Bosi wetu mbahili[emoji1787][emoji1787]Bocco 34
Saido 36
Nyoni 34
Inonga 30+
Kapombe 30+
Tshabalala 30+
Onyango 40+
Mzamiru 30+
Mkude 30+
Nchezaji mwenye umri mdogo ni kyombo 22.
Jean Baleke kwa mkopo katoka timu dhaifu ya Palestine... Sawa Dogo katoka huko msimu mzima hajacheza [emoji848].
Kikosi cha simba ni kibovu hakina hata rotation sababu kuu n ubovu wa wachezaji... 98% waliocheza na Raja ndio wamecheza jana na ndio watakao cheza trh 25!!!.. watu walikuwa wanafanya sajili za kina msonda mnaleta kejeli nyambafuuu nyie[emoji28][emoji28][emoji28]
Kama modric ana 37, Cr7 ana 37 Leo huyu onyango asiwe na 40+?.😅😅Bosi wetu mbahili[emoji1787][emoji1787]
Ila Onyango wetu umemuonea 40+ 🫣🫣
Ukiacha uliyoandika tatozo jingine kubwa ni mashabiki wa simba kudharau wapinzani na kuishi katika fantasy kwamba hii simba ina uwezo wa kushinda kila mechi. Horoya na azam sio timu mbovu kwaiyo hakuna maajabu yoyote kupata point kwa simba hao raja casablanca wamewazidi ubora sasa ulitegemea matokeo ya aina gani. Ifike hatua mashabiki wa simba anzeni kuwaheshimu wapinzani wenu na mkubali timu yenu haina ubora mkubwa ambao mnafikiri inao na hii itawasaidia kujiandaa kisakolojia kwa matokeo yoyote kwenye kila mechi.Salaam..
Nimekaa nikajiuliza, hasa baada ya timu pendwa ya Simba Sc kuwa matokeo yasiyoridhisha kwa mechi za hivi karibuni baada, hii ni baada ya kuchapwa 0-3 na mwarabu, na jana usiku, kulazimishwa sare ya 1-1 na Azam.
Tukiondoa sababu nyingine kama wachezaji kukosa nafasi za wazi, ambalo limeonekana kuwa tatizo kwa sasa pale Simba Sc, umri wa wachezaji na uchovu kwa kucheza mfululizo miaka mingi, lakini pia naona bado kuna tatizo jingine kubwa ambalo nalo hatujalitazama kwa umakini.
Nimekaa nikajiuliza, hivi ni ipi mantiki kwa Simba Sc, hasa viongozi wake, kuamua kuwa na makocha wawili, wote wenye sifa za kuifundisha timu, wenye umri mkubwa, kwa wakati mmoja?
Kama walishaamua kufuata maoni ya mashabiki kwamba Mgunda alikuwa hatoshi, wakaamua kumleta Mzungu, sasa ni sababu ipi inayowafanya waendelee kuwa na Mgunda pale kwenye benchi la ufundi?
Huu mkanganyiko unaojitokeza sasa matokeo yake ni kama vile Simba Sc imegawanyika makundi mawili, ina kocha wa viongozi, Mgunda, na kocha wa mashabiki waliotaka Mgunda aondoke kwa kura, mzungu.
Sijui ni kitu gani kinachowashinda viongozi wa Simba Sc kumwambia Mgunda asante kwa kazi yako, wamlipe chake, kisha aondoke, wamwambie ukweli sasa tumeamua kwenda na uelekeo tofauti, uwepo wake kwneye benchi naamini unawavuruga wachezaji kwa namna fulani.
Tumeona nyakati kadhaa Mgunda akitoa maelekezo kwa wachezaji wakati mechi ikiendelea, huyu mtu anaweza kuwa anatoa malekezo tofauti na kocha mkuu anachotaka, matokeo yake ni kuwachanganya wachezaji, kwanini kocha mkuu asiachwe huru kufanya majukumu yake kwa nafasi?
Kwangu, viongozi wa Simba Sc ndio chanzo cha hili tatizo, kwani sijawahi kuona timu zinazojielewa hapa duniani zinakuwa na makocha wakuu wawili, hapa wanaajiri kocha mpya, na pale bado wanaendelea kubaki na yule wa mwanzo!, halafu tunajitapa tunakwenda kimataifa, mataifa yapi hayo?!
Viongozi wa Simba Sc pamoja na Mo wabadilike, waachane na mambo ya kimazoea na uswahili mwingi kwenye uendeshaji wa timu, tusipoamka mapema itakuwa too late.
Mbona hujaenda Ukraine kuichukua hiyo rizki ikiwa ipo popote nakati kila siku Ukraine na Russia wanatakiwa Watu wa kupigana vita?Rizki iko popote, sitaki kuwaza kimasikini halafu tuweke professionalism pembeni, tutazidi kujimaliza.
Nimecheka sana tena saaaana [emoji2]Hapana, wale walikua Utopolo! Sikumbuki mahali popote Simba kusema kuwa hawamtaki Mgunda wakati alikua na matokeo mazuri! Zile zilikua figisu za Uto
.Kwan makocha wote si wanashauriana na kufanya kazi kwa pamoja? Au we huwaoni?. Mgunda hawez kuwapeleka kokote. Tatizo mmejiandaa kushinda kila siku.... Hili ndo la kutibiwa
[emoji3]Mlikuwa busy kufanya harakati za kuanzisha uzi wa feitoto na sportpesa mkasahau kuwa timu yenu mbovu
Simba kwa sasa hivi itakuwa kazi sana kuifunga timu kubwa kama Yanga, Azam, Vipers na Horoya. Kwa sababbu mfumo wake ni uleule na umeshaeleweka. Mfumo wa Simba sasa hivi hauna flanks za maana na mabeki wake wa pembeni wamechoka zikipigwa kaunta ndefu pembeni wanakuwa slow .Salaam..
