Mtazamo wangu kuhusu majini (mashetani/ mapepo). Uliza swali lolote nitakujibu

Mtazamo wangu kuhusu majini (mashetani/ mapepo). Uliza swali lolote nitakujibu

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Eeeh wakuu mpo?

Ktk huu uzi nitazungumzia kuhusu majini kiimani na kisayansi kulingana na experience niliyonayo ila pia mtu yeyote anaruhusiwa kuchangia kulingana na kile anachokijua au alichoeahi kukiona


Majini ni nini?

Majini kiroho ni viumbe hai wanaoweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu, sehemu wanazoweza kuweka makazi ktk mwili wa binadamu ni kifuani na kichwani namaanishq ndani.


Kisayansi majini ni gesi (molecule) inayofanana na carbonmonoxide, hii hewa huweza kuingia ktk mwili wa binadamu kupitia mfumo wa hewa yaani ukivuta hewa ndani ukaivuta hiyo gesi kama ipo eneo ulilopo ikaaingia kwenye mapafu na na kupenya ktk mfumo wa damu basi tutasema umepata majini. Hii gesi inatabia ya kuvibrate na hujishikiza ktk haemoglobin kwa muda kisha kubaki ktk mzunguko wa damu

Hii gesi ni mtizamo wangu kulingana na uchunguzi wangu naomba unayesoma hapa uelewe mapema kabisa haya maelezo ni mawazo yangu binafsi. Nitaiita gas X ktk uzi huu, hii gesi X ina exist ktk form mbali mbali yaani gesi X zipo za aina mbali mbali.

Mtu mwenye majini huwa anapata dalili zifuatazo ila sio lazima ziwe zote ni moja kati ya zifuatazo

Kuhisi kama unakabwa usiku, kuhisi kitu kinatembea mwilini, maumivu mwili mzima, kuwa na nguvu kupita kiasi na kukakamaa, kuchizika, kupandisha mapepo, kutoa miungurumo wakati wa kuvuta na kutoa hewa, kuumwa mwili mzimq, kuumwa miguu, macho kuwa meusi au kama ya paka yaani yanakuwa yanatisha.

MAJINI HAWAPENDI NINI?

majini hawapendi uchafu mfano harufu ya mkojo, au harufu yoyote kali mfano jasho linalotoka wakati wa ngono na maji maji ya uke au uume ile harufu hawaipendi,

Hawapendi harufu ya pombe, sigara au bangi.

Hawapendi vitu vichachu kama vile ndimu n.k


Kisayansi ni kwamba vitu nilivyotaja hapo juu vinaweza kufanya exchange ya gesi X ikqtoka ktk mzunguko wa damu ndio maana hawaipendi.

MAJINI WANAPENDA NINI?

majini wanapenda damu, usafi, harufu nzuri ya marashi kama vile gift of zanzibar, Al wood n.k pia wanapenda harufu ya ubani na udi


Kisayansi wanapenda damu kwa sababu kuna kiasi kingi cha haemoglobin, pia harufu ya ubani na udi hutoa oxygen ktk haemoglobin na kuifanya gas X ijipachike. Hapa maana yake ni kwamba kiasi cha oxygen ktk damu (oxygen saturation kitakuwa below 98% mtu atahisi kifua kinabana ataanza kuhema kwa kasi na hata kupoteza fahamu au kuwa kama amechangamyikiwa (halucination) kimtaa mtaa mnaita kupandisha yaani ansingia kwny anaerobic respiration akija kushusha anakuwa kachoka sana

Baada ya utangulizi nakaribisha maswali ya kiroho na kisayansi.

Ahsante
 
Jinn ni viumbe wanaopatikana kwenye uislamu pekee.

