Mtazamo wangu kuhusu majini (mashetani/ mapepo). Uliza swali lolote nitakujibu

Mtazamo wangu kuhusu majini (mashetani/ mapepo). Uliza swali lolote nitakujibu

Mkuu hii ni jamii forum tumo humu ila hatujuwani.

Kwa vile wewe unauelewa kuhusu sayansi naomba twende taratibu

Ipo hivi kulingana na observation zangu kwa wagonjwa wa mashetami ukiwauliza wanachodai ni kuhisi wanakabwa (suffocation) pia maumivu ya kichwa kifua, moyo kwenda mbio na kuhisi kuchanganyikiwa

Kisayansi mtu anayehisi kukabwa (asphyxia) maranyingi supply ya oxygen inakuwa ndogo kwenye mapafu na damu

Ataanza kuhema haraka ili avute oxygen ya kutosha, moyo utaongeza spidi ya kusukuma damu ili kufidia oxygen ktk maeneo mbali mbali ya mwili ikiwemo ubongo na vital organs zingine, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye muscle za moyo mtu atahisi kifua kinabana, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye ubongo mtu atapata halucination

Pia ataanza kupumua kwa anaerobic respiration anakuwa na nguvu nyingi kiasi kwamba inahitaji wanaume wenye afya kumkamata akiwa ktk hali ya kutapa tapa

Sasa akipewa dawa inayochomwa ktk moto ule moshi akiunusa kifua kinaachia fahamu zinamrudia na anatulia kabisa lakini anakua hana nguvu

Hii nimeishuhudia

Kumbuka mtu mwenye majini ki medical ni unknown disease

Sasa kulingana na scenario kama hii nikawaza huenda majini ni gesi inayofanana na carbonmonoxide maana carbonmonoxide nayo humfanya mtu akose supply ya oxygen kwa sababu carbonmonoxide huea ina combine na haemoglobin mazima

Sasa inawezekana hiyo gas X ikawa na sifa kama hizo na huo ndio ukawa mwanzo wa mimi kufikiria hivyo mkuu



Tafiti zinaanza na mawazo mapya mkuu

Sijui umenielewa?
Uchunguzi wa kibinafsi (observations) hautoshi kuthibitisha nadharia ya kisayansi. Ushahidi wa kisayansi unahitaji tafiti za kina, majaribio yanayorudiwa na mapitio ya wataalamu wengine.

Hizo, daily kama suffocation, maumivu ya kifua au hallucinations zinaweza kutokana na magonjwa yanayojulikana kama vile

1. Anxiety/panic attacks
2. Hypoxia (upungufu wa oksijeni)
3. Poisoning (kutokana na gesi halisi kama carbon monoxide)
 
Mkuu hii ni jamii forum tumo humu ila hatujuwani.

Kwa vile wewe unauelewa kuhusu sayansi naomba twende taratibu

Ipo hivi kulingana na observation zangu kwa wagonjwa wa mashetami ukiwauliza wanachodai ni kuhisi wanakabwa (suffocation) pia maumivu ya kichwa kifua, moyo kwenda mbio na kuhisi kuchanganyikiwa

Kisayansi mtu anayehisi kukabwa (asphyxia) maranyingi supply ya oxygen inakuwa ndogo kwenye mapafu na damu

Ataanza kuhema haraka ili avute oxygen ya kutosha, moyo utaongeza spidi ya kusukuma damu ili kufidia oxygen ktk maeneo mbali mbali ya mwili ikiwemo ubongo na vital organs zingine, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye muscle za moyo mtu atahisi kifua kinabana, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye ubongo mtu atapata halucination

Pia ataanza kupumua kwa anaerobic respiration anakuwa na nguvu nyingi kiasi kwamba inahitaji wanaume wenye afya kumkamata akiwa ktk hali ya kutapa tapa

Sasa akipewa dawa inayochomwa ktk moto ule moshi akiunusa kifua kinaachia fahamu zinamrudia na anatulia kabisa lakini anakua hana nguvu

Hii nimeishuhudia

Kumbuka mtu mwenye majini ki medical ni unknown disease

Sasa kulingana na scenario kama hii nikawaza huenda majini ni gesi inayofanana na carbonmonoxide maana carbonmonoxide nayo humfanya mtu akose supply ya oxygen kwa sababu carbonmonoxide huea ina combine na haemoglobin mazima

Sasa inawezekana hiyo gas X ikawa na sifa kama hizo na huo ndio ukawa mwanzo wa mimi kufikiria hivyo mkuu



Tafiti zinaanza na mawazo mapya mkuu

Sijui umenielewa?
Aisee Mzee wa gas x
 
Jini linawezaje kumsaidia MTU mwenye matatizo ya kiafya, kiuchumi, aliyedhulumiwa haki yake mahali popote?
Ndio
Uchunguzi wa kibinafsi (observations) hautoshi kuthibitisha nadharia ya kisayansi. Ushahidi wa kisayansi unahitaji tafiti za kina, majaribio yanayorudiwa na mapitio ya wataalamu wengine.

