hutoa oxygen ktk haemoglobin na kuifanya gas X ijipachike. Hapa maana yake ni kwamba kiasi cha oxygen ktk damu (oxygen saturation kitakuwa below 98% mtu atahisi kifua kinabana ataanza kuhema kwa kasi na hata kupoteza fahamu au kuwa kama amechangamyikiwa (halucination) kimtaa mtaa mnaita kupandisha yaani ansingia kwny anaerobic respiration akija kushusha anakuwa kachoka sana
Baada ya utangulizi nakaribisha maswali ya kiroho na kisayansi.
Ahsante
Ktk huu uzi nitazungumzia kuhusu majini kiimani na kisayansi kulingana na experience niliyonayo ila pia mtu yeyote anaruhusiwa kuchangia kulingana na kile anachokijua au alichoeahi kukiona
Majini ni nini?
Majini kiroho ni viumbe hai wanaoweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu, sehemu wanazoweza kuweka makazi ktk mwili wa binadamu ni kifuani na kichwani namaanishq ndani.
Kisayansi majini ni gesi (molecule) inayofanana na carbonmonoxide, hii hewa huweza kuingia ktk mwili wa binadamu kupitia mfumo wa hewa yaani ukivuta hewa ndani ukaivuta hiyo gesi kama ipo eneo ulilopo ikaaingia kwenye mapafu na na kupenya ktk mfumo wa damu basi tutasema umepata majini. Hii gesi inatabia ya kuvibrate na hujishikiza ktk haemoglobin kwa muda kisha kubaki ktk mzunguko wa damu
Hii gesi ni mtizamo wangu kulingana na uchunguzi wangu naomba unayesoma hapa uelewe mapema kabisa haya maelezo ni mawazo yangu binafsi. Nitaiita gas X ktk uzi huu, hii gesi X ina exist ktk form mbali mbali yaani gesi X zipo za aina mbali mbali.
Mtu mwenye majini huwa anapata dalili zifuatazo ila sio lazima ziwe zote ni moja kati ya zifuatazo
Kuhisi kama unakabwa usiku, kuhisi kitu kinatembea mwilini, maumivu mwili mzima, kuwa na nguvu kupita kiasi na kukakamaa, kuchizika, kupandisha mapepo, kutoa miungurumo wakati wa kuvuta na kutoa hewa, kuumwa mwili mzimq, kuumwa miguu, macho kuwa meusi au kama ya paka yaani yanakuwa yanatisha.
MAJINI HAWAPENDI NINI?
majini hawapendi uchafu mfano harufu ya mkojo, au harufu yoyote kali mfano jasho linalotoka wakati wa ngono na maji maji ya uke au uume ile harufu hawaipendi,
Hawapendi harufu ya pombe, sigara au bangi.
Hawapendi vitu vichachu kama vile ndimu n.k
Kisayansi ni kwamba vitu nilivyotaja hapo juu vinaweza kufanya exchange ya gesi X ikqtoka ktk mzunguko wa damu ndio maana hawaipendi.
MAJINI WANAPENDA NINI?
majini wanapenda damu, usafi, harufu nzuri ya marashi kama vile gift of zanzibar, Al wood n.k pia wanapenda harufu ya ubani na udi
Kisayansi wanapenda damu kwa sababu kuna kiasi kingi cha haemoglobin, pia harufu ya ubani na udi hutoa oxygen ktk haemoglobin na kuifanya gas X ijipachike. Hapa maana yake ni kwamba kiasi cha oxygen ktk damu (oxygen saturation kitakuwa below 98% mtu atahisi kifua kinabana ataanza kuhema kwa kasi na hata kupoteza fahamu au kuwa kama amechangamyikiwa (halucination) kimtaa mtaa mnaita kupandisha yaani ansingia kwny anaerobic respiration akija kushusha anakuwa kachoka sana
Baada ya utangulizi nakaribisha maswali ya kiroho na kisayansi.
Ahsante