Hakuna mahali kwenye maandiko halisi ya bibilia(ambayo hayajatafsiriwa) kumetajwa majini(jinn)

Kusema mashetani na mapepo ni majini sio sahihi mkuu, wanajigemea wenyewe

Uzi mzuri lakini
Majini ni jina la jumla

Yamegawanyika mara mbili
Majini mazuri na majini mabaya


Ktk majini wabaya ndio utakuta kuna mapepo na mashetani


Mapepo ni yale ya kurushiwa
Mashetani ni yale yanamfanya mtu awe na maradhi unaweza kuzaliwa nayo ukaishi nayo muda mrefu bila kujua

Sijui umenipata mkuu?
 
Aisee!

Hii kali 🤣

Haya madai yako kwamba “majini” ni gesi kama ukivyoiita “Gesi X” inayofanana na carbon monoxide hiyo sasa ni kali ya kufungia mwaka kwasababu hakuna ushahidi wowote wa kisayansi sasa huwezi kusema tu jinsi unavyoona wewe na utegemee ilete maana kwa watu. Carbon monoxide (CO) ni gesi inayojulikana vizuri kwa sifa zake za kikemikali sasa kuifananisha na “majini” kwa msingi wa dhana pekee haina msingi wa kisayansi.

Kingine hakuna tafiti za kisayansi zinazohusisha dalili kama kuhisi kukabwa, kuona vitu visivyo halisi (hallucinations) au maumivu ya mwili na uwepo wa “Gesi X” aka “majini” kama bandiko lako linavyo sema.
 
Eeeh wakuu mpo?

Ktk huu uzi nitazungumzia kuhusu majini kiimani na kisayansi kulingana na experience niliyonayo ila pia mtu yeyote anaruhusiwa kuchangia kulingana na kile anachokijua au alichoeahi kukiona


Majini ni nini?

Majini kiroho ni viumbe hai wanaoweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu, sehemu wanazoweza kuweka makazi ktk mwili wa binadamu ni kifuani na kichwani namaanishq ndani.


Kisayansi majini ni gesi (molecule) inayofanana na carbonmonoxide, hii hewa huweza kuingia ktk mwili wa binadamu kupitia mfumo wa hewa yaani ukivuta hewa ndani ukaivuta hiyo gesi kama ipo eneo ulilopo ikaaingia kwenye mapafu na na kupenya ktk mfumo wa damu basi tutasema umepata majini. Hii gesi inatabia ya kuvibrate na hujishikiza ktk haemoglobin kwa muda kisha kubaki ktk mzunguko wa damu

Hii gesi ni mtizamo wangu kulingana na uchunguzi wangu naomba unayesoma hapa uelewe mapema kabisa haya maelezo ni mawazo yangu binafsi. Nitaiita gas X ktk uzi huu, hii gesi X ina exist ktk form mbali mbali yaani gesi X zipo za aina mbali mbali.

Mtu mwenye majini huwa anapata dalili zifuatazo ila sio lazima ziwe zote ni moja kati ya zifuatazo

Kuhisi kama unakabwa usiku, kuhisi kitu kinatembea mwilini, maumivu mwili mzima, kuwa na nguvu kupita kiasi na kukakamaa, kuchizika, kupandisha mapepo, kutoa miungurumo wakati wa kuvuta na kutoa hewa, kuumwa mwili mzimq, kuumwa miguu, macho kuwa meusi au kama ya paka yaani yanakuwa yanatisha.

MAJINI HAWAPENDI NINI?

majini hawapendi uchafu mfano harufu ya mkojo, au harufu yoyote kali mfano jasho linalotoka wakati wa ngono na maji maji ya uke au uume ile harufu hawaipendi,

Hawapendi harufu ya pombe, sigara au bangi.

Hawapendi vitu vichachu kama vile ndimu n.k


Kisayansi ni kwamba vitu nilivyotaja hapo juu vinaweza kufanya exchange ya gesi X ikqtoka ktk mzunguko wa damu ndio maana hawaipendi.