Hizo, daily kama suffocation, maumivu ya kifua au hallucinations zinaweza kutokana na magonjwa yanayojulikana kama vile

1. Anxiety/panic attacks
2. Hypoxia (upungufu wa oksijeni)
3. Poisoning (kutokana na gesi halisi kama carbon monoxide)
Mkuu
Q
Umewahi kushuhudia padri mchungaji au shehe akitoa mapepo?

Tuanzie hapo kwanza
 
Mkuu hii ni jamii forum tumo humu ila hatujuwani.

Kwa vile wewe unauelewa kuhusu sayansi naomba twende taratibu

Ipo hivi kulingana na observation zangu kwa wagonjwa wa mashetami ukiwauliza wanachodai ni kuhisi wanakabwa (suffocation) pia maumivu ya kichwa kifua, moyo kwenda mbio na kuhisi kuchanganyikiwa

Kisayansi mtu anayehisi kukabwa (asphyxia) maranyingi supply ya oxygen inakuwa ndogo kwenye mapafu na damu

Ataanza kuhema haraka ili avute oxygen ya kutosha, moyo utaongeza spidi ya kusukuma damu ili kufidia oxygen ktk maeneo mbali mbali ya mwili ikiwemo ubongo na vital organs zingine, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye muscle za moyo mtu atahisi kifua kinabana, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye ubongo mtu atapata halucination

Pia ataanza kupumua kwa anaerobic respiration anakuwa na nguvu nyingi kiasi kwamba inahitaji wanaume wenye afya kumkamata akiwa ktk hali ya kutapa tapa

Sasa akipewa dawa inayochomwa ktk moto ule moshi akiunusa kifua kinaachia fahamu zinamrudia na anatulia kabisa lakini anakua hana nguvu

Hii nimeishuhudia

Kumbuka mtu mwenye majini ki medical ni unknown disease

Sasa kulingana na scenario kama hii nikawaza huenda majini ni gesi inayofanana na carbonmonoxide maana carbonmonoxide nayo humfanya mtu akose supply ya oxygen kwa sababu carbonmonoxide huea ina combine na haemoglobin mazima

Sasa inawezekana hiyo gas X ikawa na sifa kama hizo na huo ndio ukawa mwanzo wa mimi kufikiria hivyo mkuu



Tafiti zinaanza na mawazo mapya mkuu

Sijui umenielewa?
Vp wale wenye kupandisha majini kwa kukusudia yani kama vile kwa mganga hupandisha jini na kuanza kueleza shida ya mgonjwa, huwa hapitii hizo changamoto.
 
Aisee Mzee wa gas x
Mkuu

Unawajua wapiga dufu (ngoma zile za kiislam) ?

Dufu likipigwa kama una majini lazima upandishe yaani mtu anakua anacheza bila kujijua nadhani wengi mtanisaidia hapa mtakuwa mmewahi kushuhudia


Sasa ipo hivi gas X ambayo ipo ktk mzunguko wa damu inatabia ya kuvibrate

Pia sauti ya dufu ni vibration ya molecules zilizopo hewani ambazo zinatoa sound energy


Kuna kitu kinaitwa resonance yaani vitu viwili vyenye frequency tofauti vinaanza kuvibrate kwa frequency moja wataalam wa physics wanajua


Sasa dufu linapopigwa linavibrate kwa frequency yake kumbuka pia gas X inavibrate kwa frequency yake


Sasa ikitokea kukawa na mfanano ea frequency (resonance) mtu anaanza kucheza kabisa tena bila kujijua na mdundo ukisimama anatulia anaishiwa nguvu kabisa mpaka wamvukize ubani au akae ktk hewa safi

Sijui unanipata mkuu?
 
