Mtazamo Wangu: Tatizo la Simba SC kuwa na matokeo mabovu linaanzia hapa...

Unamjua kaze wa yanga na huyu nabi,kaze aliwahi kuwa head coach wa yanga akanda akarudi.
Mwambusi pia yaliwahi kumkuta.
Na still timu ilishinda
 
Hii ndo akili mlitegemea kwenda nayo kucheza na waarabu?
 
Kwanini unasema kocha hana mbinu? Kama waahambuliaji wanapoteza nafasi za wazi kwanini kumlaumu kocha?
 
Usikate tamaa, tusubiri Uganda kesho jumamosi ndio tutajua hatma yetu ..
 
Unamjua kaze wa yanga na huyu nabi,kaze aliwahi kuwa head coach wa yanga akanda akarudi.
Mwambusi pia yaliwahi kumkuta.
Na still timu ilishinda
Kaze na Nabi nimeandika juu wanawlewana kwa sababu lugha wanayoitumia ni kifaransa, na Kaze anafanya kazi ya kutafsiri kwa kiswahili kwa wachezaji wao, ndio maana mambo yao yanaenda..
 
cha ajabu msimu ukiisha wazee wote watabaki alafu watauzwa wenye nafuu.
mfano aliachwa Gyan,Kahata,Chikwenda,Dunkan Nyoni,Ibrahim Ame wakabaki mizigo kisha wakaongeza mizigo mingine kina Oatara.dah,,,!
 
cha ajabu msimu ukiisha wazee wote watabaki alafu watauzwa wenye nafuu.
mfano aliachwa Gyan,Kahata,Chikwenda,Dunkan Nyoni,Ibrahim Ame wakabaki mizigo kisha wakaongeza mizigo mingine kina Oatara.dah,,,!
Tulia, kesho tunaanza moja Ug.
 
Kwa mtazamo wangu kocha huyu mzungu na wao viongozi wameshamwona hafai kabisa Sasa mgunda atakuwa Kama backup Yao endapo huyu akishindwa Sasa ña mgunda hili ameligundua Kwa hyo ndo maana unaona na yeye anamwingiza Chaka mzungu kuanzia kwenye upangaji wa kikosi Hadi kwenye substitution huwezi kuwa kumuacha bocco acheze dakika 78_80 halafu Phil yupo benchi??
 
Mbona mnamuangalia sana mgosi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…