MAJINI WANAPENDA NINI?

majini wanapenda damu, usafi, harufu nzuri ya marashi kama vile gift of zanzibar, Al wood n.k pia wanapenda harufu ya ubani na udi


Kisayansi wanapenda damu kwa sababu kuna kiasi kingi cha haemoglobin, pia harufu ya ubani na udi hutoa oxygen ktk haemoglobin na kuifanya gas X ijipachike. Hapa maana yake ni kwamba kiasi cha oxygen ktk damu (oxygen saturation kitakuwa below 98% mtu atahisi kifua kinabana ataanza kuhema kwa kasi na hata kupoteza fahamu au kuwa kama amechangamyikiwa (halucination) kimtaa mtaa mnaita kupandisha yaani ansingia kwny anaerobic respiration akija kushusha anakuwa kachoka sana

Baada ya utangulizi nakaribisha maswali ya kiroho na kisayansi.

Ahsante
Jini linawezaje kumsaidia MTU mwenye matatizo ya kiafya, kiuchumi, aliyedhulumiwa haki yake mahali popote?
 
We dogo utakuja kuwa mganga soon.
Jinn ni viumbe wanaopatikana kwenye uislamu pekee.

Hakuna mahali kwenye maandiko halisi ya bibilia(ambayo hayajatafsiriwa) kumetajwa majini(jinn)

Kusema mashetani na mapepo ni majini sio sahihi mkuu, wanajitegemea wenyewe

Uzi mzuri lakini

Yamegawanyika mara mbili
Majini mazuri na majini mabaya
Hii chai.
 
Eeeh wakuu mpo?

Ktk huu uzi nitazungumzia kuhusu majini kiimani na kisayansi kulingana na experience niliyonayo ila pia mtu yeyote anaruhusiwa kuchangia kulingana na kile anachokijua au alichoeahi kukiona


Majini ni nini?

Majini kiroho ni viumbe hai wanaoweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu, sehemu wanazoweza kuweka makazi ktk mwili wa binadamu ni kifuani na kichwani namaanishq ndani.


Kisayansi majini ni gesi (molecule) inayofanana na carbonmonoxide, hii hewa huweza kuingia ktk mwili wa binadamu kupitia mfumo wa hewa yaani ukivuta hewa ndani ukaivuta hiyo gesi kama ipo eneo ulilopo ikaaingia kwenye mapafu na na kupenya ktk mfumo wa damu basi tutasema umepata majini. Hii gesi inatabia ya kuvibrate na hujishikiza ktk haemoglobin kwa muda kisha kubaki ktk mzunguko wa damu

Hii gesi ni mtizamo wangu kulingana na uchunguzi wangu naomba unayesoma hapa uelewe mapema kabisa haya maelezo ni mawazo yangu binafsi. Nitaiita gas X ktk uzi huu, hii gesi X ina exist ktk form mbali mbali yaani gesi X zipo za aina mbali mbali.

Mtu mwenye majini huwa anapata dalili zifuatazo ila sio lazima ziwe zote ni moja kati ya zifuatazo

Kuhisi kama unakabwa usiku, kuhisi kitu kinatembea mwilini, maumivu mwili mzima, kuwa na nguvu kupita kiasi na kukakamaa, kuchizika, kupandisha mapepo, kutoa miungurumo wakati wa kuvuta na kutoa hewa, kuumwa mwili mzimq, kuumwa miguu, macho kuwa meusi au kama ya paka yaani yanakuwa yanatisha.

MAJINI HAWAPENDI NINI?

majini hawapendi uchafu mfano harufu ya mkojo, au harufu yoyote kali mfano jasho linalotoka wakati wa ngono na maji maji ya uke au uume ile harufu hawaipendi,

Hawapendi harufu ya pombe, sigara au bangi.

Hawapendi vitu vichachu kama vile ndimu n.k


Kisayansi ni kwamba vitu nilivyotaja hapo juu vinaweza kufanya exchange ya gesi X ikqtoka ktk mzunguko wa damu ndio maana hawaipendi.