Vp wale wenye kupandisha majini kwa kukusudia yani kama vile kwa mganga hupandisha jini na kuanza kueleza shida ya mgonjwa, huwa hapitii hizo changamoto.
Nimesemq gas X ina exist ktk form mbali mbali kimtaa mnaita majini

Yapo majini ya utambuzi na ya maradhi

Tuseme kuna gas X1 na gas X2 Sasa ktk hayo majini la utambuzi liwe X2 (Kumbuka majini yana majina mfano subiani makata n.k)


Sasa ili mganga apandishe majini inabidi supply ya oxygen ktk mzunguko wa damu iwe chini atalazimika kufanya mambo yafuatayo

Kujivukiza ubani ktk chetezo akiwa ktk shuka nyekundu au nyeupe shuka inayoreflect mwanga


Akijifykiza ule moshi utakavoanza kupita kooni na kuingia keny mapafu nyingine kwenye tumbo ataicheua kwa kutoa muungurumo , moshi wa mapafu utaingia ktk mzunguko wa damu na kuifukuza oxugen ktk haemoglobin na kuifanya gas X2 ikae kwenye haemoglobin



Suply ya oxygrn ktk damu yaani oxygen saturation ita drop


Supply ikiwa chini ktk ubongo ataanza kuhallucinate na kuanza kuona mambo ambayo mtu wa kawaida hawezi kuyaona yaani hallucination na illusion


Ataanza kukuambia matatizo yako na anakuwa hajitambui inabidi awepo mtu wa pili ambaye ni msaidizi wa mganga
 
Hapana ukisema majini ni gesi kama carbon monoxide si sawa,majini hayapo katika material existence ni spiritual being ,ni roho zinazoweza kuwa katika umbo lolote au zikavaa umbo lolote .
 
Eeeh wakuu mpo?

Ktk huu uzi nitazungumzia kuhusu majini kiimani na kisayansi kulingana na experience niliyonayo ila pia mtu yeyote anaruhusiwa kuchangia kulingana na kile anachokijua au alichoeahi kukiona


Majini ni nini?

Majini kiroho ni viumbe hai wanaoweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu, sehemu wanazoweza kuweka makazi ktk mwili wa binadamu ni kifuani na kichwani namaanishq ndani.


Kisayansi majini ni gesi (molecule) inayofanana na carbonmonoxide, hii hewa huweza kuingia ktk mwili wa binadamu kupitia mfumo wa hewa yaani ukivuta hewa ndani ukaivuta hiyo gesi kama ipo eneo ulilopo ikaaingia kwenye mapafu na na kupenya ktk mfumo wa damu basi tutasema umepata majini. Hii gesi inatabia ya kuvibrate na hujishikiza ktk haemoglobin kwa muda kisha kubaki ktk mzunguko wa damu

Hii gesi ni mtizamo wangu kulingana na uchunguzi wangu naomba unayesoma hapa uelewe mapema kabisa haya maelezo ni mawazo yangu binafsi. Nitaiita gas X ktk uzi huu, hii gesi X ina exist ktk form mbali mbali yaani gesi X zipo za aina mbali mbali.

Mtu mwenye majini huwa anapata dalili zifuatazo ila sio lazima ziwe zote ni moja kati ya zifuatazo

Kuhisi kama unakabwa usiku, kuhisi kitu kinatembea mwilini, maumivu mwili mzima, kuwa na nguvu kupita kiasi na kukakamaa, kuchizika, kupandisha mapepo, kutoa miungurumo wakati wa kuvuta na kutoa hewa, kuumwa mwili mzimq, kuumwa miguu, macho kuwa meusi au kama ya paka yaani yanakuwa yanatisha.

MAJINI HAWAPENDI NINI?

majini hawapendi uchafu mfano harufu ya mkojo, au harufu yoyote kali mfano jasho linalotoka wakati wa ngono na maji maji ya uke au uume ile harufu hawaipendi,

Hawapendi harufu ya pombe, sigara au bangi.

Hawapendi vitu vichachu kama vile ndimu n.k


Kisayansi ni kwamba vitu nilivyotaja hapo juu vinaweza kufanya exchange ya gesi X ikqtoka ktk mzunguko wa damu ndio maana hawaipendi.

MAJINI WANAPENDA NINI?

majini wanapenda damu, usafi, harufu nzuri ya marashi kama vile gift of zanzibar, Al wood n.k pia wanapenda harufu ya ubani na udi


Kisayansi wanapenda damu kwa sababu kuna kiasi kingi cha haemoglobin, pia harufu ya ubani na udi hutoa oxygen ktk haemoglobin na kuifanya gas X ijipachike. Hapa maana yake ni kwamba kiasi cha oxygen ktk damu (oxygen saturation kitakuwa below 98% mtu atahisi kifua kinabana ataanza kuhema kwa kasi na hata kupoteza fahamu au kuwa kama amechangamyikiwa (halucination) kimtaa mtaa mnaita kupandisha yaani ansingia kwny anaerobic respiration akija kushusha anakuwa kachoka sana

Baada ya utangulizi nakaribisha maswali ya kiroho na kisayansi.