Nimekaa nikajiuliza, hasa baada ya timu pendwa ya Simba Sc kuwa matokeo yasiyoridhisha kwa mechi za hivi karibuni baada, hii ni baada ya kuchapwa 0-3 na mwarabu, na jana usiku, kulazimishwa sare ya 1-1 na Azam.
Tukiondoa sababu nyingine kama wachezaji kukosa nafasi za wazi, ambalo limeonekana kuwa tatizo kwa sasa pale Simba Sc, umri wa wachezaji na uchovu kwa kucheza mfululizo miaka mingi, lakini pia naona bado kuna tatizo jingine kubwa ambalo nalo hatujalitazama kwa umakini.
Nimekaa nikajiuliza, hivi ni ipi mantiki kwa Simba Sc, hasa viongozi wake, kuamua kuwa na makocha wawili, wote wenye sifa za kuifundisha timu, wenye umri mkubwa, kwa wakati mmoja?
Kama walishaamua kufuata maoni ya mashabiki kwamba Mgunda alikuwa hatoshi, wakaamua kumleta Mzungu, sasa ni sababu ipi inayowafanya waendelee kuwa na Mgunda pale kwenye benchi la ufundi?
Huu mkanganyiko unaojitokeza sasa matokeo yake ni kama vile Simba Sc imegawanyika makundi mawili, ina kocha wa viongozi, Mgunda, na kocha wa mashabiki waliotaka Mgunda aondoke kwa kura, mzungu.
Sijui ni kitu gani kinachowashinda viongozi wa Simba Sc kumwambia Mgunda asante kwa kazi yako, wamlipe chake, kisha aondoke, wamwambie ukweli sasa tumeamua kwenda na uelekeo tofauti, uwepo wake kwneye benchi naamini unawavuruga wachezaji kwa namna fulani.
Tumeona nyakati kadhaa Mgunda akitoa maelekezo kwa wachezaji wakati mechi ikiendelea, huyu mtu anaweza kuwa anatoa malekezo tofauti na kocha mkuu anachotaka, matokeo yake ni kuwachanganya wachezaji, kwanini kocha mkuu asiachwe huru kufanya majukumu yake kwa nafasi?
Kwangu, viongozi wa Simba Sc ndio chanzo cha hili tatizo, kwani sijawahi kuona timu zinazojielewa hapa duniani zinakuwa na makocha wakuu wawili, hapa wanaajiri kocha mpya, na pale bado wanaendelea kubaki na yule wa mwanzo!, halafu tunajitapa tunakwenda kimataifa, mataifa yapi hayo?!
Viongozi wa Simba Sc pamoja na Mo wabadilike, waachane na mambo ya kimazoea na uswahili mwingi kwenye uendeshaji wa timu, tusipoamka mapema itakuwa too late.
40+ acheze mpira? [emoji23][emoji23] Huo ni uongoBocco 34
Saido 36
Nyoni 34
Inonga 30+
Kapombe 30+
Tshabalala 30+
Onyango 40+
Mzamiru 30+
Mkude 30+
Nchezaji mwenye umri mdogo ni kyombo 22.
Jean Baleke kwa mkopo katoka timu dhaifu ya Palestine... Sawa Dogo katoka huko msimu mzima hajacheza [emoji848].
Kikosi cha simba ni kibovu hakina hata rotation sababu kuu n ubovu wa wachezaji... 98% waliocheza na Raja ndio wamecheza jana na ndio watakao cheza trh 25!!!.. watu walikuwa wanafanya sajili za kina msonda mnaleta kejeli nyambafuuu nyie[emoji28][emoji28][emoji28]
Nasema hivi trh 25 Simba anashinda..Bocco 34
Saido 36
Nyoni 34
Inonga 30+
Kapombe 30+
Tshabalala 30+
Onyango 40+
Mzamiru 30+
Mkude 30+
Nchezaji mwenye umri mdogo ni kyombo 22.
Jean Baleke kwa mkopo katoka timu dhaifu ya Palestine... Sawa Dogo katoka huko msimu mzima hajacheza 🤔.
Kikosi cha simba ni kibovu hakina hata rotation sababu kuu n ubovu wa wachezaji... 98% waliocheza na Raja ndio wamecheza jana na ndio watakao cheza trh 25!!!.. watu walikuwa wanafanya sajili za kina msonda mnaleta kejeli nyambafuuu nyie😅😅😅
Sawa sio mbalii.....Nasema hivi trh 25 Simba anashinda..
Utashangaa haya Ila Simba anashinda kwa kishindo cha kuwashangaza wengi Uganda watakufa vibaya wakiwa nyumbani kwao
Tunza hii kumbukumbu..
Bao ni Vipers 0-3 Simba wakikoswakoswa basi ni Vipers 1-4 Simba
Usiseme nimeroga Ila tunza hii kumbukumbu
Mimi sio Simba Ila nnaweza kuona mbali
Unashangaa nini? Dani Alves hana 40? Mbona anacheza bado?. Afrika hiyo miaka mchezaji bado anacheza.40+ acheze mpira? [emoji23][emoji23] Huo ni uongo
Sawa sio mbalii.....