MAJINI WANAPENDA NINI?

majini wanapenda damu, usafi, harufu nzuri ya marashi kama vile gift of zanzibar, Al wood n.k pia wanapenda harufu ya ubani na udi


Kisayansi wanapenda damu kwa sababu kuna kiasi kingi cha haemoglobin, pia harufu ya ubani na udi hutoa oxygen ktk haemoglobin na kuifanya gas X ijipachike. Hapa maana yake ni kwamba kiasi cha oxygen ktk damu (oxygen saturation kitakuwa below 98% mtu atahisi kifua kinabana ataanza kuhema kwa kasi na hata kupoteza fahamu au kuwa kama amechangamyikiwa (halucination) kimtaa mtaa mnaita kupandisha yaani ansingia kwny anaerobic respiration akija kushusha anakuwa kachoka sana

Baada ya utangulizi nakaribisha maswali ya kiroho na kisayansi.

Ahsante
Sawa mkuu ngoja tuone
 
Eeeh wakuu mpo?

Ktk huu uzi nitazungumzia kuhusu majini kiimani na kisayansi kulingana na experience niliyonayo ila pia mtu yeyote anaruhusiwa kuchangia kulingana na kile anachokijua au alichoeahi kukiona


Majini ni nini?

Majini kiroho ni viumbe hai wanaoweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu, sehemu wanazoweza kuweka makazi ktk mwili wa binadamu ni kifuani na kichwani namaanishq ndani.


Kisayansi majini ni gesi (molecule) inayofanana na carbonmonoxide, hii hewa huweza kuingia ktk mwili wa binadamu kupitia mfumo wa hewa yaani ukivuta hewa ndani ukaivuta hiyo gesi kama ipo eneo ulilopo ikaaingia kwenye mapafu na na kupenya ktk mfumo wa damu basi tutasema umepata majini. Hii gesi inatabia ya kuvibrate na hujishikiza ktk haemoglobin kwa muda kisha kubaki ktk mzunguko wa damu

Hii gesi ni mtizamo wangu kulingana na uchunguzi wangu naomba unayesoma hapa uelewe mapema kabisa haya maelezo ni mawazo yangu binafsi. Nitaiita gas X ktk uzi huu, hii gesi X ina exist ktk form mbali mbali yaani gesi X zipo za aina mbali mbali.

Mtu mwenye majini huwa anapata dalili zifuatazo ila sio lazima ziwe zote ni moja kati ya zifuatazo

Kuhisi kama unakabwa usiku, kuhisi kitu kinatembea mwilini, maumivu mwili mzima, kuwa na nguvu kupita kiasi na kukakamaa, kuchizika, kupandisha mapepo, kutoa miungurumo wakati wa kuvuta na kutoa hewa, kuumwa mwili mzimq, kuumwa miguu, macho kuwa meusi au kama ya paka yaani yanakuwa yanatisha.

MAJINI HAWAPENDI NINI?

majini hawapendi uchafu mfano harufu ya mkojo, au harufu yoyote kali mfano jasho linalotoka wakati wa ngono na maji maji ya uke au uume ile harufu hawaipendi,

Hawapendi harufu ya pombe, sigara au bangi.

Hawapendi vitu vichachu kama vile ndimu n.k


Kisayansi ni kwamba vitu nilivyotaja hapo juu vinaweza kufanya exchange ya gesi X ikqtoka ktk mzunguko wa damu ndio maana hawaipendi.