Ahsante
Samahani Ndugu mleta Mada!

Kwanini Majini wapende Haemoglobin Hujaelewesha hapo umesema Tu wanapenda damu kwa sababu ina Haemoglobin..

Samahani kidogo nimeona kuna kitu umetaja hapo juu..Unataka kusema kuwa Oxygen ikichanganyika na Gase nyingine yoyote Au Gesi majini Inaweza Kusababisha Hypoxemia (Low Oxygen saturation)?

Samahani tuanze na hayo maswali kwanza
 
Eeeh wakuu mpo?

Ktk huu uzi nitazungumzia kuhusu majini kiimani na kisayansi kulingana na experience niliyonayo ila pia mtu yeyote anaruhusiwa kuchangia kulingana na kile anachokijua au alichoeahi kukiona


Majini ni nini?

Majini kiroho ni viumbe hai wanaoweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu, sehemu wanazoweza kuweka makazi ktk mwili wa binadamu ni kifuani na kichwani namaanishq ndani.


Kisayansi majini ni gesi (molecule) inayofanana na carbonmonoxide, hii hewa huweza kuingia ktk mwili wa binadamu kupitia mfumo wa hewa yaani ukivuta hewa ndani ukaivuta hiyo gesi kama ipo eneo ulilopo ikaaingia kwenye mapafu na na kupenya ktk mfumo wa damu basi tutasema umepata majini. Hii gesi inatabia ya kuvibrate na hujishikiza ktk haemoglobin kwa muda kisha kubaki ktk mzunguko wa damu

Hii gesi ni mtizamo wangu kulingana na uchunguzi wangu naomba unayesoma hapa uelewe mapema kabisa haya maelezo ni mawazo yangu binafsi. Nitaiita gas X ktk uzi huu, hii gesi X ina exist ktk form mbali mbali yaani gesi X zipo za aina mbali mbali.

Mtu mwenye majini huwa anapata dalili zifuatazo ila sio lazima ziwe zote ni moja kati ya zifuatazo

Kuhisi kama unakabwa usiku, kuhisi kitu kinatembea mwilini, maumivu mwili mzima, kuwa na nguvu kupita kiasi na kukakamaa, kuchizika, kupandisha mapepo, kutoa miungurumo wakati wa kuvuta na kutoa hewa, kuumwa mwili mzimq, kuumwa miguu, macho kuwa meusi au kama ya paka yaani yanakuwa yanatisha.

MAJINI HAWAPENDI NINI?

majini hawapendi uchafu mfano harufu ya mkojo, au harufu yoyote kali mfano jasho linalotoka wakati wa ngono na maji maji ya uke au uume ile harufu hawaipendi,

Hawapendi harufu ya pombe, sigara au bangi.

Hawapendi vitu vichachu kama vile ndimu n.k


Kisayansi ni kwamba vitu nilivyotaja hapo juu vinaweza kufanya exchange ya gesi X ikqtoka ktk mzunguko wa damu ndio maana hawaipendi.

MAJINI WANAPENDA NINI?

majini wanapenda damu, usafi, harufu nzuri ya marashi kama vile gift of zanzibar, Al wood n.k pia wanapenda harufu ya ubani na udi


Kisayansi wanapenda damu kwa sababu kuna kiasi kingi cha haemoglobin, pia harufu ya ubani na udi hutoa oxygen ktk haemoglobin na kuifanya gas X ijipachike. Hapa maana yake ni kwamba kiasi cha oxygen ktk damu (oxygen saturation kitakuwa below 98% mtu atahisi kifua kinabana ataanza kuhema kwa kasi na hata kupoteza fahamu au kuwa kama amechangamyikiwa (halucination) kimtaa mtaa mnaita kupandisha yaani ansingia kwny anaerobic respiration akija kushusha anakuwa kachoka sana

Baada ya utangulizi nakaribisha maswali ya kiroho na kisayansi.

Ahsante
Jingine..
Majini yaliumbwa Lini na Wapi!
Na kuna majini aina ngapi..
Vipi utatifautishaje marouhani, majini, Mapepo, Malaika (Na malaika nao ni gesi fulani?) ,Makhudam,Mizimu na jamii zingine?