MAJINI WANAPENDA NINI?

majini wanapenda damu, usafi, harufu nzuri ya marashi kama vile gift of zanzibar, Al wood n.k pia wanapenda harufu ya ubani na udi


Kisayansi wanapenda damu kwa sababu kuna kiasi kingi cha haemoglobin, pia harufu ya ubani na udi hutoa oxygen ktk haemoglobin na kuifanya gas X ijipachike. Hapa maana yake ni kwamba kiasi cha oxygen ktk damu (oxygen saturation kitakuwa below 98% mtu atahisi kifua kinabana ataanza kuhema kwa kasi na hata kupoteza fahamu au kuwa kama amechangamyikiwa (halucination) kimtaa mtaa mnaita kupandisha yaani ansingia kwny anaerobic respiration akija kushusha anakuwa kachoka sana

Baada ya utangulizi nakaribisha maswali ya kiroho na kisayansi.

Ahsante
OMOYOGWANE THE SCIENTIST HIMSELF 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Aisee!

Hii kali 🤣

Haya madai yako kwamba “majini” ni gesi kama ukivyoiita “Gesi X” inayofanana na carbon monoxide hiyo sasa ni kali ya kufungia mwaka kwasababu hakuna ushahidi wowote wa kisayansi sasa huwezi kusema tu jinsi unavyoona wewe na utegemee ilete maana kwa watu. Carbon monoxide (CO) ni gesi inayojulikana vizuri kwa sifa zake za kikemikali sasa kuifananisha na “majini” kwa msingi wa dhana pekee haina msingi wa kisayansi.
Mkuu hii ni jamii forum tumo humu ila hatujuwani.

Kwa vile wewe unauelewa kuhusu sayansi naomba twende taratibu

Ipo hivi kulingana na observation zangu kwa wagonjwa wa mashetami ukiwauliza wanachodai ni kuhisi wanakabwa (suffocation) pia maumivu ya kichwa kifua, moyo kwenda mbio na kuhisi kuchanganyikiwa

Kisayansi mtu anayehisi kukabwa (asphyxia) maranyingi supply ya oxygen inakuwa ndogo kwenye mapafu na damu

Ataanza kuhema haraka ili avute oxygen ya kutosha, moyo utaongeza spidi ya kusukuma damu ili kufidia oxygen ktk maeneo mbali mbali ya mwili ikiwemo ubongo na vital organs zingine, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye muscle za moyo mtu atahisi kifua kinabana, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye ubongo mtu atapata halucination

Pia ataanza kupumua kwa anaerobic respiration anakuwa na nguvu nyingi kiasi kwamba inahitaji wanaume wenye afya kumkamata akiwa ktk hali ya kutapa tapa

Sasa akipewa dawa inayochomwa ktk moto ule moshi akiunusa kifua kinaachia fahamu zinamrudia na anatulia kabisa lakini anakua hana nguvu

Hii nimeishuhudia

Kumbuka mtu mwenye majini ki medical ni unknown disease

Sasa kulingana na scenario kama hii nikawaza huenda majini ni gesi inayofanana na carbonmonoxide maana carbonmonoxide nayo humfanya mtu akose supply ya oxygen kwa sababu carbonmonoxide huea ina combine na haemoglobin mazima

Sasa inawezekana hiyo gas X ikawa na sifa kama hizo na huo ndio ukawa mwanzo wa mimi kufikiria hivyo mkuu


Kingine hakuna tafiti za kisayansi zinazohusisha dalili kama kuhisi kukabwa, kuona vitu visivyo halisi (hallucinations) au maumivu ya mwili na uwepo wa “Gesi X” aka “majini” kama bandiko lako linavyo sema.
Tafiti zinaanza na mawazo mapya mkuu

Sijui umenielewa?
 
Kwanza mpaka uwe nayo hayo majini

Ukipewa yanakuwa machanga matoto kadri muda unavyokwenda yanakuwa na kuzaliana kwa sababu ni viumbe hai

Kuyatuma kunataratibu zake ambazo hakuna mtu atakaa akuambie hata siku moja
Kama majini wanazaliana ina maana hadi malaika wanazaliana maana kuna vyanzo vinasema majini ni aina ya kundi la malaika.
 
Back
Top Bottom