Na wenyewe ni gases?
 
Majini Huwa yana ufahamu na hisia mkuu,
Mganga kukuambia unaumwa kitu flani bila ushahidi ni hisia

Na hisia utaziona kupitia binadamu na si vinginevyo

Na ili uone ambavyo havionwi na wengine lazima uwe ktk katikati ya kifo na uzima yaani kukabwa (low oxygen supply) kitaalam wanaita hallucination
 
Eeeh wakuu mpo?

Ktk huu uzi nitazungumzia kuhusu majini kiimani na kisayansi kulingana na experience niliyonayo ila pia mtu yeyote anaruhusiwa kuchangia kulingana na kile anachokijua au alichoeahi kukiona


Majini ni nini?

Majini kiroho ni viumbe hai wanaoweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu, sehemu wanazoweza kuweka makazi ktk mwili wa binadamu ni kifuani na kichwani namaanishq ndani.


Kisayansi majini ni gesi (molecule) inayofanana na carbonmonoxide, hii hewa huweza kuingia ktk mwili wa binadamu kupitia mfumo wa hewa yaani ukivuta hewa ndani ukaivuta hiyo gesi kama ipo eneo ulilopo ikaaingia kwenye mapafu na na kupenya ktk mfumo wa damu basi tutasema umepata majini. Hii gesi inatabia ya kuvibrate na hujishikiza ktk haemoglobin kwa muda kisha kubaki ktk mzunguko wa damu

Hii gesi ni mtizamo wangu kulingana na uchunguzi wangu naomba unayesoma hapa uelewe mapema kabisa haya maelezo ni mawazo yangu binafsi. Nitaiita gas X ktk uzi huu, hii gesi X ina exist ktk form mbali mbali yaani gesi X zipo za aina mbali mbali.

Mtu mwenye majini huwa anapata dalili zifuatazo ila sio lazima ziwe zote ni moja kati ya zifuatazo

Kuhisi kama unakabwa usiku, kuhisi kitu kinatembea mwilini, maumivu mwili mzima, kuwa na nguvu kupita kiasi na kukakamaa, kuchizika, kupandisha mapepo, kutoa miungurumo wakati wa kuvuta na kutoa hewa, kuumwa mwili mzimq, kuumwa miguu, macho kuwa meusi au kama ya paka yaani yanakuwa yanatisha.

MAJINI HAWAPENDI NINI?

majini hawapendi uchafu mfano harufu ya mkojo, au harufu yoyote kali mfano jasho linalotoka wakati wa ngono na maji maji ya uke au uume ile harufu hawaipendi,

Hawapendi harufu ya pombe, sigara au bangi.

Hawapendi vitu vichachu kama vile ndimu n.k


Kisayansi ni kwamba vitu nilivyotaja hapo juu vinaweza kufanya exchange ya gesi X ikqtoka ktk mzunguko wa damu ndio maana hawaipendi.

MAJINI WANAPENDA NINI?

majini wanapenda damu, usafi, harufu nzuri ya marashi kama vile gift of zanzibar, Al wood n.k pia wanapenda harufu ya ubani na udi


Kisayansi wanapenda damu kwa sababu kuna kiasi kingi cha haemoglobin, pia harufu ya ubani na udi hutoa oxygen ktk haemoglobin na kuifanya gas X ijipachike. Hapa maana yake ni kwamba kiasi cha oxygen ktk damu (oxygen saturation kitakuwa below 98% mtu atahisi kifua kinabana ataanza kuhema kwa kasi na hata kupoteza fahamu au kuwa kama amechangamyikiwa (halucination) kimtaa mtaa mnaita kupandisha yaani ansingia kwny anaerobic respiration akija kushusha anakuwa kachoka sana

Baada ya utangulizi nakaribisha maswali ya kiroho na kisayansi.

Ahsante
Kama mtu anayo hayo majini mfano kifuani afanye nini yaondoke.. au unashauri tiba gani ya uhakika mtu aondokane na majini?
 
Mkuu hii ni jamii forum tumo humu ila hatujuwani.

Kwa vile wewe unauelewa kuhusu sayansi naomba twende taratibu

Ipo hivi kulingana na observation zangu kwa wagonjwa wa mashetami ukiwauliza wanachodai ni kuhisi wanakabwa (suffocation) pia maumivu ya kichwa kifua, moyo kwenda mbio na kuhisi kuchanganyikiwa

Kisayansi mtu anayehisi kukabwa (asphyxia) maranyingi supply ya oxygen inakuwa ndogo kwenye mapafu na damu

Ataanza kuhema haraka ili avute oxygen ya kutosha, moyo utaongeza spidi ya kusukuma damu ili kufidia oxygen ktk maeneo mbali mbali ya mwili ikiwemo ubongo na vital organs zingine, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye muscle za moyo mtu atahisi kifua kinabana, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye ubongo mtu atapata halucination

Pia ataanza kupumua kwa anaerobic respiration anakuwa na nguvu nyingi kiasi kwamba inahitaji wanaume wenye afya kumkamata akiwa ktk hali ya kutapa tapa

Sasa akipewa dawa inayochomwa ktk moto ule moshi akiunusa kifua kinaachia fahamu zinamrudia na anatulia kabisa lakini anakua hana nguvu

Hii nimeishuhudia
Mkuu kabla hujaendelea ningependa Unipe Tofauti ya Respiration na Breathing naona Unavichanganya Sana muda mrefu tangu umeanza Kutoa Mada yako..

Nahisi ndo tatizo lako linapoanzia Repiration sio Breathing..
Kumbuka mtu mwenye majini ki medical ni unknown disease

Sasa kulingana na scenario kama hii nikawaza huenda majini ni gesi inayofanana na carbonmonoxide maana carbonmonoxide nayo humfanya mtu akose supply ya oxygen kwa sababu carbonmonoxide huea ina combine na haemoglobin mazima

Sasa inawezekana hiyo gas X ikawa na sifa kama hizo na huo ndio ukawa mwanzo wa mimi kufikiria hivyo mkuu



Tafiti zinaanza na mawazo mapya mkuu

Sijui umenielewa?
Kingine Hakuna Unkown Disease Inategemea na Uelewa wako wa Magonjwa na Vifaa vya Utambuzi ulivyo navyo na ndio maana kuna Level za Kimatibabu za Utambuzi na Za Vipimo pia..

Mtumishi aliyepo Dispensary ni Vigumu sana Kugundua Cancer Ila Aliyepo Level ya Juu zaidi ni vyepesi sana..
 
Samahani Ndugu mleta Mada!

Kwanini Majini wapende Haemoglobin Hujaelewesha hapo umesema Tu wanapenda damu kwa sababu ina Haemoglobin..
Kwa sababu kt red blood cell kuna haemoglobin na haemoglobin kuna active site ya oxygen

Ktk gas exchange oxygen huchomoka na gas X huji bind
Samahani kidogo nimeona kuna kitu umetaja hapo juu..Unataka kusema kuwa Oxygen ikichanganyika na Gase nyingine yoyote Au Gesi majini Inaweza Kusababisha Hypoxemia (Low Oxygen saturation)?

Samahani tuanze na hayo maswali kwanza
 
Nimesemq gas X ina exist ktk form mbali mbali kimtaa mnaita majini

Yapo majini ya utambuzi na ya maradhi

Tuseme kuna gas X1 na gas X2 Sasa ktk hayo majini la utambuzi liwe X2 (Kumbuka majini yana majina mfano subiani makata n.k)


Sasa ili mganga apandishe majini inabidi supply ya oxygen ktk mzunguko wa damu iwe chini atalazimika kufanya mambo yafuatayo

Kujivukiza ubani ktk chetezo akiwa ktk shuka nyekundu au nyeupe shuka inayoreflect mwanga


Akijifykiza ule moshi utakavoanza kupita kooni na kuingia keny mapafu nyingine kwenye tumbo ataicheua kwa kutoa muungurumo , moshi wa mapafu utaingia ktk mzunguko wa damu na kuifukuza oxugen ktk haemoglobin na kuifanya gas X2 ikae kwenye haemoglobin



Suply ya oxygrn ktk damu yaani oxygen saturation ita drop


Supply ikiwa chini ktk ubongo ataanza kuhallucinate na kuanza kuona mambo ambayo mtu wa kawaida hawezi kuyaona yaani hallucination na illusion


Ataanza kukuambia matatizo yako na anakuwa hajitambui inabidi awepo mtu wa pili ambaye ni msaidizi wa mganga
Mdogo wangu jitahidi sana Ujue Saturation ya Oxygen inapandaje na Inapunguaje saturation ya Oxygen haipungui kwa Dakika Mbili au Tatu..

Ila ngani nione kwanza unavyohisi wewe..
Kwahyi Akipunguza Oxygen Saturation ikifika Ngapi Ndo anapandisha??
 
Back
Top Bottom